Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
sio rahisi kihivyo mzee baba..ataambiwa aanzie kata...sijui kwa mwenyekiti..mambo ni.mengi sanaAnzia Mahakama ya Mwanzo, fungua jalada hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio rahisi kihivyo mzee baba..ataambiwa aanzie kata...sijui kwa mwenyekiti..mambo ni.mengi sanaAnzia Mahakama ya Mwanzo, fungua jalada hapo
Smart911Hayanaga muongozo
Mwaga mambo hapa hapa kwa faida ya wengi Mkuusema pm yangu inasumbua kufunguka ningekuelekeza ufanye mwenyewe ni simple tu na haina ghalama kwamba kuna kitu utanunua au mitishamba utafute. Gharama yake ni kinywaji apendacho sana
Mimi nimemwambia aanzie mahakamani km hajiwezi atafute Mwanasheria amsaidie hakuna cha Kata wala Mtungisio rahisi kihivyo mzee baba..ataambiwa aanzie kata...sijui kwa mwenyekiti..mambo ni.mengi sana
Umeongea point sana. Ingawa wafia dini hapa watakushangaaMkuu nakushauri mroge yani mpe dawa atatulia, atakuheshim, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao
Kama ni mkristo anaanzia kanisani, kanisani ikishindikana atapewa barua ya kwenda mahakama ya mwanzo kwa ajili ya maombi ya talaka. Wengine wanaanzia mabaraza ya kataAnzia Mahakama ya Mwanzo, fungua jalada hapo
Mbona rahisi tu.sio rahisi kihivyo mzee baba..ataambiwa aanzie kata...sijui kwa mwenyekiti..mambo ni.mengi sana
Fyeka vidole ili tuone kama huyo x wake atampenda bila vidole😂Yani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako😭😭 unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze🤣
Mrs Besyige akishaanza kugawa utamu nje tu ndoa inapoteza radha utasikia unaanza kunyimwa unyumba mara unapangiwa ratiba km upo Shule ya MsingiKwa ambaye hayamkuta anaona poa tu, ila ndoa ni kizingimkuti kama mmoja wa mwanandoa ana mawasiliano ya kimapenzi na ex wake. Inahitaji moyo mkubwa kumvumilia mke wa tabia hiyo vinginevyo ngoma iwe droo, yaani na mimi niwe na mawasiliano kama hayo na ex wangu, vinginevyo natimua mtu akaungane na huyo ex wake wakafurahie mapenzi yao kwa uhuru
Mimi tayari yameshanipata mwaka 2021 nilikua kama wewe ila sikutaka hii kitu inimalize. Ila nashukuru yamepita na nimejifunza na sasa nafikiria kuoa tena.Kama hayajakupata mshukru Mungu
Kanisani na Baraza la Kata? Kufanya nini kutafuta usuluhishi?Kama ni mkristo anaanzia kanisani, kanisani ikishindikana atapewa barua ya kwenda mahakama ya mwanzo kwa ajili ya maombi ya talaka. Wengine wanaanzia mabaraza ya kata
Na haya ndio utakayoambiwa Kanisani na kwenye Baraza la Kata, ukienda Mahakamani utakachoambiwa zaidi mwambie aje siku fulani kusikiliza Shauri lake, mchezo umeishia hapoKaka Wote Wapo Hivyo, Mvumilie Endelea Kumshauri Ndoa Sio Jambo Dogo. Wengi Tulio Kwenye Ndoa Wake Zetu Wana Tabia Za Kipuuzi Sometimes Tunachukulia Poa. Haya MAISHA Usiyachukulie Serious. Utapata Pressure, Mtindio Wa Ubongo, Afya Ya Akili Na Utakufa Mapema. Wanawake Wote Ndivyo Walivyo Usitegemee Ukimuacha Utapata Wa Nafuu Kwa Sasa Hawapo. Walikuwepo Karne Ya 20, Na Kizazi Kishapita Kizazi Hiki Tulichopo Ni Kizazi Cha Nyoka. Wewe Fanya Wajibu Wako. JUST MIND YOUR OWN BUSINESS.
Ni lazima uanzie huko, hiyo ni sheria. Unajuaje kama Devis Mosha hakuanzia huko. Huko kanisani au baraza la kata hakuna mtu atakushawishi ubadili maamuzi yako. Huwezi kupokelewa shauri kama hujapitia hukoKanisani na Baraza la Kata? Kufanya nini kutafuta usuluhishi?
Wahi Mahakamani Davis Mosha hakuanzia Kanisani wala Baraza la Kata moja kwa moja Mahakamani
Uende Kanisani ukaambiwe uendelee kuishi nae? Maana hicho ndio watakachokwambia kwamba bwana we acha usumbufu mlikuja wenyewe tukawafungisha Ndoa sasa mboni mnakuja kusumbua tena?
Uchawi teena...Mkuu nakushauri mroge yani mpe dawa atatulia, atakuheshim, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao