Hizi roho za watu wasio na hatia waliouawa siku ya mapinduzi ya Zanzibar January 12, 1964 zinahitaji kutendewa haki

Hizi roho za watu wasio na hatia waliouawa siku ya mapinduzi ya Zanzibar January 12, 1964 zinahitaji kutendewa haki

Mimi sijajisifu kuijua historia ya utumwa , wewe unayeijua tuwekee jina moja tu la mtumwa aliyeuliwa au kubambikiziwa kesi ya ugaidi au Mali yake kutaifishwa
Je unakubali uwepo wa biashara ya utumwa?
 
Wewe umeweka jina la hao waoman ndugu zako waliouwawa siku ya mapinduzi matukufu?

Hii thread umeisoma vizuri? Au una chuki zako tu .
Mimi sijazungumzia watumwa kuuliwa na Waarabu aliyesema ni wewe, na unajisifu umesoma historia lakini historia yako inashindwa kuweka walau jina moja tu la huyo mtumwa aliyeuliwa
 
Hii thread umeisoma vizuri? Au una chuki zako tu .
Mimi sijazungumzia watumwa kuuliwa na Waarabu aliyesema ni wewe, na unajisifu umesoma historia lakini historia yako inashindwa kuweka walau jina moja tu la huyo mtumwa aliyeuliwa
Wewe umeweka jina la hao ndugu zako Waoman waliouaawa kwenye mapjnduzi?
 
Wewe umeweka jina la hao ndugu zako Waoman waliouaawa kwenye mapjnduzi?
Mimi sijasema chochote kuhusu watumwa, aliyesema ni wewe uliyenyeshwa sumu na kanisa pamoja na baba yako Nyerere wanaohusisha mambo yaliyotokea miaka zaidi ya 200 na watu wa hivi sasa
 
Unaposhangaa kuwa kulikuwa na color movies in 1964 imeonyesha dhahiri unabisha for the sake ya kubisha. Ngoja nikuwekee color video za kabla ya 1964

Umemuona hapa Nyerere yupo Whitehouse mwaka 1963, hii ni colored video au siyo colored?


Achana na huyo mzee anazeeka vibaya, alizoea kuleta nyuzi bila ushahidi hapa, vijana wa sasahivi wanachambua mambo wakisaidiwa na technogy. Nilicho gundua wengi walio uwawa ni wanzanzibar weusi na si waarabu kama anavyo taka kutuaminisha. Pili tukijua sababu ya John Okello kufukuzwa Zanzibar na viongozi wa mapinduzi kwa msaada wa Mwalimu, tutajua ni kwanini watu waliuwawa kinyama namna hiyo ndipo Okello akapendezwa na kwenda kutangaza kwenye radio.
 
Mimi sijasema chochote kuhusu watumwa, aliyesema ni wewe uliyenyeshwa sumu na kanisa pamoja na baba yako Nyerere wanaohusisha mambo yaliyotokea miaka zaidi ya 200 na watu wa hivi sasa
Don't ** with a **, people might not notice the difference!!
 
kwni mauji ya urusi na ukereine unadhani nani aezika mizoga hiyo?


Vita ya Ukraine mwezi kesho inamaliza mwaka.
Kwasaa nchi imeshajipanga vya kutosha ili kuhakikisha maiti Zinazikwa kwa wakati na zaidi dunia imeelekezea macho yake hapo.kila aina ya misaada wanapata.
Ukraine makabuli yanachimbwa kwa greda ila Fujo za Zanzibar mnazosema ziliua halaiki mnataka tuamini kuwa makabuli yalichimbwa kwa majembe na sururu ndani ya masaa 8 huku watu wakikimbia kuokoa uhai wao.
Ulongo huu!
 
Kilichotokea it's what goes around, comes around. Kabla ya uvamizi wa Waarabu wa Oman kwenye visiwa vyetu, familia ya watawala walikuwa ni ukoo wa Mwinyimkuu, jee unajua Waarabu wavamizi hao, waliwafanya nini hadi ukoo mzima wa Mwinyimkuu ukafutika kwenye uso wa dunia na wao kujitwalia visiwa hivyo as if wameviokota vilikuwa havina mwenyewe?. It was genocide!.

Tena afadhali hata ya Mjerumani alipoitwa Tanganyika, Karl Peters aliwasainisha kina Sultan Mangugo mikataba kwenye lugha ya kijerumani hivyo mababu zetu hawakujua wana saini nini, hizo documents ndizo wakaziwasilisha kwenye mikutano wa Berlin wa 1884, kule Sultan of Zanzibar alituma uwakilishi na kueleza eneo lote la Pwani ya East Africa from Sofala to Lamu ni milki yake!, kumbe ni mvamizi tuu!.

What goes around, comes around!.
P

Duh!
 
sina chuki na watu wowote ila ukiangalia historia waafrika waliuwawa kwa wingi sana hiyo idadi ya 13000 u aweza zidisha hata mara 1000 wakati wa utumwa, sasa kuua waarabu kidogo tu mnalalamika.

fuatilia historia ya utumwa ndio utajua mabaki ya mizoga ya watu waliozagaa kwenye fukwe ya bahari hapo zenji kutokana na kufa wakati wa kuja utumwani

kwani hiyo 13000 unafikiri hawakuwa waafrika?
 
Kilichotokea it's what goes around, comes around. Kabla ya uvamizi wa Waarabu wa Oman kwenye visiwa vyetu, familia ya watawala walikuwa ni ukoo wa Mwinyimkuu, jee unajua Waarabu wavamizi hao, waliwafanya nini hadi ukoo mzima wa Mwinyimkuu ukafutika kwenye uso wa dunia na wao kujitwalia visiwa hivyo as if wameviokota vilikuwa havina mwenyewe?. It was genocide!.

Tena afadhali hata ya Mjerumani alipoitwa Tanganyika, Karl Peters aliwasainisha kina Sultan Mangugo mikataba kwenye lugha ya kijerumani hivyo mababu zetu hawakujua wana saini nini, hizo documents ndizo wakaziwasilisha kwenye mikutano wa Berlin wa 1884, kule Sultan of Zanzibar alituma uwakilishi na kueleza eneo lote la Pwani ya East Africa from Sofala to Lamu ni milki yake!, kumbe ni mvamizi tuu!.

What goes around, comes around!.
P

Huu ni ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya binadamu. Inaelekea wewe ulikuwa ukimuona Seif Shariff Hamad au Salim Ahmed Salim kimoyomoyo unaona hawa walistahili kuuawa kipindi cha mapinduzi kwa sababu wana damu ya kiarabu.

Ili kukusaidia tu, Wazanzibari wamechanganya damu. Hakuna kizazi pale cha damu pure ya race moja!. Ukienda vizazi vinne nyuma unakuta mtu fulani ndani yake ana damu ama ya kiarabu, kishirazi, mwafrika hata wahindi.
 
Hongera mwaraabu wa OMAN na pole kwa babu zako waliouwawa kwenye mapinduzi matukufu ya 1964!
Pole kwa kuondoshwa mnyamwezi mwenzako magu na waafrika wenzake .

Walouwawa 1964 si Babu zangu tu wengine ni wazee wangu, walikuja wavamizi kijijini ,shamba kabisa wakamuuwa mzee kwa kumkata kichwa mbele ya mke wake na watoto. Mke wake mpaka tumemzika mwaka juzi akili zake zilikuwa zinakwenda zikirudi.Mengine waliyoyafanya hayasemeki wala hayasameheki.
Mungu atatulipia
 
Back
Top Bottom