Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Kikwava

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
1,741
Reaction score
1,068
Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
 
Juzi kati siku ya mechi ya simba kuna bidada nilitupia ndoano akasema atakuja mida ya saa moja maana mume wake ni mpenzi wa mpira lazima ataenda mpirani na yeye atakuwa free kwahiyo tutakuwa na muda mzuri!

Mwisho wa siku bidada alikuja kweli ila sikuwa na mzuka naye tena! Maana mimi na wake za watu ni vitu viwili tofauti.
 
Juzi kati siku ya mechi ya simba kuna bidada nilitupia ndoano akasema atakuja Mida ya saa moja maana mume wake ni mpenzi wa mpira lazima ataenda mpirani na yeye atakuwa free kwahiyo tutakuwa na muda mzuri!

Mwisho wa siku bidada alikuja kweli ila sikuwa na mzuka naye tena! Maana mimi na wake za watu ni vitu viwili tofauti
Yani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako😭😭 unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze🤣
 
Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
 
Mkuu nakushauri mroge yani mpe dawa atatulia, atakuheshim, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom