Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Duuh basi aingizwe kwenye 7 wonders of the world, maana sio jambo la kawaida hilo.Eee si uyo alikua mbunge korogwe,alivyokua mtoto ndio alikaa wiki nzima
Apumzike kwa amaniš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh basi aingizwe kwenye 7 wonders of the world, maana sio jambo la kawaida hilo.Eee si uyo alikua mbunge korogwe,alivyokua mtoto ndio alikaa wiki nzima
Eeh sio rahisi hata kidogoBila dawa huyo hawezi.
Si ndio uprofeser wake alichukulia uko,wa Mambo ya kiganga,wakati wenzake wanaupata darasani hahahaDuuh basi aingizwe kwenye 7 wonders of the world, maana sio jambo la kawaida hilo.
Apumzike kwa amaniš
Ukiwa chini ya maji hutakiwi kuvuta hewa(inhale) bali unatakiwa kutoa hewa(exhale)Mimi huwa najaribu kukaa bila kuhema au kuvuta punzi nione tachukua dakika ngapi huwa najitahidi nafika sekunde 25.
š¤£š¤£š¤£ Bongo raha sanaSi ndio uprofeser wake alichukulia uko,wa Mambo ya kiganga,wakati wenzake wanaupata darasani hahaha
Na wewe umeamini hiyo chai [emoji1][emoji1]Duuh basi aingizwe kwenye 7 wonders of the world, maana sio jambo la kawaida hilo.
Apumzike kwa amani[emoji120]
š¤£š¤£š¤£Na wewe umeamini hiyo chai [emoji1][emoji1]
Hili suala la saa zima nabisha nimekaa pale weka simu Yako niweke simu yangu tukae pembeni tumshuhudie mtu anaezamia saa Moja sio saaa Moja hata dakika 15 tu nabisha [emoji23]Heri ya sikukuu ya Iddi Jamani.
Tusahau kidogo mada ngumungumu na mada za mmu. Leo sikukuu angalau tupunzishe akili na kusahau kidogo shida.
Nimewahi kusikia kuna wajuvi wanaweza kwenda ndani ya maji zaidi ya nusu saa,Mimi sijawahi kushuhudia hiyo kitu Sasa sijui Kama ni kweli au story za vijiweni.
Mimi mwenzenu nikizama kwenye maji sekunde tano tu natoka naomba uji wa moto[emoji16].
Wenye maujuzi wa haya mambo hebu mje mtupe uzoefu ili siku na sisi tujaribu.
Kuna wavuvi nasikia wanazama hata saa nzima ndani ya maji anatega nyavu zake halafu anatoka juu ya maji yuko shwari utafikiri alikuwa ndani ya maji alikuwa anavuta sigara[emoji16].
Sijui kuna vimazingaziombwe kidogo hawa wavuvi wanatumia?'
Karibuni.
Hii aina ya samaki sijawahi kuisikia mkuuKuna mwamba anaitwaa AKudog yupo mtwara akaaa chini ya maji siku365 yaani mwaka
š¤£š¤£š¤£
Yaani sijui kwanini ila nilijikuta tu naamini
Ni kweli niamini,uthibitisho,ninao,Kama utaweza njoo nikuelekeze nilipo uje nikusimulie vizuri,tumalize sikukuu na soda baridiiš¤£š¤£š¤£
Yaani sijui kwanini ila nilijikuta tu naamini
Saa nzima bila mtungi wa hewe aiwezekani ila dakika 1 sawa kwa Wapemba na wakerewe na wajitaSaa nzima kichwa cha juu kikiwa ndani ya maji?
Uko wapi nije saivi nithibitishe, niandalie mirinda nyeusi ndio soda yangu pendwaNi kweli niamini,uthibitisho,ninao,Kama utaweza njoo nikuelekeze nilipo uje nikusimulie vizuri,tumalize sikukuu na soda baridii
Mleta mada anasema wapo wanaozama saa lizimaSaa nzima bila mtungi wa hewe aiwezekani ila dakika 1 sawa kwa Wapemba na wakerewe na wajita
Nipo mbezi,njoo chap,yanga ikishinda nitakutwisha kichwani creti zima la mirinda ,ukanywe wiki nzimaUko wapi nije saivi nithibitishe, niandalie mirinda nyeusi ndio soda yangu pendwa
Nakuja hapoNipo mbezi,njoo chap,yanga ikishinda nitakutwisha kichwani creti zima la mirinda ,ukanywe wiki nzima
Hahaha sawa ,usichelewe mpira dk 90Nakuja hapo