Hivi watu wanaozama ndani ya maji na kukaa zaidi ya dakika 1 bila mashine wanatumia mbinu gani?

Hivi watu wanaozama ndani ya maji na kukaa zaidi ya dakika 1 bila mashine wanatumia mbinu gani?

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Heri ya sikukuu ya Iddi Jamani.

Tusahau kidogo mada ngumungumu na mada za mmu. Leo sikukuu angalau tupunzishe akili na kusahau kidogo shida.

Nimewahi kusikia kuna wajuvi wanaweza kwenda ndani ya maji zaidi ya nusu saa,Mimi sijawahi kushuhudia hiyo kitu Sasa sijui Kama ni kweli au story za vijiweni.

Mimi mwenzenu nikizama kwenye maji sekunde tano tu natoka naomba uji wa moto😁.

Wenye maujuzi wa haya mambo hebu mje mtupe uzoefu ili siku na sisi tujaribu.

Kuna wavuvi nasikia wanazama hata saa nzima ndani ya maji anatega nyavu zake halafu anatoka juu ya maji yuko shwari utafikiri alikuwa ndani ya maji alikuwa anavuta sigara😁.

Sijui kuna vimazingaziombwe kidogo hawa wavuvi wanatumia?'

Karibuni.
 
Heri ya sikukuu ya Iddi Jamani.

Tusahau kidogo mada ngumungumu na mada za mmu. Leo sikukuu angalau tupunzishe akili na kusahau kidogo shida.

Nimewahi kusikia kuna wajuvi wanaweza kwenda ndani ya maji zaidi ya nusu saa,Mimi sijawahi kushuhudia hiyo kitu Sasa sijui Kama ni kweli au story za vijiweni.

Mimi mwenzenu nikizama kwenye maji sekunde tano tu natoka naomba uji wa moto😁.

Wenye maujuzi wa haya mambo hebu mje mtupe uzoefu ili siku na sisi tujaribu.

Kuna wavuvi nasikia wanazama hata saa nzima ndani ya maji anatega nyavu zake halafu anatoka juu ya maji yuko shwari utafikiri alikuwa ndani ya maji alikuwa anavuta sigara😁.

Sijui kuna vimazingaziombwe kidogo hawa wavuvi wanatumia?'

Karibuni.
Nusu saa haiwezekani bila kutumia mashine za kupumulia, Ila dakika tatu inawezekana hasa ukiwa umefanyia mazoezi, kipindi naogelea swimming pool ya chuo kikuu cha dar nilikuwa na uwezo wa kukaa chini ya maji dakika mbili Ila sasahivi hata sekunde hamsini siwezi
 
Heri ya sikukuu ya Iddi Jamani.

Tusahau kidogo mada ngumungumu na mada za mmu. Leo sikukuu angalau tupunzishe akili na kusahau kidogo shida.

Nimewahi kusikia kuna wajuvi wanaweza kwenda ndani ya maji zaidi ya nusu saa,Mimi sijawahi kushuhudia hiyo kitu Sasa sijui Kama ni kweli au story za vijiweni.

Mimi mwenzenu nikizama kwenye maji sekunde tano tu natoka naomba uji wa moto😁.

Wenye maujuzi wa haya mambo hebu mje mtupe uzoefu ili siku na sisi tujaribu.

Kuna wavuvi nasikia wanazama hata saa nzima ndani ya maji anatega nyavu zake halafu anatoka juu ya maji yuko shwari utafikiri alikuwa ndani ya maji alikuwa anavuta sigara😁.

Sijui kuna vimazingaziombwe kidogo hawa wavuvi wanatumia?'

Karibuni.
Inategemea na bahari/mto/ziwa/kidimbwi
 
Back
Top Bottom