Hizi ndege za ATCL zimemkosea nini Lissu? Mbona anaziwazia mabaya tu?

Hizi ndege za ATCL zimemkosea nini Lissu? Mbona anaziwazia mabaya tu?

Pamoja na vimichango vyenu yeye kama Mbunge alistahili alipiwe na serikali ..... Ni stahili yake. Kwa nini hutaki asilipwe...!!?
Mamilioni watu walichanga unaita vimichango?

Yeye public ilimchangia matibabu ina maana kama ni risiti za matibabu ni tayari malipo toka public yalishafanyika ndio ndio nikauliza kama tayari malipo yalishafanyika kupitia michango ya watu yeye anachohitaji ni refund ili awarudishie michango yao waliochangia matibabu au? Kuuliza sio ujinga.Sababu matibabu alishapata kupitia michango
 
Mamilioni watu walichangs unaita vimichango?

Yeye public ilimchangia matibabu ina maana kama ni risiti za matibabu ni tayari malipo toka public yalishafanyika ndio ndio nikauliza kama tayari malipo yalishafanyika kupitia michango ya watu yeye anachohitaji ni refund ili awarudishie michango yao waliochangia matibabu au? Kuuliza sio ujinga.Sababu matibabu alishapata kupitia michango

Unajua ni kiasi gani kilichangwa na matibabu yalikuwa ni kiasi gani ...!!?
 
Huwa anagombea urais kwa ajili ya nini kama hapendi maendeleo kwa Taifa lake.

Kuondoa aibu ya kudaiwa daiwa ili ndge ziaikamatwe mara kwa mara
Yaani kutokaidi kulipa madeni. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unajua ni kiasi gani kilichangwa na matibabu yalikuwa ni kiasi gani ...!!?
Hapo ndipo swala la accountability linapokuja

Mbowe alisema wamechangisha mamilioni toka ndani na nje hakutaja kiasi ,gharama za matibabu zikafichwa ,Mbowe ,Msigwa na Lema wakakaa Nairobi muda mrefu kuwa wanauguza

Baadaye zinakuja risiti za kudai pesa za matibabu

Chadema wazuri sana kuitisha michango lakini ripoti hawatoi wanakaa kinywa utafikiri sio wao waliochangisha

Wangekuwa wanaheshimu kwenye accountability wangesema kwa matibabu ya Lisu tumepokea michango kiasi hiki mchanganuo wa matumizi ni huu .Hakuna walikauka kimya utafikiri sio wao waliochangisha .Ndio maana tunahoji hizo pesa za michango ya matibabu zilitumika kwa matibabu kama walivyoomba michango? Je hizo risiti za madai ni pesa za mfukoni mwake Tundu Lisu au za wafadhili wachangiaji anawaombea hizo pesa wawe refunded?

Lisu mwenyewe alishakiri kuwa michango ya matibabu walimchangia hadi wana CCM
 
Hapo ndipo swala la accountability linapokuja

Mbowe alisema wamechangisha mamilioni toka ndani na nje hakutaja kiasi ,gharama za matibabu zikafichwa ,Mbowe ,Msigwa na Lema wakakaa Nairobi muda mrefu kuwa wanauguza

Baadaye zinakuja risiti za kudai pesa za matibabu

Chadema wazuri sana kuitisha michango lakini ripoti hawatoi wanakaa kinywa utafikiri sio wao waliochangisha

Wangekuwa wanaheshimu kwenye accountability wangesema kwa matibabu ya Lisu tumepokea michango kiasi hiki mchanganuo wa matumizi ni huu .Hakuna walikauka kimya utafikiri sio wao waliochangisha .Ndio maana tunahoji hizo pesa za michango ya matibabu zilitumika kwa matibabu kama walivyoomba michango? Je hizo risiti za madai ni pesa za mfukoni mwake Tundu Lisu au za wafadhili wachangiaji anawaombea hizo pesa wawe refunded?

Lisu mwenyewe alishakiri kuwa michango ya matibabu walimchangia hadi wana CCM

Unapoteza muda tu. Michango haimfanyi asipate stahiki zake. Period.
 
