stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Wewe ndio mke sasa hahaha nimebidi nikeleeNina ratiba ya msosi tu nyumbani kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio mke sasa hahaha nimebidi nikeleeNina ratiba ya msosi tu nyumbani kwangu
Huu ni unafiki grade one broh.Juzi kati siku ya mechi ya simba kuna bidada nilitupia ndoano akasema atakuja mida ya saa moja maana mume wake ni mpenzi wa mpira lazima ataenda mpirani na yeye atakuwa free kwahiyo tutakuwa na muda mzuri!
Mwisho wa siku bidada alikuja kweli ila sikuwa na mzuka naye tena! Maana mimi na wake za watu ni vitu viwili tofauti.
dronedrakeHizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
Ushauri wa hivi unapelekea mizania kuwa hivi:-Kaka Wote Wapo Hivyo, Mvumilie Endelea Kumshauri Ndoa Sio Jambo Dogo. Wengi Tulio Kwenye Ndoa Wake Zetu Wana Tabia Za Kipuuzi Sometimes Tunachukulia Poa. Haya MAISHA Usiyachukulie Serious. Utapata Pressure, Mtindio Wa Ubongo, Afya Ya Akili Na Utakufa Mapema. Wanawake Wote Ndivyo Walivyo Usitegemee Ukimuacha Utapata Wa Nafuu Kwa Sasa Hawapo. Walikuwepo Karne Ya 20, Na Kizazi Kishapita Kizazi Hiki Tulichopo Ni Kizazi Cha Nyoka. Wewe Fanya Wajibu Wako. JUST MIND YOUR OWN BUSINESS.
Kataa ndoa 3 - 0 Mtoa post, Half time nowHizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
Ratiba ya mbususu hamna?Nina ratiba ya msosi tu nyumbani kwangu
Huna mke hapo!Yani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako😭😭 unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze🤣
Baraza la KataAnzia Mahakama ya Mwanzo, fungua jalada hapo
Hii scenario nilikutana nayo wakati natoka Mbeya-Dar. Baada ya mwaka mpya kupita gari zilikuwa zimefull sana na ilikuwa lazima niwahi mjini ikanilazimu kupanda zile ndinga za Zambia-Dar kubwa.Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Hahaha..Kuna sheria ndogo inasema mfanye mke kuwa mchepuko itakusaidia sana
Hakuna cha moto wala nini. Zinavunjwa tu kama nyingineBasi cha moto utakiona.
Yani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako😭😭 unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze🤣
Aaah wewe ratiba ya nini? Mungu alijua kuumba hivyo vitu ndio maana hata viwete wanawekwa mgongoni na wenza wao. Yani hapo ni mpaka upate ugeni red 🧚♀️Ratiba ya mbususu hamna?
Nimeshangaaa mnoo😄😄😄halafu mbona Kama mapema sanaa...Enyi wanaume bebeni hiyoo misalabaa😂😂Mbona talaka jamani
labda baadhi ya madhehebu mizungusho kibaoMbona rahisi tu.
Jamani mbona Kama umefika mbali😂😂😂Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Kufyekanna vidole tenaaa😄😄jamani msitufanyieee hivyoooo😄😄Fyeka vidole ili tuone kama huyo x wake atampenda bila vidole😂
Kuzungushwa utake mwenyewelabda baadhi ya madhehebu mizungusho kibao