Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Wote tunajua ndoa ngumu ni kuvumiliana tuu, ila hakuna kitu kinaua ndoa haraka kama mmoja wenu kila tatizo likitokea lazima litoke nje kwa mashoga zake na familia yake, au tabia ya kununa kila wakati ni sumu mbaya sana kwenye ndoa