Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
πππ ngosha asipuuzwe/awekewe ulinzi na ajibiwe kwa hoja.
Acha maneno weka uthibitisho wa wizi wa January
Acha Uongo wewe mlamba miguu, ni lini wanamsakama, si CCM wenyewe kwa wenyewe kina mpina na msukuma
shame on you
We simbilisi huchelewi kuanika tuhuma zenuAcha Uongo wewe mlamba miguu, ni lini wanamsakama, si CCM wenyewe kwa wenyewe kina mpina na msukuma
shame on you
Utamfananishaje mtu aliyekuwa akiwatisha wafanyabiashara na kuwapora Mali zao na January?January ni kama alivyokuwa Makonda kwa JPM....
Kibaya ni akitumbuliwa hapa ndio kitakuwa kifo chake cha kisiasa..... na akiachwa pia anachafua mamlaka ya uteuzi...
Ndio wahuni mnaposhikilia bango hapo eti ushahidiβ¦ndio maana tume zinaundwa kuchunguza shutuma bwaasheeeβ¦
Kwa sasa boss wako anashutumiwaβ¦badala ya kujibu hoja anafukua makaburiπ
Ngosha kaongea ukweli mchungu.!Sio majungu tu! Uongo na uzandiki
Eti Makamba mwizi! Tena January anatakiwa kuanza nae Huyu maana kajirekodi kabisa!
Apelekwe mahakamani athibitishe huo wizi wa Makamba mjinga Huyu
Shabiby aliyesema tununue mafuta ya magendo?
Sikumsikia akitoa uthibitisho wowote wa wizi wa Makamba, au wewe ulimsikia uuweke hapa?
Ana Hoja eneo fulani japo nae kwa namna nyingine kumhusu Waziri Makamba naona ni kama tu ana Chuki nae Binafsi kwani ndani ya Serikali ya CCM na hata huko Chamani Upigaji au Ufisadi kwa Makada wake ni Jambo la Kawaida na tayari ni Utamaduni uliozoeleka miongoni mwao.Something is not right, s'thing is quite wrong mazee..
Wakuu siongezi kitu, tumsikilize mwamba hapa..!!!
View attachment 2183141
Hakuna ukweli usio na uthibitisho! Alichoongeani mashudu yanayowaliwaza nyie wajinga sukuma gangNgosha kaongea ukweli mchungu.!
Usikimbie!Sikusikia neno magendo kwenye ule mchango wake mkuuβ¦hao waagizaji wako una uhakika gani na wanapo agiziaβ¦hawapendi hela?!
Acha maneno na kujibaraguza dogo! Weka uthibitisho na ushahidi hapa wa wizi wa January
Option apangiwe kazi nyingine!January ni kama alivyokuwa Makonda kwa JPM....
Kibaya ni akitumbuliwa hapa ndio kitakuwa kifo chake cha kisiasa..... na akiachwa pia anachafua mamlaka ya uteuzi...
yaani sasa madhambi yote ya ccm anapewa January !Something is not right, s'thing is quite wrong mazee..
Wakuu siongezi kitu, tumsikilize mwamba hapa..!!!
View attachment 2183141
Kama wewe mwenyewe unadai iundwe e tume that means huna ushahidi kwa nini unamuita mwizi na mpiga dili?Unda Tume
Naona mzee umepewa kitengo nyeti cha kumkinga Janu na udhaifu wake.Hakuna ukweli usio na uthibitisho! Alichoongeani mashudu yanayowaliwaza nyie wajinga sukuma gang
Habebeki.yaani sasa madhambi yote ya ccm anapewa January !
Wapuuzi Sukuma gang hawa! Hawana hoja yeyote wamekalia maneno ya kutunga tuyaani sasa madhambi yote ya ccm anapewa January !
Wewe ni january kabisa najua mwandiko wakoUzi ndo uthibitisho?
Leta uthibitisho wa wizi wake sio uzi
Kama January ni mngoni sawa mie ni JanuaryWewe ni january kabisa najua mwandiko wako