Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Eeeeh mcheza kwao hutuzwaSweet home Sweet home😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeeh mcheza kwao hutuzwaSweet home Sweet home😋
Mno yani😊Eeeeh mcheza kwao hutuzwa
Oyaaa lazima nipige mpaka ayarushe sitakuangusha, mafuriko muhimu, kunyaza kama mhaya au mnywarwandaUnaremba sana unazo za kutosha zimekuzunguka, usiache kumtoa maji kwa niaba yangu
Mbegu nzuri sana hii, usiiache ikakupita 😀 😀Sitaki mwanangu awe mpenda k km babaake asijekubaka watoto wa watu buure
Hapa sasa umenena ila kuoa unatafuta bikira wanaume konyoooOyaaa lazima nipige mpaka ayarushe sitakuangusha, mafuriko muhimu, kunyaza kama mhaya au mnywarwanda
Niko hapa kituo flan cha daladala
Basi pembeni yangu Amekaa mkaka nadhifu sanaaa anaonekana mwenye sura ya HeLa na hata hapo kituoni sijui hata anafanya nini.... Ila anaonekana mwenye stress Sana hadi anaongea kama mtu anayekaribia kutoa machozi.
Kaka huyu mrefu maji ya kunde nzuri, mwenye sura na maongezi ya upolee yuko busy anaongea na simu....
Anaonekana anaongea na mshkaj wake anamuelezea Mambo ya familia yake.... Yaani anasema hapo alipo hajui hata anaenda wapii Ila hawezi Kurudi nyumbani kwa Yule mwanamke maana anaweza kumpasua akamuua akapata kesii. Bora akae kituo cha daladala.
Badae nkamsikia anasema ".....basi ngoja nichukue daladala nikufwate Nije huko Mara Mia ....". Akadandia daladala huyooooo akatokomea na gari ya bunju.
Sasa jamani mnaishi na Simba ndani kwamba Bora ukae kituo cha daladala kuliko nyumba ambayo mkeo mpendwa uliyemlipia mahari huenda kubwa anaishi?? Ilikuwaje ukamuoa mtu wa hivi? Ni mhemko au?
A see ndoa zimegeuka ndoano kwa wengi Ila ishini humo Hadi mfe tuwazike.
Asanten.
Basi ye ye amemkimbiaHakuna ndoa inayokosa ups and downs, ukiijua ndoa vizuri utaona ni mambo ya kawaida tu. Mwamba anatakiwa kujua namna ya kudeal na issue za familia yake, huyo mshkaji wake hana la kumsaidia.
Marriages are very tricky, tumia tu akili kudeal na mkeo.
Handsome mwenye hela kula kitu roho inapenda, maana hata usipompa wewe kuna atakaempaHaha kwakweli hawa tumeletewa bahar imewatemaaa
kuna mwingine nae ana stress za mahusiano nae anaganda kama wotee
Tunaoa wife material afu tunachepuka na mademu wa ndoto zetu 🤣Hapa sasa umenena ila kuoa unatafuta bikira wanaume konyooo
Bunju ni arusha? Ila watu 😂Kwanza huko Arusha uendako umepata gari?
Yule hata wakat anaongea na mshkaji it is like gar ameacha home wakat ametoka hakujua hata anaenda wapii. Nakwambia Yule kaka sio wa kushika bomba
Mbona kama inaonekana huyu mkaka ulivutiwa naeWe shauri yako
Mwenzako amejikuta kwenye kituo cha daladala hajui anaenda wwpii.
We kaka najua kwa ulivyo lazima Jamii forum hukosi me ndo Yule nlokuwa nimebeba bag la mgongoni nimeshika na bahasha za chips paleee ma..... Ko...... E
Hivi wife material hauwezi kupata wa ndoto ?Tunaoa wife material afu tunachepuka na mademu wa ndoto zetu 🤣
Tukuleni tu hakuna namna ndo kazi ya k hailimi wala haitembei, kazi ni moja kusuguliwaTunaoa wife material afu tunachepuka na mademu wa ndoto zetu 🤣