Strong Durable
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 474
- 700
Ukiwa na Mke Alafu Yeye Kutwa kucha TikTok Mara Istagramu Kujibinua Mknd ujue umepigwa za Uso na Lazima Udondoke Chini na Refa Anamaliza Mchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salamaleko mkuuKikwava Soma huu ujumbe kwa umakini nadhani utakuwa ulikuwa na Wenge wakati unaoa
Kwa sisi wazoefu wa haya mambo. Kama unatafuta mchumba au mke ambaye utataka umuone mzuri daily basi haishauriwi umtongoze vuupuu! Utakwama! Haina tija kwako. Labda awe demu wa eat and drink then pita hivi.
Demu ukimuona first day one time, unaweza ukapagawa kwa First impression. Kama unaushamba wa hizi ishu ndio ile unasema umekutana na Pisikali kumbe ni wenge lako tuu.
Mimi huwaga ili nithibitishe kuwa huyu demu ni mkali basi itanipasa nimuone kwa siku zisizopungua saba. Yaani mpaka macho yangu yamzoee na kumchoka.
Kama yatamuona mzuri kwa kiwango kilekile au pungufu kidogo basi nitakuwa huyo Mwanamke ni mzuri.
Ukimtongoza tuu utashangaa ndio mwanzo wa kuona wa kawaida au mbovu kabisa. Hapo hujafanya naye ngono. Ukifanya naye ngono ndio uzuri unapotea wote mpaka unajilaumu. Sio ajabu ukaanza kukumbuka maneno ya rafiki zako waliokuwa wakikucheka kuhusu huyo demu.
Ni mzuri kwa sababu hujamtongoza. Mtongoze uone kama utamuona hivyo. Au kuwa na mazoea naye uone. Au fanya ngono naye uone.
Mke au wachumba za Watu unawaona ni warembo kwa sababu hiyohiyo. Lakini nakuhakikishia kuwa asilimia 90% ya unaowaona wazuri sio hivyo uwaonavyo. Kinachokufanya uwaone hivyo ni wenge lako, tamaa ya ngono hivyo yaani.
Wadada muelewe kuwa wanaume ndio tupo hivyo. Ndio maana mnatakiwa mjitunze kwa sababu wanaume wote unaowaona wanaokutazama barabara ukipita ni kwa sababu hawajakuzoea sio kwamba wewe ni mzuri na unamaajabu. Ukitaka uthibitishe hilo. Subiri ukae mwezi uone kama hiyo barabara iliyokuwa ukipita huku Watu na bodaboda wanakutazama na kupagawa kama watakutazama tena au kupagawa.
Ikiwa wewe ni mke au mchumba wa mtu usijejidanganya ati wewe ni mzuri kisa unatongozwa tongozwa, hizo ni akili za kitoto na kutotujua wanaume.
Wenge likikata kwetu wanaume ndio mnatuita Mbwa sisi wenyewe tunashangaa tulikuwa tumefuata nini. Wenge ni baya.
Ndoa nyingi zimevunjika, mahusiano mengi yameharibiwa kwa wanawake kutoelewa hii kanuni.
Unakuta kabinti kisa kanatongozwa tongozwa basi kanaleta dharau kwa mpenzi wake au mume wake. Wakiachana na mchumba au mumewe akitegemea ile idadi ya wanaume wanaomtongoza itakuwa vilevile anashangaa inapungua maradufu. Hata yule aliyekuwa anamuona anafaa kuzidi mumewe naye anakimbia.
Hakuna anayekuona mzuri zaidi ya yule aliyekuweka ndani, aliyekuoa au anayetaka kukuoa.
Sisi wengine ni Wenge tuu linatusumbua.
Siku lilikata ndio yanatokea ya kutokea. Na raha ya wenge letu haliwezi dumu kwa miezi sita mfululizo lazima likate.
Chunga sana
Mnaona! Mzee Taikon uje huku!Juzi kati siku ya mechi ya simba kuna bidada nilitupia ndoano akasema atakuja mida ya saa moja maana mume wake ni mpenzi wa mpira lazima ataenda mpirani na yeye atakuwa free kwahiyo tutakuwa na muda mzuri!
Mwisho wa siku bidada alikuja kweli ila sikuwa na mzuka naye tena! Maana mimi na wake za watu ni vitu viwili tofauti.
Ukikosa mwanamke bikra usioe broh.Umenisanua mkuu, nilikuwa na demu nataka nimtolee barua April lakini nimesogeza mbele, mwanamke jeuri, ana kila aina ya tamaa ktk maisha, sifa za udangaji huko nyuma mtaa mzima unamfahamu.
Nikaona isiwe kesi, acha nighairishe nisogeze mbele na ikiwezekana niachane nae kabisa.
Waleykum salaam Mkuu. Sijakufuatilia muda Sasa. Mambo mengi sana.Salamaleko mkuu
Kata si ni lazima upite au webadilisha utaratibu?Mimi nimemwambia aanzie mahakamani km hajiwezi atafute Mwanasheria amsaidie hakuna cha Kata wala Mtungi
Mhmh inaonekana mke anakudharau mnoo kupita kiasi. Mnilunulie simu mpya na umsajilie lain nyingine but make sure hiyo lain ya zamani unaiharibu kabisa. Akikataa na hilo basi ujue kuna shida kubwa kuliko kawaidaYani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako[emoji24][emoji24] unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze[emoji1787]
Wachache watakuelewa NdgMkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
Hapa hapaongelewi akili ya kua na Masters Bro, Ndoa ni chuo kingine kabisaHivi wakuu hiz akili mnazozisema kila siku ni zipi? Ina maana hawa wote wanaolalamika huwa hawatumii akili?
Mimi nakataa hiyo. Wewe unaona jamaa atakutafuta umpire pesa.Mkuu nakushauri mroge yaani mpe dawa atatulia, atakuheshimu, atakutii na atakusikiliza. Najua comment hii watu wanaojifanya wasomi wasioamini mila z kiafirika watapuuza lkn ukweli ndio huo!! Zamani babu zetu ndio walikuwa wakiwawahi wake zao kuwatoa wenge, ila vijana wa sasa wanawahiwa na wake zao.
huna akili baki hapo hapoKwa mwanamke sawa, ila kwa MKE your wrong
Unajua kutofautisha kati ya Mke na Mwanamke.. tuanzie hapo kwanzahuna akili baki hapo hapo