Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

Hakuna ndoa inayokosa ups and downs, ukiijua ndoa vizuri utaona ni mambo ya kawaida tu. Mwamba anatakiwa kujua namna ya kudeal na issue za familia yake, huyo mshkaji wake hana la kumsaidia.

Marriages are very tricky, tumia tu akili kudeal na mkeo.
 


Mwenye Sura ya hela unakutana nae kwenye daladala? Yaani wewe umepotea njia
 
Hakuna ndoa inayokosa ups and downs, ukiijua ndoa vizuri utaona ni mambo ya kawaida tu. Mwamba anatakiwa kujua namna ya kudeal na issue za familia yake, huyo mshkaji wake hana la kumsaidia.

Marriages are very tricky, tumia tu akili kudeal na mkeo.
Basi ye ye amemkimbia
 
Yule hata wakat anaongea na mshkaji it is like gar ameacha home wakat ametoka hakujua hata anaenda wapii. Nakwambia Yule kaka sio wa kushika bomba


Acha zako, si angechukua hata bolt, sura ya hela hakuna kwenye daladala, wewe utakuwa umeona sura ya mkaka katoka saloon tu
 
We shauri yako
Mwenzako amejikuta kwenye kituo cha daladala hajui anaenda wwpii.
We kaka najua kwa ulivyo lazima Jamii forum hukosi me ndo Yule nlokuwa nimebeba bag la mgongoni nimeshika na bahasha za chips paleee ma..... Ko...... E
Mbona kama inaonekana huyu mkaka ulivutiwa nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…