Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Kwani hawa si wanalipwa kutokana na elimu na muda kazini?! Kasoro Ngorongoro ndio anajilipa mshahara

Sasa wewe unaandika unono, unono upi unaongelea ww
Amemaanisha hivyohvyo ulivyomaanisha, Ila ukikompea ndo inakuwa hvyo
 
almost wako sawa, ila wanakimbizwa na mtu anaitwa tanapa, diploma anatembea paredu sana
Sasa boss, kwa uelewa wako Je hao wa tawa diploma plus posho zao wanaweza kufika ngap na hao wa tanapa wanaweza fika ngap plus posho zao, kwa kada za ofisin mfano accountant au IT
 
Sasa boss, kwa uelewa wako Je hao wa tawa diploma plus posho zao wanaweza kufika ngap na hao wa tanapa wanaweza fika ngap plus posho zao, kwa kada za ofisin mfano accountant au IT
Tanapa + posho wanakimbiza. Posho ya tawa na tfs bado hawafikii moto wao
for the record askari wa tanapa, private anakimbiza polisi, tpdf kwa basic salary
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Naona umeamua kuja kuvunja ndoa ZETU haya bana mapenzi yako yatimixwee
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Dereva TANAPA analipwa kiasi gani kwa mwezi licha ya magendo na wifi wa vifaa, yaani mshahara tu.
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Natafuta connection kokote katika hizi taasisi zawadi nono kutolewa
 
Natafuta connection kokote katika hizi taasisi zawadi nono kutolewa
Hivi mnaposema connection, huwa mnamaanisha mchukuliwe tu bila interview, yani msishindanishwe na wengine,kwa uspesho gani mlio nao?
Kuna taasisi ya Umma wanayofanya hivyo?
Nijuavyo hata private zinazojielewa hakuna ajira za hivyo,ni lazima watu mpambanishwe.
 
Hivi mnaposema connection, huwa mnamaanisha mchukuliwe tu bila interview, yani msishindanishwe na wengine,kwa uspesho gani mlio nao?
Kuna taasisi ya Umma wanayofanya hivyo?
Nijuavyo hata private zinazojielewa hakuna ajira za hivyo,ni lazima watu mpambanishwe.
Mwenzio anataka kuhamia
 
Hivi mnaposema connection, huwa mnamaanisha mchukuliwe tu bila interview, yani msishindanishwe na wengine,kwa uspesho gani mlio nao?
Kuna taasisi ya Umma wanayofanya hivyo?
Nijuavyo hata private zinazojielewa hakuna ajira za hivyo,ni lazima watu mpambanishwe.
Wewe jamaa usikalili mambo wewe ushawahi andikiwa kimemo ukatumwa sehemu???
 
Back
Top Bottom