The MaskmaN
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 350
- 764
Una wazazi?
Na katika kukulea wakakulea wakikuaminisha kuwa mtoto wa kiume unapaswa kulelewa?Ninao dada angu mpendwa.
BABA NA MAMA WOTE WAPO HAI HIYO KAULI SIKUKUKUKUSUDIA WEWE USINIELEWE VIBAYA DADA ANGU SAWA
Upo Sawa mkuu nawazee wetu waliwezana nabibi zetu kwasababu walikuwa hawana mambo mengi ila wasasa hivi duh aisee unaweza ukafa namadeni ukimfata anachotakaDada unashindwa kuielewa point muhimu.
Mwanamke bora wa kujenga nae familia ni mwenye matumizi sahihi na pia ikitokea kidume kakwama yeye husaidia.
Lakin nyie wenzetu mna matumizi yasiyo na tija wala na maana mpk mnapunguza hela ya mboga mkanunue vipodozi.
Kuhudumiwa mnahudumiwa vizury tyyyu ila nyie madada zetu ni wale msione vichaka mavi yanawabana kiasi mnataka mambo out of control hapo ndipo tunaposhindwana nanyi
Hapana.Na katika kukulea wakakulea wakikuaminisha kuwa mtoto wa kiume unapaswa kulelewa?
Sawa ndio muache kumchukulia poa fatherKuwazalia,kuwalelea watoto na nyie pia hadi mtapodanja sio kazi ndogo ati.
😂😂😂😂😂😂😂😂 endelea na moyo huo huo mama. Utabarikiwa sana ila umpe notice huyo mpangaji kama hajiongezi ataachwa mahala flani ambao sidhani kama atapapenda!Kuna wenzio wengi tu wanalelewa, na wametulia hata mshipa wa aibu hawana.
Tumechukua majukumu yenu mengi tu ila hata hamuoni kazi kulalamika tuuuu kama redio mbovu. Hamna jema nyie.
Kazi za nyumbani ni ngapi hadi ulalamike hivyo. Kufua, kupika na kuosha vyombo ndio una complain hivyo.?Sasa si ndo kama nyie ambavyo mnafananisha wanawake wanaohangaika kutafuta pesa na wale wanaoshinda nyumbani kusubiri mume arudi ampokee ampetipeti ampe mahaba yaani eti unataka wanawake wa aina hizo mbili tofauti wafanye kazi za nyumbani kwa usawa?
Ukiona unajiita kichwa cha familia then unachukuliwa poa basi anza kujitafakari, hautoshi kwenye hiyo nafasi hivyo uwe mpole tu.Sawa ndio muache kumchukulia poa father
Aiseeee[emoji134][emoji134][emoji134]Hapana.
WameniLea kuwa tegemezi ktk familia yangu iliyonikuza na kwa nitakayoijenga.
Aiseeee[emoji134][emoji134][emoji134]
Basi sio kosa lako, maybe dunia itakufunza in a hard way.
Huko kwingine nimeona hapanihusu maana hapo nilipoquote ndio msingi wa tulichokuwa tunazungumzia, sio hiyo danganya toto ilofuata.Dadaa umeisoma post nzima i think nikakupa sabab
Huko kwingine nimeona hapanihusu maana hapo nilipoquote ndio msingi wa tulichokuwa tunazungumzia, sio hiyo danyanya yoto ilofuata.
Huko kwingine nimeona hapanihusu maana hapo nilipoquote ndio msingi wa tulichokuwa tunazungumzia, sio hiyo danyanya yoto ilofuata.
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.Sawa mamaa Umeshinda ila silelewi mm futa hio kauli kwa sasa ilikua ila sii sasa
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
Dogo acha fujo basi si nimekuaga!!!Mkuu soma vizury huenda hukuzisoma vema quotes zangu.
Na jua hilo sisi asili yetu huanza kufukuzwa nyumbani mapema sanaaa dada angu mapema sanaaa.
Ila soma quotes zangu zote then unambie wap nilikudanganya
kazi za nyumbani ni ngapi hadi ulalamike hivyo. Kufua, kupika na kuosha vyombo ndio una complain hivyo.?