Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
afu unaonekana kajamaa fulani huna makuu😂😂😂
 
Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Sasa mapenzi gani ya kumshika mwenzako akili? Halafu unajisifia unapendwa ama unaishi na mtu uliyemtoa akili akawa kichaa?
 
Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
SHIDA NI IPI HASWA?? KWENYE NDOA YAKO
???
tuanzie HAPO KWANZA
 
Ukiwa na Mke Alafu Yeye Kutwa kucha TikTok Mara Istagramu Kujibinua Mknd ujue umepigwa za Uso na Lazima Udondoke Chini na Refa Anamaliza Mchezo
Kweli kabisa kiongozi kwanza kabisa ukiona mwanamke wako anapenda sana mitandao ya kijamii ujue hapo hauna mke na ukiona mwanamke wako ana marafiki wengi haijarishi kama ni wakiume au wakike jua kua umepigwa hapo
 
Aaah wewe ratiba ya nini? Mungu alijua kuumba hivyo vitu ndio maana hata viwete wanawekwa mgongoni na wenza wao. Yani hapo ni mpaka upate ugeni red 🧚‍♀️
😂Ndoa yako na idumu milele na milele amina, mwanamke unajitambua sana.
 
We si ulipenda Msambwanda na Sura? Washikaji walipokutonya ukasema bora Shape Tabia mtavumiliana? Sasa uvumilivu umekushinda?
Na hii ni sababu kubwa,wengi hawachunguzi tabia,tunaangalia Sura na body morphology kwanza 😀
 
Kikwava Soma huu ujumbe kwa umakini nadhani utakuwa ulikuwa na Wenge wakati unaoa

Kwa sisi wazoefu wa haya mambo. Kama unatafuta mchumba au mke ambaye utataka umuone mzuri daily basi haishauriwi umtongoze vuupuu! Utakwama! Haina tija kwako. Labda awe demu wa eat and drink then pita hivi.

Demu ukimuona first day one time, unaweza ukapagawa kwa First impression. Kama unaushamba wa hizi ishu ndio ile unasema umekutana na Pisikali kumbe ni wenge lako tuu.

Mimi huwaga ili nithibitishe kuwa huyu demu ni mkali basi itanipasa nimuone kwa siku zisizopungua saba. Yaani mpaka macho yangu yamzoee na kumchoka.
Kama yatamuona mzuri kwa kiwango kilekile au pungufu kidogo basi nitakuwa huyo Mwanamke ni mzuri.

Ukimtongoza tuu utashangaa ndio mwanzo wa kuona wa kawaida au mbovu kabisa. Hapo hujafanya naye ngono. Ukifanya naye ngono ndio uzuri unapotea wote mpaka unajilaumu. Sio ajabu ukaanza kukumbuka maneno ya rafiki zako waliokuwa wakikucheka kuhusu huyo demu.

Ni mzuri kwa sababu hujamtongoza. Mtongoze uone kama utamuona hivyo. Au kuwa na mazoea naye uone. Au fanya ngono naye uone.

Mke au wachumba za Watu unawaona ni warembo kwa sababu hiyohiyo. Lakini nakuhakikishia kuwa asilimia 90% ya unaowaona wazuri sio hivyo uwaonavyo. Kinachokufanya uwaone hivyo ni wenge lako, tamaa ya ngono hivyo yaani.

Wadada muelewe kuwa wanaume ndio tupo hivyo. Ndio maana mnatakiwa mjitunze kwa sababu wanaume wote unaowaona wanaokutazama barabara ukipita ni kwa sababu hawajakuzoea sio kwamba wewe ni mzuri na unamaajabu. Ukitaka uthibitishe hilo. Subiri ukae mwezi uone kama hiyo barabara iliyokuwa ukipita huku Watu na bodaboda wanakutazama na kupagawa kama watakutazama tena au kupagawa.

Ikiwa wewe ni mke au mchumba wa mtu usijejidanganya ati wewe ni mzuri kisa unatongozwa tongozwa, hizo ni akili za kitoto na kutotujua wanaume.
Wenge likikata kwetu wanaume ndio mnatuita Mbwa sisi wenyewe tunashangaa tulikuwa tumefuata nini. Wenge ni baya.

Ndoa nyingi zimevunjika, mahusiano mengi yameharibiwa kwa wanawake kutoelewa hii kanuni.

Unakuta kabinti kisa kanatongozwa tongozwa basi kanaleta dharau kwa mpenzi wake au mume wake. Wakiachana na mchumba au mumewe akitegemea ile idadi ya wanaume wanaomtongoza itakuwa vilevile anashangaa inapungua maradufu. Hata yule aliyekuwa anamuona anafaa kuzidi mumewe naye anakimbia.

Hakuna anayekuona mzuri zaidi ya yule aliyekuweka ndani, aliyekuoa au anayetaka kukuoa.
Sisi wengine ni Wenge tuu linatusumbua.
Siku lilikata ndio yanatokea ya kutokea. Na raha ya wenge letu haliwezi dumu kwa miezi sita mfululizo lazima likate.

Chunga sana
ikizidi miezi 6 jamaa bado anapagawa na wewe inamaana gani?
 
haya mambo ya kupangiwa ratiba ndio huvuruga ndoa, ngumi huweza kutokea kitandani mtu akadundwa kama ataleta ratiba hiyo
Kwanini umdunde wakati akina Aisha, Glory, zaylisa, Lushayna, wamejaa tele huko nje? Tafuta mmoja ukirudi nyumbani akigeukia upande huu wewe unageukia kule maisha yanaendelea cha muhimu tu fumanizi lisitokee pande zote mbili.
 
Pole sanaa kakaa jamani hizi ndoa zina nn?me nionavyo n wanawake wachache sanaa wanakuwa wakaidi kwa waume zao wanaowapenda kweli na kuwajali.mmefikaje hapo?je ulkuwa mume mzuur kwa mkeo?jamani wanaume hakuna miujizaaa ww kama unamuendea mwenzio kinyume then utegemee yeye awe mwema kwako unaotaaa tena aamka kwenye huo usingizi.
Asante sana, ndo hvo mkuu ishafika mahala Sasa haiwezekan kuishi pamoja ,
 
Sema pm yangu inasumbua kufunguka ningekuelekeza ufanye mwenyewe ni simple tu na haina gharama kwamba kuna kitu utanunua au mitishamba utafute. Gharama yake ni kinywaji apendacho sana.

Hapa hapaongelewi akili ya kua na Masters Bro, Ndoa ni chuo kingine kabisa
Nami sijamaanisha akili ya vitabu. Nimeuliza hawa wote hawatumii akili? Hio akili ua ndoa mnayoizungumzia. Skia ndoa ni proba tu ukiotea utajisifu ila usimcheke na kumuona hatumii akili yule anaeyumba.
 
Huu ni unafiki grade one broh.

Yani umetongoza demu ukijua ni mke wa mtu, mkapanga appointment kabisa, mmewasiliana mpaka akafika. Then unasema hukuwa na mzuka nae kwasababu wewe na wake za watu ni vitu viwili tofauti? Seriously? 😅😅
Sioni kama kuna sehemu nimeandika kwamba wakati namtongoza nilijua ni mke wa mtu!
Mimi nimekutana naye kwahiyo nikatupa ndoano na mwisho wa siku akanasa ila akaniambia yeye ameolewa hawezi kutoka muda wowote, ila saa moja mume wake atakuwa kwenye mpira kwahiyo atakuwa na nafasi ya kutoka! Nadhani umeelewa mkuu, hata hivyo siyo lazima sana uelewe kuhusu hili, maana halikuongezei kipato
 
Back
Top Bottom