Mkuu sio CCM tu, hakuna mwanasiasa msafi dunia hiiCCM sioni msafi.
Atamchunga vipi kama kawekwa hapo kwa maksudi hayo hayo!
Tunapenda sana kuvihusisha vitendo vya aina hii na wateuliwa, kumbe wateuzi ndio wanaojua sabau za kuwateuwa watu kama hao kwenye maeneo kama hayo.
Mnufaika mkuu siyo lazima awe Makamba mwenyewe.
Atakuwa wa chatu huyu,SII wakutoka sehemu za mchezo mchezoπ€Stive nyerere nae hajaachwa , kala spana ya utosi, ngosha wa wapi huyu ?
Bob t kola. HaaaaaSomething is not right, s'thing is quite wrong mazee..
Wakuu siongezi kitu, tumsikilize mwamba hapa..!!!
View attachment 2183141
Mustakabali wa Taifa hautokani na chuki na wivuTunashindwa kuelewana kwa sababu moja tu, bus ulilopanda na mtizamo ambao umeujenga.
Hoja ni moja kwa nini hatakiwi ?? Tunaangalia mustakhabali wa Taifa kwa wote, si maslahi yako binafsi Lord Dening yanagusa kizazi chako kinachofuatwa.
Kama nitakuwa nimeweka vema mkuu.
Mpuuzi at work! Yani Samia amtengue Makamba kwa chuki na wivu wako tu?πππHii sms inatakiwa Mh. Rais wetu Mama Samia aisome, asipomtengua, basi ALL EVILS za January zitaenda kwake mteuzi.
I repeat, ALL EVILS za January zitaonekana zinatoka kwa Mama yetu, of which mie sioni hilo kwa sasa hivi.
Unajuaje ni Chadema. Na hiyo sauti yake ya kisukuma Inawezekana ni kambo moja na Mpina......!!Chadema mnamsakama sana Makamba jr!
Wewe una ushahidi gani kuwa alishindwa...!!?POROJO nyingine....
Huna ushahidi kuwa mh.Lowassa alishinda uchaguzi mkuu....
Matokeo yanatangazwa na tume ya uchaguzi iliyomtangaza hayati JPM baada ya kushinda....unataka tusiiamini TUME na tukuamini wewe KHOISAN?!!!Wewe una ushahidi gani kuwa alishindwa...!!?
π³π³π³π€£π€£Hii sms inatakiwa Mh. Rais wetu Mama Samia aisome, asipomtengua, basi ALL EVILS za January zitaenda kwake mteuzi.
I repeat, ALL EVILS za January zitaonekana zinatoka kwa Mama yetu, of which mie sioni hilo kwa sasa hivi.
Matokeo yanatangazwa na tume ya uchaguzi iliyomtangaza hayati JPM baada ya kushinda....unataka tusiiamini TUME na tukuamini wewe KHOISAN?!!!
Ajibiwe kwa hoja wakati yeye hajatoa ushahidi wowote,πππ ngosha asipuuzwe/awekewe ulinzi na ajibiwe kwa hoja.
Uwe na adabu IBLIS ni mmoja tu duniani hapa.....umefunga ama umetoa pasi tu ?!!!π³Ushahid wa huyo iblisi wako kushindwa ni nguvu kubwa aliyoitumia kwa wapizani wake,hlo kila mwenye akili timamu na huru analijua.
Uwe na adabu IBLIS ni mmoja tu duniani hapa.....umefunga ama umetoa pasi tu ?!!![emoji15]
#Siempre JMT[emoji120]
π³π³π³π€£π€£
Wewe jamaa vipi ni OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDER inayotokana na GRANDEUR DELUSION nini ?!!!!
Yaani mh.Rais ATEUE/ATENGUE kwa sababu ya MATAKWA YAKO WEWE....kwa sababu ya CHUKI na HUSDA ZAKO wewe?!!!π³π³
Kwahiyo jina la Mwalimu litumike kwa wanaojielewa na wenye akili πππππππππSomething is not right, s'thing is quite wrong mazee..
Wakuu siongezi kitu, tumsikilize mwamba hapa..!!!
View attachment 2183141
Acha ujinga....Kumbe umekremisha basi jua iblis ana watt na wafuasi lukuki