Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Ndoa ndoano bro, ishi nae kwa akili, ndoa ikiwa na utulivu ni baraka tosha, ndoa ikiwa na dosari ni jehanamu tosha ya hapa duniani.
Hivi wakuu hiz akili mnazozisema kila siku ni zipi? Ina maana hawa wote wanaolalamika huwa hawatumii akili?
 
Juzi kati siku ya mechi ya simba kuna bidada nilitupia ndoano akasema atakuja mida ya saa moja maana mume wake ni mpenzi wa mpira lazima ataenda mpirani na yeye atakuwa free kwahiyo tutakuwa na muda mzuri!

Mwisho wa siku bidada alikuja kweli ila sikuwa na mzuka naye tena! Maana mimi na wake za watu ni vitu viwili tofauti.
Dah aisee. Kwa story hizi nitasubiri sana kwenye swala la kuoa
 
Huna mke hapo!
-HAkupendi
-HAkuheshimu
-HAkuogopi
-HAkutaki
-HAkujali
-HAkuthamini
-HAna hofu ya Mungu
-HAkuhitaji
Inauma ila ndo ukweli,
Hata kama hutaki kumuacha, ATAKUACHA au UTAMUUA.
Sasa ya nini shida?
KUACHWA UTAACHWA TU, MUACHO MMOJA SAF SANA!WENYE DHARAU NA KEBEHI JUU MAANA HANA STARA HUYO.

Sasa unasave nini?
Nyumba mmepanga, INUKA Muache akae hapo, endelea kutunza watoto kama mmezaa!

MMEJENGA, fuata utaratibu wa mahakama unaeleza wazi kuhusu magawanyo wa mali!
Kama vipi muachie tu!
OKOA NAFSI YAKO!
SHUKRANI SANA KWA USHAURI
 
Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Huu ni ukweli mtupu...!!!
 
Ndoa zai hivi, mkifika hatua hizi kuna dalili za hivi za machukizano, mifarakano, chuki maugomvi, kutoelewana na kuanza kudai talaka kwa usalama wenu mpo kwenye hatua mbaya na hatari mjiepushe hata kwa ukaribu maana lolote laweza tokea mapenzi yana nguvu sana asikuambie mtu
 
Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Ushauri wa hovyo huu, alaaniwe amtegemeae mwanadamu, waganga watakufikisha wapi
 
Kikwava Soma huu ujumbe kwa umakini nadhani utakuwa ulikuwa na Wenge wakati unaoa

Kwa sisi wazoefu wa haya mambo. Kama unatafuta mchumba au mke ambaye utataka umuone mzuri daily basi haishauriwi umtongoze vuupuu! Utakwama! Haina tija kwako. Labda awe demu wa eat and drink then pita hivi.

Demu ukimuona first day one time, unaweza ukapagawa kwa First impression. Kama unaushamba wa hizi ishu ndio ile unasema umekutana na Pisikali kumbe ni wenge lako tuu.

Mimi huwaga ili nithibitishe kuwa huyu demu ni mkali basi itanipasa nimuone kwa siku zisizopungua saba. Yaani mpaka macho yangu yamzoee na kumchoka.
Kama yatamuona mzuri kwa kiwango kilekile au pungufu kidogo basi nitakuwa huyo Mwanamke ni mzuri.

Ukimtongoza tuu utashangaa ndio mwanzo wa kuona wa kawaida au mbovu kabisa. Hapo hujafanya naye ngono. Ukifanya naye ngono ndio uzuri unapotea wote mpaka unajilaumu. Sio ajabu ukaanza kukumbuka maneno ya rafiki zako waliokuwa wakikucheka kuhusu huyo demu.

Ni mzuri kwa sababu hujamtongoza. Mtongoze uone kama utamuona hivyo. Au kuwa na mazoea naye uone. Au fanya ngono naye uone.

Mke au wachumba za Watu unawaona ni warembo kwa sababu hiyohiyo. Lakini nakuhakikishia kuwa asilimia 90% ya unaowaona wazuri sio hivyo uwaonavyo. Kinachokufanya uwaone hivyo ni wenge lako, tamaa ya ngono hivyo yaani.

Wadada muelewe kuwa wanaume ndio tupo hivyo. Ndio maana mnatakiwa mjitunze kwa sababu wanaume wote unaowaona wanaokutazama barabara ukipita ni kwa sababu hawajakuzoea sio kwamba wewe ni mzuri na unamaajabu. Ukitaka uthibitishe hilo. Subiri ukae mwezi uone kama hiyo barabara iliyokuwa ukipita huku Watu na bodaboda wanakutazama na kupagawa kama watakutazama tena au kupagawa.

Ikiwa wewe ni mke au mchumba wa mtu usijejidanganya ati wewe ni mzuri kisa unatongozwa tongozwa, hizo ni akili za kitoto na kutotujua wanaume.
Wenge likikata kwetu wanaume ndio mnatuita Mbwa sisi wenyewe tunashangaa tulikuwa tumefuata nini. Wenge ni baya.

Ndoa nyingi zimevunjika, mahusiano mengi yameharibiwa kwa wanawake kutoelewa hii kanuni.

Unakuta kabinti kisa kanatongozwa tongozwa basi kanaleta dharau kwa mpenzi wake au mume wake. Wakiachana na mchumba au mumewe akitegemea ile idadi ya wanaume wanaomtongoza itakuwa vilevile anashangaa inapungua maradufu. Hata yule aliyekuwa anamuona anafaa kuzidi mumewe naye anakimbia.

