Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

Kasome Mithali kwanza
 
Kamtamani sana mume wa mtu sio kwa misifa ile aliyompa, jamaa angemtongoza angepewa mbususu

Adui ya mwanamke ni mwanamke
Kwalweli alivuta hisia zangu nkawa nawaza hivi mwwnamke anaanzaje mkumstress mwanaume aina ile? Ili ujue nilimfwatilia Sana Najua had rangi ya sendo alizovaa
Kadet OG aliyovaa shati had sura naikumbuka japo kulikuwa na kagizaa
 
Hahahaa halafu nyinyi wanawake mnaoneana wivu hakunaga mahali stori za wanawake zinanoga kama wakisikia mwenzao kaachika tena itokee mwamba ana kibunda

Kisaikolojia huyu mleta uzi anatamani sana yule mke wa jamaa waachanne amini ninachosema
Asishangae akaliwa na kuachwa yeye, si mnajijua mambo yenu, muonekano wa hela hela nao umechangia lakini kumchanganya cacutee kukimbilia stendi na kumpigia rafiki yake ni wazi hana mchepuko

Kwenye hili nimejifunza kuwa mwanaume ukimchanganya ndani mpk kukimbia jua umemsukuma mwenyewe kwenye mikono ya mwanamke mwingine, kuna mtu aliwahi kunambia hiki kitu, nadhani nimepata uhakiki sasa
 
Ukipiga mashine vizuri viungo vyote vya mwili vinachoka, bibie anakuwa mpole; wengi huwa tunazembea sana tunapokuwa kwenye 18, na hii ndio inayoleta kudharauliwa.
Itakua una umri mdogo,hujaona mengi,kouma haina shukurani,no kama tumbo tu,haijalishi limeshiba kiasi gani,litataka kula soon,na litafurahi zaidi likila chakula tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…