Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

Ndio maana nikakuuliza kama Israel ndio ina control USA walikua wapi mpaka wayahudi million 6 wanachinjwa na Hitler? Kwanini USA haikuingia kwenye vita mapema kuokoa wayahudi?

Ndio maana nikakuuliza kama Israel ndio ina control USA walikua wapi mpaka wayahudi million 6 wanachinjwa na Hitler? Kwanini USA haikuingia kwenye vita mapema kuokoa wayahudi?
Ukiwa unaongozwa na chuki hauwezi kuukubali ukweli. Wakati huo hawakuwepo wayahudi wengi Marekani na walianza kuhamia kwa wingi wakati wa vita kuu ya pili ya dunia na baada ya vita

Hivi unajua ni kwa nini Hitler alikusudia kuwaangamiza wayahudi wote ulaya na duniani kwa ujumla?
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
23. Wafalme watakushughulikia,na malkia watakutengenezea chakula.Watakusujudia na kukupa heshima,na kuramba vumbi iliyo miguuni pako.Hapo utatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu;wote wanaonitegemea hawataaibika.”

24. Watu wa Yerusalemu walalamika:“Je, shujaa aweza kunyanganywa nyara zake?Au mateka wa mtu katili waweza kuokolewa?”

25. Mwenyezi-Mungu ajibu:“Naam! Hata nyara za shujaa zitachukuliwa,mateka wa mtu katili wataokolewa.Mimi mwenyewe nitawakabili maadui zako,mimi mwenyewe nitawaokoa watoto wako.

26. Nitawafanya wanaokukandamiza watafunane;watalewa damu yao wenyewe kama divai.Hapo binadamu wote watatambua kwambamimi ni Mwenyezi-Mungu, Mwokozi wako,mimi ni Mkombozi wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
 
23. Wafalme watakushughulikia,na malkia watakutengenezea chakula.Watakusujudia na kukupa heshima,na kuramba vumbi iliyo miguuni pako.Hapo utatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu;wote wanaonitegemea hawataaibika.”

24. Watu wa Yerusalemu walalamika:“Je, shujaa aweza kunyanganywa nyara zake?Au mateka wa mtu katili waweza kuokolewa?”

25. Mwenyezi-Mungu ajibu:“Naam! Hata nyara za shujaa zitachukuliwa,mateka wa mtu katili wataokolewa.Mimi mwenyewe nitawakabili maadui zako,mimi mwenyewe nitawaokoa watoto wako.

26. Nitawafanya wanaokukandamiza watafunane;watalewa damu yao wenyewe kama divai.Hapo binadamu wote watatambua kwambamimi ni Mwenyezi-Mungu, Mwokozi wako,mimi ni Mkombozi wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
 
Hayo hayawezi kuwa ni maneno ya Mungu.Ni mtu aliyelewa kajitungia cha kumfurahisha.
 
Iran Hana uwezo wa kumpiga Israel, level ya Israel katika medali za vita ni USA, Rusia, China, England kutokana na air supremacy take, level ya Iran ni Egypt, South Africa, Ukraine, Saudia Arabia
Alisikika mwanamgambo wa Israel baada kushiba magimbi
 
Yaani pale Palestina ilitakiwa igeuzwe mbuga ya wanyama. Magaidi siyo ya kulea
 
Propaganda mfu
 
Sasa israhell ambao hawajashindwa si washinde wao hio vita [emoji3]
 
hv roket elf 5 unazijua ? muwe mnatumia akili nyiny waislam , mnaish km mbuz , unajuwa matokeo ya roketi moja tu je hizo elf 5 zitaleta athar ipi ? waislam msiwe km mazombi
Kama muislam kama zombie wewe usie muislam jitathmini upoje
 
Chukua leso futa jasho lako tu mkuu dont dare think of Israel. Thats a hot water. Waulize waarabu walifanywa nini miaka 60 iliyopita
Walifanywa nini [emoji3][emoji1787][emoji3]
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Sio kwamba hawataki afutike tatizo Uwezo. Hata wewe unataka ila huna uwezo ndivyo walivyo wenzako wote
 
Mpaka kulipua hospital ndio ushindi pekee huo ambao israhell wanaweza kuupata nje ya hapo hawana maajabu
 
Ubavu huo hana hata chrmbe!
Hivi nani aliazisha vita? nani alimvanmia mwenzie? nani aliua raia wa nchi nyine tena na kuteka raia ktk ardhi ya nchi nyingine?
Ni vyema tukaangalia ukwleli kuliko ushabiki!
Israhell tokea mwaka 1948
 
Yaani pale Palestina ilitakiwa igeuzwe mbuga ya wanyama. Magaidi siyo ya kulea
Magaidi siyo wa kucheka nao. Ukicheka nao utavuna mabua Hapa Tanzania baada ya kikundi cha waaislamu cha UAMSHO kuwekwa ndani Tanzania ikawa salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…