Hizi ndege za ATCL zimemkosea nini Lissu? Mbona anaziwazia mabaya tu?

Hizi ndege za ATCL zimemkosea nini Lissu? Mbona anaziwazia mabaya tu?

Ni sehemu ya Mali zinazojongea ndani ya JMT ,hivyo rahisi kukamatika na kuuzika

Tundulisu kashawafunga bao la kisigino mana bao la mkono halipo kisheria lakisigino ruksa
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi Bwn. Tundu Lissu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote.

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka naye.

PIA SOMA
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Ndio maana wananchi hawamuungi mkono kwenye upuuzi wake mwenyewe anaita maandamano!
 
Ndio ni u inafsi huo,

Walioumizwa CHADEMA ni wengi,

Watanzania walioumizwa ni wengi,

Angefungua shauri akijumuisha wote waliotekwa na kuumizwa, hapo angeo ekana anapigania maslah ya Watanzania, Si binafsi .
Bila shaka unajua Lissu hawajibiki kumpigania mtu yeyote. Akiamua kujipigania mwenyewe sawa tu. Huwezi kumhukumu.

Ni bora uibane serikali iwatendee haki raia wake; isiwaumize badala ya kuhangaika na Lissu.
 
Mimi nilivyomsikiliza sikupata hiyo picha. Nilipata picha kwamba:
1. Kutokana na uamuzi wa kesi ya madai iliyofunguliwa na Bw Clifford, huko London, Uingereza, (ambako Mahakama ya Rufani, imesema kwamba iwe public kwa vile Ina masilahi kwa umma, majina ya nchi na wahusika ambayo yalikuwa coded, sasa yatakuwa decided),
2. Amepata mahali pa kuanzia kufunguka kesi ya madai kwenye mahakama za kimaifa akiishtaki Kampuni ya Tigo na serikali ya Tanzania.
3. Kwa vile serikali huwa haipendi kulipa fidia inapokuwa ikidaiwa, kama haitalipa, ndege za Tanzania huko zinakokwenda kwa safari zake zitakamatwa (of course siyo zote, probably mojawapo).
4. Kwa hiyo, context ya kutaja ndege za Tanzania ilikuwa katika kukataa kulipa fidia (ambayo anadai atashinda kesi pengine kufuatana na ushahidi alionao).
5. Hivyo, ndivyo nilivyoelewa, lakini sikuona kwamba hazitakii mema ndege za ATCL.
Ndio shida ya wafuasi wa CDM

Kesi ipo kwenye ‘employment tribunal’ hiyo ni ‘alternative dispute resolution’ (ADR) sio mahakama. Na ADR process uwa zipo kwenye mkataba wa biashara au ajira. Ndio maana hata IGA mmeshindwa kuelewa ni nini zaidi ya kusikiliza hadithi za Mwabukusi.

Kesi inayoenda mahakamani inaitwa Litigation.

Sasa nini tofauti ya ADR na litigation google, kabla ya kutaja mambo ya mahakama kwenye issue ambayo mahakama aihusiki.

Yaani Lissu ana audience ya kuamini kila upuuzi anao ongea.
 
Bila shaka unajua Lissu hawajibiki kumpigania mtu yeyote. Akiamua kujipigania mwenyewe sawa tu. Huwezi kumhukumu.

Ni bora uibane serikali iwatendee haki raia wake; isiwaumize badala ya kuhangaika na Lissu.
Namuongelea Lissu kama kiongozi wa CDM, sio Lissu kama baba wa familia yake.
 
Namuongelea Lissu kama kiongozi wa CDM, sio Lissu kama baba wa familia yake

Namuongelea Lissu kama kiongozi wa CDM, sio Lissu kama baba wa familia yake.
Alipopigwa risasi kati yako na familia yake nani alipata hasara ? Ukivunjwa miguu, atakayetaabika kuuguza na kugharamia ni familia yako au washangiliaji wa mitandaoni. ?
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka nae.

Pia Soma: Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Hazijamkosea tu Lisu bali waliozinunua wamewakosea sana wananchi wote masikini sababu hasara inayotokana na hizi ndege kama ripoti za CAG zinavyosema kila mwaka ni laana kwa taifa. Ndege zimegeuzwa kichaka cha watawala kupiga pesa bila kujali matatizo ya wananchi hasa huko vijijini ikiwemo ubovu wa barabara, huduma mbovu za afya, elimu na maji.
 
Alipopigwa risasi kati yako na familia yake nani alipata hasara ? Ukivunjwa miguu, atakayetaabika kuuguza na kugharamia ni familia yako au washangiliaji wa mitandaoni. ?
Alipopigwa risasi tulipata HASARA Watanzania wote. Nchi nzima tulihuzunika, tukamwombea na wengi walishiriki kujitolea matibabu sababu ni kiongozi wa wananchi.