Mkuu, tunahujumiwa na huu mfumo wa utawala unaovipa vyama vya kisiasa kuwa na mamlaka makubwa dhidi ya wananchi.
Wananchi wamewekwa kando, wanatumika tu kama dodoki la kuogea. Huu ugomvi wa masilahi binafsi ya vyama ndio chanzo cha kuanza kuuana wenyewe kwa wenyewe na kuhujumiana.
Wananchi tunatakiwa kusituka na kudai uhuru upya, kuweka misingi mipya ya utawala itakayoheshimika na yenye sheria zilizowazi za kuwawajibisha watawala wanaoingia kwenye siasa kwa masilahi yao binafsi au vyama vinavyo wadhamini.
Tuanzie kwenye Katiba mpya tena mwaka huu.
KATIBA mpya Ina umuhimu sana.

Na ni muhimu ikapatikana kabla ya Uchaguzi wowote.
 
Una ushahidi wa sauti yake au nukuu ya maneno akizitaja ndege kukamatwa ?



Kama huna ushahidi nitakosea kukuona mhusika kwa jaribio la kumuua na unaogopa ushahidi wa kitechnolojia ya wazungu ?
Pitia hotuba yake kwenye press aliyoitisha juzi utaona wapi ameongelea ndege zetu kukamatwa.
 
Tuchukulie Lisu kawa Raisi kwa hiyo atakuwa akilipwa pesa za walipa kodi kulipwa mshahara na marupurupu na pia atakuwa anajichotea pesa zingine za walipa kodi kujilipa fidia

Lisu uraisi hafai hana huruma na wala uchungu na pesa za walipa kodi na mali zao ikiwemo ndege zao walizonunua kwa kodi zao
Fidia kwa stahiki zake? Unaweza kulinganisha na hayo mabilioni yanayoliwa na viongozi wa CCM kwa kujichotea Hazina moja kwa moja, hujuma (ufisadi) kwenye miradi na pasenti za manunuzi tena mengine hewa? Be serious. Ndege zenyewe zimenunuliwa kimaajabu na zinatumika hivyohivyo tu. Hakuna anayejali hasara ya mabilioni hapo.
 
Huwa anagombea urais kwa ajili ya nini kama hapendi maendeleo kwa Taifa lake.
Maendeleo ya kutokulipa madeni? Wamefilisi kila mfanyabiashara wa ndani kwa kukopa, dawa yao ni nje tu wanakamata hadi wakulima kama kule SA. Waendelee kuwaonea makandarasi wa ndani tu, kule nje wanakula nao tu
 
Ndege ni mali ya walipa kodi hapo anakuwa anawakomesha walipa kodi kwa kuzikamata

Maana yake hata akiwa Raisi walipa kodi itabidi wakamuliwe ili alipwe yeye kuwakomesha walipa kodi ambao hawahusiki kabisa na hilo tukio

Sidhani kama kisiasa yuko makini.Kuwa atakamata ndege za walipa kodi
Wakikamata ndege za walipa kodi, basi Serikali itapata shinikizo la kumlipa haki zake. Kitu gani huelewi ndugu??
 
Taratibu za kwenda kutibiwa nje na kupata kibali cha kutibiwa nje zilizingatiwa? Tuanzie hapo
Hilo ni swali la kipumbavu kuliko UPUMBAVU wowote, sidhani kama kichwa chako ndugu Shotocan kina hata chembe ya akili zaidi ya kamasi.

Ni utaratibu gani wa matibabu unao utafuta kwa mtu ambaye ameshambuliwa na risasi na anapumua kwa mashine?

Yaani ulitaka aende MNH wakamlmalizie? Huo ni UNDONDOCHA tu
 
Hilo ni swali la kipumbavu kuliko UPUMBAVU wowote, sidhani kama kichwa chako ndugu Shotocan kina hata chembe ya akili zaidi ya kamasi.

Ni utaratibu gani wa matibabu unao utafuta kwa mtu ambaye ameshambuliwa na risasi na anapumua kwa mashine?

