heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Thisss man !!! Pole sana ilo gume gume badilisha stesheni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shekhe futari wapi Sasa??Una Sifa za mwanamume kamili, wapo desperate sana hawa Mademu 😅
Aisee 🤣Shekhe futari wapi Sasa??
Mi nasubiri vagi la kule ngea 🤒Aisee 🤣
Kuna siku nitakukaribisha baada ya 10 la pili
Nilikuwa nawaza sana jioni ya leo usiwaze Kijana wanguMi nasubiri vagi la kule ngea 🤒
Pamoja sana, mola ajalie kheri tu.Nilikuwa nawaza sana jioni ya leo usiwaze Kijana wangu
InshallahPamoja sana, mola ajalie kheri tu.
Namfukuza huyu hana hata pasaka kwangu.Fukuza umbwa hiyo
Kabla ya kuoa hukupewa ABC mkuu,au ndio wale mnaosema utambadilisha akishakuwa wa kwako...Hizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
Hilo ni bomu, acha kabisaUmenisanua mkuu, nilikuwa na demu nataka nimtolee barua April lakini nimesogeza mbele, mwanamke jeuri, ana kila aina ya tamaa ktk maisha, sifa za udangaji huko nyuma mtaa mzima unamfahamu.
Nikaona isiwe kesi, acha nighairishe nisogeze mbele na ikiwezekana niachane nae kabisa.
Hapo kwenye hayo mabaraza ndio Siri zenu zinajulikana, kama mke anapigwa nje Kila mtu atajua kwa jinsi watu walivyo wambea, shida tupuNenda Baraza la Usuluhishi la Maswala ya ndoa kwanza, wamuite mwenza wako wawasuluhishe, ikishindikana ndio upele kesi Mahakamani. Sheria inataka uanzie Barazani kwanza isipokuwa kama mwenza wako hapatikani au hataki kwenda, Baraza litawaandalia barua ambayo utaiambatanisha ukipeleka kesi Mahakamani.
Mabaraza yapo kwenye kila Kata, lakini pia yapo Makanisani na Misikitini.
Karibu tukuhudumie mkuu.
umpe taraka mkeo ubaki singo ule watoto wetu wa sekondari!Hizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
NyokooooiMkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Nina kama wiki hivi nitoka kutoa red card kwa wife...nao kawa x-wifeHizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.