Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Sichelewi, nipo kwenye boda hapa nakujaHahaha sawa ,usichelewe mpira dk 90
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sichelewi, nipo kwenye boda hapa nakujaHahaha sawa ,usichelewe mpira dk 90
🙄Mimi naweza kuzamia hata masaa
Ila mali iwe safii
Na kuzamia ni Chumvini tu
Hayafai kulikoooMi maji huwa siyaletei mbwembwe, hata kuogelea sitaki.
Na wengi wenye mazoea ya kukaa chini ya maji wakiwa kavukavu (bila vifaa maalum)ukiwachunguza huwa uwezo wao wa kusikia sauti huwa ni hafifu sana
Basi inawezekana haya mambo yanakuwaga ni story tu za kwenye kahawa mtu kukaa ndani ya maji dakika 5 au kumi bila mashine ni shuguli pevu.Hili suala la saa zima nabisha nimekaa pale weka simu Yako niweke simu yangu tukae pembeni tumshuhudie mtu anaezamia saa Moja sio saaa Moja hata dakika 15 tu nabisha [emoji23]