Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
Supu ya mchicha na kipande cha apple inabid uweke mawe mfukoni lasivyo upepo lazima uende na wewe.Msile nyama zinatanua moyo😁😁😁 kuleni supu za mchicha kipande cha apple
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Supu ya mchicha na kipande cha apple inabid uweke mawe mfukoni lasivyo upepo lazima uende na wewe.Msile nyama zinatanua moyo😁😁😁 kuleni supu za mchicha kipande cha apple
Hahahah yule mzee huwa ananiacha hoi sana yani😁...Mtu mwenyewe afya yake inatisha anakushauri wewe usile. Upepo unapita na wewe akyananiSupu ya mchicha na kipande cha apple inabid uweke mawe mfukoni lasivyo upepo lazima uende na wewe.
Ichunguze mkuu, isije mkawa mnauziwa punda 😂Kwetu elf 8 kg1
Unalalama nyama kuongezwa elfu mbili, ila umeme magu alituachia tuvute kwa 27,000! Ila ukapandishwa mpaka 321,000! Hilo ulichekelea acha ccm itambe kila mtu atakula urefu wa kamba na alipopeleka mboga!Siku hizi kuna umoja wa kila sekta, pale Arusha kuna umoja wa wauza nyama, wanakubaliana kupanga bei wanavyotaka na ole wako uuse chini ya hiyo bei. Sasa hivi kila butcher Arusha kilo moja ni TZS 12,000/. Hakuna mamlaka au chombo cha kudhibiti huu upandishaji holela? Mlinzi wa mwananchi ni serikali, kwanini serikali isifanye utafiti ijui uhalisia wa soko, nyama ni kitoweo cha lazima sawa tu na mafuta. Tunaishauri serikali iunde mamlaka ya kudhibiti bei za nyama
Soko La Utalii Arusha pamoja na Uwapo wa Viwanda Vikubwa vya Bidhaa za Nyama kama Eliya Food, Happy Sausage, Arusha Meat na Meat King Distributors LTD vinachangia Upandaji wa Bei Ya Nyama kiholela.Siku hizi kuna umoja wa kila sekta, pale Arusha kuna umoja wa wauza nyama, wanakubaliana kupanga bei wanavyotaka na ole wako uuse chini ya hiyo bei. Sasa hivi kila butcher Arusha kilo moja ni TZS 12,000/. Hakuna mamlaka au chombo cha kudhibiti huu upandishaji holela? Mlinzi wa mwananchi ni serikali, kwanini serikali isifanye utafiti ijui uhalisia wa soko, nyama ni kitoweo cha lazima sawa tu na mafuta. Tunaishauri serikali iunde mamlaka ya kudhibiti bei za nyama
Wapi hukoKwetu elf 8 kg1
hawajuwi kuwa Mama kafunguwq masoko ya Dubai na Saudi Arabia.Kwako wewe unadhani bei gani ni sawa au unataka mwenye butcher mfugaji apate faida kiasi gani ?
Haya mambo kama Serikali inaona bei ni kubwa and it can do better basi ianzishe ranch ya taifa; haya mambo ya kupangiana bei sikubaliani nayo kabisa, ndio maana mimi ni muumini wa Social Market Economy... State UMMA unaweza kuwa na vitu vyake ila vyote kwenye Soko Huria, wakiona watu binafsi wanafanya cartel basi watakuwa na kitengo chao chenye kutoa bei rafiki....
Mshikaki Bei gani?!Nyama itakua anasa soon. Ukienda kwenye vibanda vya chips mtu ananunua mishkaki yake ya kuku mitatu akienda kuunga siku imeisha
In dacta janabi voice.Msile nyama zinatanua moyo😁😁😁 kuleni supu za mchicha kipande cha apple
IviKuleni panya, si nyama pia? Mliona Mtwara wanalalamikia bei ya nyama huko?
Wanapeleka panya na ndezi kama hawana akili vizuri.
Mipaka yote iliyojazana mitaani, kama huna pesa ya ng'ombe kula paka.