Hakuna anayekuona mzuri zaidi ya yule aliyekuweka ndani, aliyekuoa au anayetaka kukuoa.
Sisi wengine ni Wenge tuu linatusumbua.
Siku lilikata ndio yanatokea ya kutokea. Na raha ya wenge letu haliwezi dumu kwa miezi sita mfululizo lazima likate.

Chunga sana
Sanamu lako likajengwe katikati ya bahari,liwe round about ya meli zote,umeongea point nzito sana..
 
Ushauri wa hovyo huu, alaaniwe amtegemeae mwanadamu, waganga watakufikisha wapi
mkuu ni sayansi tu ya jadi halafu unafanya mwenyewe huhitaji sijui mitishamba sijui nini, hapana... Ni maji yako kwenye jagi halafu na soda ama juisi uliyomuandalia unafanya kwa manuizi ukimpa hafurukuti tena! Kama huamini nguvu ya haya mambo tulia halafu sio kila suala unamshirikisha mganga utapoteza pesa zako ongea na wazee wako vzuri watakupa madini mambo madogo madogo hayatakupa shida utakuwa unasolve mwenyewe.
 
Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
Nenda Baraza la Usuluhishi la Maswala ya ndoa kwanza, wamuite mwenza wako wawasuluhishe, ikishindikana ndio upele kesi Mahakamani. Sheria inataka uanzie Barazani kwanza isipokuwa kama mwenza wako hapatikani au hataki kwenda, Baraza litawaandalia barua ambayo utaiambatanisha ukipeleka kesi Mahakamani.

Mabaraza yapo kwenye kila Kata, lakini pia yapo Makanisani na Misikitini.

Karibu tukuhudumie mkuu.
 
Kikwava Soma huu ujumbe kwa umakini nadhani utakuwa ulikuwa na Wenge wakati unaoa

Kwa sisi wazoefu wa haya mambo. Kama unatafuta mchumba au mke ambaye utataka umuone mzuri daily basi haishauriwi umtongoze vuupuu! Utakwama! Haina tija kwako. Labda awe demu wa eat and drink then pita hivi.

Demu ukimuona first day one time, unaweza ukapagawa kwa First impression. Kama unaushamba wa hizi ishu ndio ile unasema umekutana na Pisikali kumbe ni wenge lako tuu.

Mimi huwaga ili nithibitishe kuwa huyu demu ni mkali basi itanipasa nimuone kwa siku zisizopungua saba. Yaani mpaka macho yangu yamzoee na kumchoka.
Kama yatamuona mzuri kwa kiwango kilekile au pungufu kidogo basi nitakuwa huyo Mwanamke ni mzuri.

Ukimtongoza tuu utashangaa ndio mwanzo wa kuona wa kawaida au mbovu kabisa. Hapo hujafanya naye ngono. Ukifanya naye ngono ndio uzuri unapotea wote mpaka unajilaumu. Sio ajabu ukaanza kukumbuka maneno ya rafiki zako waliokuwa wakikucheka kuhusu huyo demu.

Ni mzuri kwa sababu hujamtongoza. Mtongoze uone kama utamuona hivyo. Au kuwa na mazoea naye uone. Au fanya ngono naye uone.

Mke au wachumba za Watu unawaona ni warembo kwa sababu hiyohiyo. Lakini nakuhakikishia kuwa asilimia 90% ya unaowaona wazuri sio hivyo uwaonavyo. Kinachokufanya uwaone hivyo ni wenge lako, tamaa ya ngono hivyo yaani.

Wadada muelewe kuwa wanaume ndio tupo hivyo. Ndio maana mnatakiwa mjitunze kwa sababu wanaume wote unaowaona wanaokutazama barabara ukipita ni kwa sababu hawajakuzoea sio kwamba wewe ni mzuri na unamaajabu. Ukitaka uthibitishe hilo. Subiri ukae mwezi uone kama hiyo barabara iliyokuwa ukipita huku Watu na bodaboda wanakutazama na kupagawa kama watakutazama tena au kupagawa.

Ikiwa wewe ni mke au mchumba wa mtu usijejidanganya ati wewe ni mzuri kisa unatongozwa tongozwa, hizo ni akili za kitoto na kutotujua wanaume.
Wenge likikata kwetu wanaume ndio mnatuita Mbwa sisi wenyewe tunashangaa tulikuwa tumefuata nini. Wenge ni baya.

Ndoa nyingi zimevunjika, mahusiano mengi yameharibiwa kwa wanawake kutoelewa hii kanuni.

Unakuta kabinti kisa kanatongozwa tongozwa basi kanaleta dharau kwa mpenzi wake au mume wake. Wakiachana na mchumba au mumewe akitegemea ile idadi ya wanaume wanaomtongoza itakuwa vilevile anashangaa inapungua maradufu. Hata yule aliyekuwa anamuona anafaa kuzidi mumewe naye anakimbia.

Hakuna anayekuona mzuri zaidi ya yule aliyekuweka ndani, aliyekuoa au anayetaka kukuoa.
Sisi wengine ni Wenge tuu linatusumbua.
Siku lilikata ndio yanatokea ya kutokea. Na raha ya wenge letu haliwezi dumu kwa miezi sita mfululizo lazima likate.

Chunga sana
Kumbe ndo mlivyooo ooh nimepata somo
 
Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
Talaka inatolewa Kwa njia uliotumia kuolea km mliamua kuishi pamoja then achaneni hivyohivyo msikiti kuna utaratibu wake the same to church
 
Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Why umroge? Huoni utakuwa unalazimisha? Yaani why uishi na mtu kwa kumlazimisha?

Piga chini...chukua mwingine
 
Back
Top Bottom