Hizi bei za nyama kupandishwa kiholela nani wa kuwasaidia Wananchi? Sasa hivi kilo TZS 12,000/ Bodi ya nyama kazi yake nini?

Hizi bei za nyama kupandishwa kiholela nani wa kuwasaidia Wananchi? Sasa hivi kilo TZS 12,000/ Bodi ya nyama kazi yake nini?

Ivi
Ndezi ni mnyama gani? Ikipatikana picha itapendeza, Nipo curious kumfahamu. Mimi nili dhania ndezi ni neno la kiswahili liki maanisha mtu mzubaifu/mshamba.
Ndezi ni ile mipanya buku mikubwa ya porini au mashambani, Kingereza wanaitwa "cane rats"

1728567678298.png
 
Nilifanya kazi karatu dc mwaka 2018 nyama kilo ilikuwa 12k tena ikifika saa 4 asubuhi nyama imeisha mabuchani sijui sa ivi bei imefikaje??????
 
Back
Top Bottom