Hizi bei za nyama kupandishwa kiholela nani wa kuwasaidia Wananchi? Sasa hivi kilo TZS 12,000/ Bodi ya nyama kazi yake nini?

Hizi bei za nyama kupandishwa kiholela nani wa kuwasaidia Wananchi? Sasa hivi kilo TZS 12,000/ Bodi ya nyama kazi yake nini?

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
Siku hizi kuna umoja wa kila sekta, pale Arusha kuna umoja wa wauza nyama, wanakubaliana kupanga bei wanavyotaka na ole wako uuse chini ya hiyo bei.

Sasa hivi kila butcher Arusha kilo moja ni TZS 12,000/. Hakuna mamlaka au chombo cha kudhibiti huu upandishaji holela? Mlinzi wa mwananchi ni serikali, kwanini serikali isifanye utafiti ijui uhalisia wa soko, nyama ni kitoweo cha lazima sawa tu na mafuta.

Tunaishauri serikali iunde mamlaka ya kudhibiti bei za nyama
 
Siku hizi kuna umoja wa kila sekta, pale Arusha kuna umoja wa wauza nyama, wanakubaliana kupanga bei wanavyotaka na ole wako uuse chini ya hiyo bei. Sasa hivi kila butcher Arusha kilo moja ni TZS 12,000/. Hakuna mamlaka au chombo cha kudhibiti huu upandishaji holela? Mlinzi wa mwananchi ni serikali, kwanini serikali isifanye utafiti ijui uhalisia wa soko, nyama ni kitoweo cha lazima sawa tu na mafuta. Tunaishauri serikali iunde mamlaka ya kudhibiti bei za nyama
Mkigoma kununuwa nyama, watashusha bei wenyewe.
 
Kwako wewe unadhani bei gani ni sawa au unataka mwenye butcher mfugaji apate faida kiasi gani ?

Haya mambo kama Serikali inaona bei ni kubwa and it can do better basi ianzishe ranch ya taifa; haya mambo ya kupangiana bei sikubaliani nayo kabisa, ndio maana mimi ni muumini wa Social Market Economy... State UMMA unaweza kuwa na vitu vyake ila vyote kwenye Soko Huria, wakiona watu binafsi wanafanya cartel basi watakuwa na kitengo chao chenye kutoa bei rafiki....
 
Kwako wewe unadhani bei gani ni sawa au unataka mwenye butcher mfugaji apate faida kiasi gani ?

Haya mambo kama Serikali inaona bei ni kubwa and it can do better basi ianzishe ranch ya taifa; haya mambo ya kupangiana bei sikubaliani nayo kabisa, ndio maana mimi ni muumini wa Social Market Economy... State UMMA unaweza kuwa na vitu vyake ila vyote kwenye Soko Huria, wakiona watu binafsi wanafanya cartel basi watakuwa na kitengo chao chenye kutoa bei rafiki....
Pumba
 
Siku hizi kuna umoja wa kila sekta, pale Arusha kuna umoja wa wauza nyama, wanakubaliana kupanga bei wanavyotaka na ole wako uuse chini ya hiyo bei. Sasa hivi kila butcher Arusha kilo moja ni TZS 12,000/. Hakuna mamlaka au chombo cha kudhibiti huu upandishaji holela? Mlinzi wa mwananchi ni serikali, kwanini serikali isifanye utafiti ijui uhalisia wa soko, nyama ni kitoweo cha lazima sawa tu na mafuta. Tunaishauri serikali iunde mamlaka ya kudhibiti bei za nyama
Kwetu elf 8 kg1
 
Siku hizi kuna umoja wa kila sekta, pale Arusha kuna umoja wa wauza nyama, wanakubaliana kupanga bei wanavyotaka na ole wako uuse chini ya hiyo bei. Sasa hivi kila butcher Arusha kilo moja ni TZS 12,000/. Hakuna mamlaka au chombo cha kudhibiti huu upandishaji holela? Mlinzi wa mwananchi ni serikali, kwanini serikali isifanye utafiti ijui uhalisia wa soko, nyama ni kitoweo cha lazima sawa tu na mafuta. Tunaishauri serikali iunde mamlaka ya kudhibiti bei za nyama
Kuendesha MAVX na Maprado kwa kasi huko barabarani
 
Siku hizi kuna umoja wa kila sekta, pale Arusha kuna umoja wa wauza nyama, wanakubaliana kupanga bei wanavyotaka na ole wako uuse chini ya hiyo bei. Sasa hivi kila butcher Arusha kilo moja ni TZS 12,000/. Hakuna mamlaka au chombo cha kudhibiti huu upandishaji holela? Mlinzi wa mwananchi ni serikali, kwanini serikali isifanye utafiti ijui uhalisia wa soko, nyama ni kitoweo cha lazima sawa tu na mafuta. Tunaishauri serikali iunde mamlaka ya kudhibiti bei za nyama
Kanunue mbuzi, kuku, kondoo na bata ufuge, mbona solution rahisi tu. Huo ni uwekezaji wa mtu, halafu wewe uamke uanze kutamani nyama, na unajipangia na bei. Kula tembele, au dagaa wa nyama, au maharage
 
Back
Top Bottom