Hapa anayeongelewa ni TUNDU Lissu kama kiongozi, sio Lissu kama mume wa mke wake na baba wa watoto wake.

Usichanganye mambo hayo.
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi Bwn. Tundu Lissu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote.

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka naye.

PIA SOMA
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Mashaka yako kwa wauaji na watekaji.
 
Katoa reference ya nchi isivyo na tabia ya kulipa madeni, unawaziaje vibaya chuma kisichoongea? Kaongelea wanaokimiliki
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka nae.

Pia Soma: Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Tena ikiwezekana Lisu afanye mchakato akamate na bandari au Ngorongoro ili mkose cha kuuza.
 
Alipopigwa risasi tulipata HASARA Watanzania wote. Nchi nzima tulihuzunika, tukamwombea na wengi walishiriki kujitolea matibabu sababu ni kiongozi wa wananchi.

Hapa anayeongelewa ni TUNDU Lissu kama kiongozi, sio Lissu kama mume wa mke wake na baba wa watoto wake.

Usichanganye mambo h

Alipopigwa risasi tulipata HASARA Watanzania wote. Nchi nzima tulihuzunika, tukamwombea na wengi walishiriki kujitolea matibabu sababu ni kiongozi wa wananchi.

Hapa anayeongelewa ni TUNDU Lissu kama kiongozi, sio Lissu kama mume wa mke wake na baba wa watoto wake.

Usichanganye mambo hayo.
Hujawahi kumtetea hata paka anayepigwa na watoto. Wakati Lissu amewekwa ndani na serikali mara kadhaa kwa kuwatetea wachimbaji madini kabla hajawa mbunge, na kesi alizifunguliwa ni zaidi ya 11 akiwa na baada ya ubunge. Awe mtetezi vipi zaidi ya uhai wake. Toshekeni na damu za watu. Akiwatetea anawekwa ndani, akijitetea au kudai haki yake unageuza kibao, zinakutosha ?
 
Hazijamkosea tu Lisu bali waliozinunua wamewakosea sana wananchi wote masikini sababu hasara inayotokana na hizi ndege kama ripoti za CAG zinavyosema kila mwaka ni laana kwa taifa. Ndege zimegeuzwa kichaka cha watawala kupiga pesa bila kujali matatizo ya wananchi hasa huko vijijini ikiwemo ubovu wa barabara, huduma mbovu za afya, elimu na maji.
Ukiwa na dharura utajua faida ya hizo ndege.
 
Ndege zetu sisi au na yeye ndege zake ? Sometimes nashindwa kuelewa karne hii kipaumbele ni kipi..., Nadhani tatizo MIMI imekuwa ndio kipaumbele zaidi ya SISI
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi Bwn. Tundu Lissu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote.

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka naye.

PIA SOMA
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
vitu vya dhuluma wacha zikamatwe tu huko zinaendeshwa kihasara tupu kwa kodi zetu
 
Hujawahi kumtetea hata paka anayepigwa na watoto. Wakati Lissu amewekwa ndani na serikali mara kadhaa kwa kuwatetea wachimbaji madini kabla hajawa mbunge, na kesi alizifunguliwa ni zaidi ya 11 akiwa na baada ya ubunge. Awe mtetezi vipi zaidi ya uhai wake. Toshekeni na damu za watu. Akiwatetea anawekwa ndani, akijitetea au kudai haki yake unageuza kibao, zinakutosha ?
Weka mihemko pembeni tujadili HOJA,

Katika suala la mkataba wa Dp world, wote tulipinga mkataba wa ndani kuamliwa na mahakama za nje, na Lissu alipinga jambo Hilo,

Sasa iweje katika madai yake kutaka tena kufungua case mahakama za nje ya Nchi Ili ndege zetu zikamatwe?

HOJA Iko hapo, Uzalendo wa Nchi u wapi?
 
Kama kuna haki zake azikamate tu
Ndege ni mali ya walipa kodi hapo anakuwa anawakomesha walipa kodi kwa kuzikamata

Maana yake hata akiwa Raisi walipa kodi itabidi wakamuliwe ili alipwe yeye kuwakomesha walipa kodi ambao hawahusiki kabisa na hilo tukio

Sidhani kama kisiasa yuko makini.Kuwa atakamata ndege za walipa kodi
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka nae.

Pia Soma: Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Mlipeni gharama za matibabu na fidia.

Ungekuwa wewe ungekaa kimya? Bora angekufa asingeshuhudia maumivu
 
Back
Top Bottom