Yaani ulitaka aende MNH wakamlmalizie? Huo ni UNDONDOCHA tu
Wabunge wenyewe ndio waliopitisha hizo sheria na kanuni zake kuwa kutibiwa nje lazima kibali lazima kipatikane cha mtu kupewa rufaa kwenda nje kutibiwa asiyehitaji kibali ina maana anaenda mwenyewe privately kwa arrangements zake mwenyewe na cost zake
 
Ndio shida ya wafuasi wa CDM

Kesi ipo kwenye ‘employment tribunal’ hiyo ni ‘alternative dispute resolution’ (ADR) sio mahakama. Na ADR process uwa zipo kwenye mkataba wa biashara au ajira. Ndio maana hata IGA mmeshindwa kuelewa ni nini zaidi ya kusikiliza hadithi za Mwabukusi.

Kesi inayoenda mahakamani inaitwa Litigation.

Sasa nini tofauti ya ADR na litigation google, kabla ya kutaja mambo ya mahakama kwenye issue ambayo mahakama aihusiki.

Yaani Lissu ana audience ya kuamini kila upuuzi anao ongea.

Ndio shida ya wafuasi wa CDM

Kesi ipo kwenye ‘employment tribunal’ hiyo ni ‘alternative dispute resolution’ (ADR) sio mahakama. Na ADR process uwa zipo kwenye mkataba wa biashara au ajira. Ndio maana hata IGA mmeshindwa kuelewa ni nini zaidi ya kusikiliza hadithi za Mwabukusi.

Kesi inayoenda mahakamani inaitwa Litigation.

Sasa nini tofauti ya ADR na litigation google, kabla ya kutaja mambo ya mahakama kwenye issue ambayo mahakama aihusiki.

Yaani Lissu ana audience ya kuamini kila upuuzi anao ongea.
Hebu soma hizi kesi 2 kwanza (nimeambatisha hapa chini), ndiyo tujadili.
 

Attachments

AIR FRANCE... au QATAR AIRLINES

haziwezi kalalamika raia "anaiombea mabaya'"....

Vijinchi vidogo vidogo hivi vyenye watu wanao think small ndio wanateka raia wanawakata miguu, wanapiga risasi, kisa wameiombea ndege mabaya!

Basi tunaoitakia mema twende tukaiombee dua ndege yetu kwa shehe Kundecha.
 
Wabunge wenyewe ndio waliopitisha hizo sheria na kanuni zake kuwa kutibiwa nje lazima kibali lazima kipatikane cha mtu kupewa rufaa kwenda nje kutibiwa asiyehitaji kibali ina maana anaenda mwenyewe privately kwa arrangements zake mwenyewe na cost zake
Huo muda wa ku process kibali angeendelea kuwa hai? Na je kama Magufuli na Ndugai walikuwa wote kwenye mipango ya kumuua, ni nani angetoa hicho kibali
 
NDGE ZINA KAZ GANI KWETU ZAIDI YA HASARA.ZIKAMATWE ZOTE
 
NI wewe tu huzitamani kwa vile huna pa kuanzia , GO LISSU GO
 
Zinamsaidia Lissu pia usafiri, huzipanda mara Kwa mara.

Wananchi maskini tusiumizwe Kwa ugomvi unaohusu wasiojulikana na TUNDU Lissu.

Ashughulike na waliomshambulia kijinai bila kutuhusisha wananchi tulionunua ndege hizo Kwa JASHO letu.

Na hapo ndipo Hasa Kuna watu hudhani kuwa Lissu anatumika na magharibi.
Ishinikize serikali iwatafute hao waalifu na ndio kazi yake na tunawalipa mshahara ili watulinde kama wameshindwa serikali hiyohiyo imeweka utaratibu wa kuwajibishwa na chombo cha kuiadhibu ni mahakama, wewe hautaki kusikia hilo? Iambie mahakama basi iache kusikiliza hiyo kesi au siku hukumu ikitoka andamana na hao wananchi wako kupinga hiyo hukumu na umejuaje kama atashinda?
 
Back
Top Bottom