Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Kwani ni lazima kukubaliana nao?Na haya ndio utakayoambiwa Kanisani na kwenye Baraza la Kata, ukienda Mahakamani utakachoambiwa zaidi mwambie aje siku fulani kusikiliza Shauri lake, mchezo umeishia hapo