Amemaanisha hivyohvyo ulivyomaanisha, Ila ukikompea ndo inakuwa hvyoKwani hawa si wanalipwa kutokana na elimu na muda kazini?! Kasoro Ngorongoro ndio anajilipa mshahara
Sasa wewe unaandika unono, unono upi unaongelea ww
Kwani wameshaita usailiHivi TFS vs TAWA nani yuko vizuri kuzidi mwenzake kwa upande wa diploma
almost wako sawa, ila wanakimbizwa na mtu anaitwa tanapa, diploma anatembea paredu sanaHivi TFS vs TAWA nani yuko vizuri kuzidi mwenzake kwa upande wa diploma
Sasa boss, kwa uelewa wako Je hao wa tawa diploma plus posho zao wanaweza kufika ngap na hao wa tanapa wanaweza fika ngap plus posho zao, kwa kada za ofisin mfano accountant au ITalmost wako sawa, ila wanakimbizwa na mtu anaitwa tanapa, diploma anatembea paredu sana
Tanapa + posho wanakimbiza. Posho ya tawa na tfs bado hawafikii moto waoSasa boss, kwa uelewa wako Je hao wa tawa diploma plus posho zao wanaweza kufika ngap na hao wa tanapa wanaweza fika ngap plus posho zao, kwa kada za ofisin mfano accountant au IT
Naona umeamua kuja kuvunja ndoa ZETU haya bana mapenzi yako yatimixweeWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Dereva TANAPA analipwa kiasi gani kwa mwezi licha ya magendo na wifi wa vifaa, yaani mshahara tu.Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Katumwa huyuKwani hawa si wanalipwa kutokana na elimu na muda kazini?! Kasoro Ngorongoro ndio anajilipa mshahara
Sasa wewe unaandika unono, unono upi unaongelea ww
Natafuta connection kokote katika hizi taasisi zawadi nono kutolewaWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
katika taasisi ipi unayotaka, nikutafutie nafasi😂😂Natafuta connection kokote katika hizi taasisi zawadi nono kutolewa
Za mshahara mnonokatika taasisi ipi unayotaka, nikutafutie nafasi😂😂
Yoyote hapo yenyewe wewe utaiona inafaa mkuu upate zawadi nonokatika taasisi ipi unayotaka, nikutafutie nafasi[emoji23][emoji23]
Hivi mnaposema connection, huwa mnamaanisha mchukuliwe tu bila interview, yani msishindanishwe na wengine,kwa uspesho gani mlio nao?Natafuta connection kokote katika hizi taasisi zawadi nono kutolewa
Mwenzio anataka kuhamiaHivi mnaposema connection, huwa mnamaanisha mchukuliwe tu bila interview, yani msishindanishwe na wengine,kwa uspesho gani mlio nao?
Kuna taasisi ya Umma wanayofanya hivyo?
Nijuavyo hata private zinazojielewa hakuna ajira za hivyo,ni lazima watu mpambanishwe.
Wewe jamaa usikalili mambo wewe ushawahi andikiwa kimemo ukatumwa sehemu???Hivi mnaposema connection, huwa mnamaanisha mchukuliwe tu bila interview, yani msishindanishwe na wengine,kwa uspesho gani mlio nao?
Kuna taasisi ya Umma wanayofanya hivyo?
Nijuavyo hata private zinazojielewa hakuna ajira za hivyo,ni lazima watu mpambanishwe.
Usikariri,Wewe jamaa usikalili mambo wewe ushawahi andikiwa kimemo ukatumwa sehemu???
Kaka naona wewe unaweza kuwa mwokoz wangu,Kwa akili yako unaamini watu wote ni sawa.