Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
Aisee
 
Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
Pole. Hizo inaitwa ''red flags'' kizungu. Uliziona wakati wa uchumba na wewe ukaendelea na ndoa? Tabia mbaya anayoonyesha wakati wa uchumba itazidi mara mbili mkioana.
 
Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
GT RRONDO yeye anacheza na Prenup tu akioa
 
Kuoa ni kubahatisha!kuzeeka pamoja ni majaaliwa!

Coz ke wengi wanaingia kwenye ndoa Ili wapate unafuu wa maisha !

Sasa he wakishaupata wataendelea kuitumikia ndoa!!?au watataka kuanzisha maisha mengine!!?
 
Hizi ndoa hapana wakuu!

Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.

Mfano:-
  • Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
  • Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
Mkuu ndoa ni utaoeli. Mwezi wa jana kijana mmoja kafunga ndoa hapa mtaani kwetu ulhali kabla ya kuoa nilimuonya aachane na huo mpango akanipuuza. Yanayompata sasa ndani ya ndoa ni majuto ni mjukuu.
 
haya Mambo Yanaumiza sana hata mm nikitoka kwenye hili janga sidhani kama nitaoa tena
20241001_195050.jpg
 
Pole sanaa kakaa jamani hizi ndoa zina nn?me nionavyo n wanawake wachache sanaa wanakuwa wakaidi kwa waume zao wanaowapenda kweli na kuwajali.mmefikaje hapo?je ulkuwa mume mzuur kwa mkeo?jamani wanaume hakuna miujizaaa ww kama unamuendea mwenzio kinyume then utegemee yeye awe mwema kwako unaotaaa tena aamka kwenye huo usingizi.
Tatizo alivyokuwa anashauriwa kuwa mwanamke ni tabia, yeye alitafuta mwenye tako huku akijibu kwa kijeli "akili tutatumia zangu ".
 
Back
Top Bottom