Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Juzi kati siku ya mechi ya simba kuna bidada nilitupia ndoano akasema atakuja mida ya saa moja maana mume wake ni mpenzi wa mpira lazima ataenda mpirani na yeye atakuwa free kwahiyo tutakuwa na muda mzuri!

Mwisho wa siku bidada alikuja kweli ila sikuwa na mzuka naye tena! Maana mimi na wake za watu ni vitu viwili tofauti.
Huu ni unafiki grade one broh.

Yani umetongoza demu ukijua ni mke wa mtu, mkapanga appointment kabisa, mmewasiliana mpaka akafika. Then unasema hukuwa na mzuka nae kwasababu wewe na wake za watu ni vitu viwili tofauti? Seriously? 😅😅
 
Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
dronedrake
 
Kaka Wote Wapo Hivyo, Mvumilie Endelea Kumshauri Ndoa Sio Jambo Dogo. Wengi Tulio Kwenye Ndoa Wake Zetu Wana Tabia Za Kipuuzi Sometimes Tunachukulia Poa. Haya MAISHA Usiyachukulie Serious. Utapata Pressure, Mtindio Wa Ubongo, Afya Ya Akili Na Utakufa Mapema. Wanawake Wote Ndivyo Walivyo Usitegemee Ukimuacha Utapata Wa Nafuu Kwa Sasa Hawapo. Walikuwepo Karne Ya 20, Na Kizazi Kishapita Kizazi Hiki Tulichopo Ni Kizazi Cha Nyoka. Wewe Fanya Wajibu Wako. JUST MIND YOUR OWN BUSINESS.
Ushauri wa hivi unapelekea mizania kuwa hivi:-
Kataa ndoa - 3
Ndoa - 0
 
Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
Kataa ndoa 3 - 0 Mtoa post, Half time now
 
Yani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako😭😭 unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze🤣
Huna mke hapo!
-HAkupendi
-HAkuheshimu
-HAkuogopi
-HAkutaki
-HAkujali
-HAkuthamini
-HAna hofu ya Mungu
-HAkuhitaji
Inauma ila ndo ukweli,
Hata kama hutaki kumuacha, ATAKUACHA au UTAMUUA.
Sasa ya nini shida?
KUACHWA UTAACHWA TU, MUACHO MMOJA SAF SANA!WENYE DHARAU NA KEBEHI JUU MAANA HANA STARA HUYO.

Sasa unasave nini?
Nyumba mmepanga, INUKA Muache akae hapo, endelea kutunza watoto kama mmezaa!

MMEJENGA, fuata utaratibu wa mahakama unaeleza wazi kuhusu magawanyo wa mali!
Kama vipi muachie tu!
OKOA NAFSI YAKO!
 
Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Hii scenario nilikutana nayo wakati natoka Mbeya-Dar. Baada ya mwaka mpya kupita gari zilikuwa zimefull sana na ilikuwa lazima niwahi mjini ikanilazimu kupanda zile ndinga za Zambia-Dar kubwa.

Sasa kwenye gari tulikuwa na mshua mmoja age yupo kwenye 50 nadhani, akawa anaongea na wake zake tofauti tofauti halafu ni mabinti wadogo wazuri sana, nikabaki nimeduwaa.

Ndipo akanipa mkasa wake kwamba ana rafiki yake ni mtaalamu wa kudili na watu traditionally hivyo kila akioa huwa ni lazima amfuate ampe dawa awarekebishe wake zake kiasi kwamba wanakuwa hawawezi kucheat wala kuwaza kuhusu mwanaume mwingine, aisee nilishangaa sana.

Aliniambia mambo ambayo yalinifanya nibaki naiheshimu mno ndoa na kauli yake ambayo aliniachia ni kwamba [emoji116]

"Usasa utakuua mdogo wangu, ndoa inahitaji maamuzi magumu sana ili kuhakikisha mkeo anatulia"


NB
Mnatutisha sana na hizi nyuzi wakuu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Umenisanua mkuu, nilikuwa na demu nataka nimtolee barua April lakini nimesogeza mbele, mwanamke jeuri, ana kila aina ya tamaa ktk maisha, sifa za udangaji huko nyuma mtaa mzima unamfahamu.

Nikaona isiwe kesi, acha nighairishe nisogeze mbele na ikiwezekana niachane nae kabisa.
 
Anakujibu hivyo ukiwa umesafiri haupo karibu nae au mkiwa ana kwa ana?
Yani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako😭😭 unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze🤣
 
Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Jamani mbona Kama umefika mbali😂😂😂
 
Back
Top Bottom