Sasa mkuu hata kuku anapitia process ngapi ili uweze kumla. Achinjwe, yachemshwe maji, anyonyolewe, na wale wataalamu, lazma wambanike kidogo ili waondoe manyoya madogo kwenye ngoziKisamvu kinafanyiwa make up ili kiwe mboga, kutwanga, karanga, kuchemsha n.k.
Mlenda wa bamia na majani ya mambogaHii nimeisahau
Ukizingatia utamu wa ugali ni mboga, iweje mboga ikawa chungu?Mengine hayo ni magugu, walioyagundua walikuwa wanajaribujaribu wakaona hawajafa wakayaita mboga za majani. Mfano mnavu na mchunga sijui unaitwa.
Mara ya kwanza kuonja mnavu nilikuwa shule, nikahisi supplier wa chakula kakosea mboga kaleta majani ya mbuzi. Nikasikia mchungu na hauna radha ya kustahili kuitwa chakula labda uitwe dawa, nikawaambia wadau leo supplier kapigwa wakulima wamemkusanyia malisho ya mbuzi. Washkaji wakanieleza eti hiyo ni mboga, haikuniingia akilini.
Majani ya sungura yaleMnafu, mbwembwe π€£π€£π€£
Arage ninprotini kama nyama. Sio mboga mkuuSo maharage hua unapika kwa dakika ngapi
Hata wanyama tunaokula ni kwa sababu ya balance ya eco system.Ni majani kwa ajili ya kuzuia soil erosion
Mkunungu upo Iringa na NjombeMlenda wa bamia na majani ya mamboga
Mlenda Pori huu ni wenyewe tu unasagwasagwa mixing karanga ugali wa muhogo kitu kinateleza
HahahaaaMajani ya sungura yale
Ndio ndio ule unajiotea wenyewe tu kwenye mapori huukosiMkunungu upo Iringa na Njombe
Ni muda wa kupata kigori wa kinyamwezi ili akuonjeshe mboga za asili mkuu πππMajani ya maboga, my favourite π, kisamvu na mlenda sili..actually sijawahi kula mlenda.
Ndio inakua mikubwa migumu Ila Supu yake mixing na mapaja ya kuku mboga laini sana, bimkubwa alikua anatupikia kichina yaan anamix mboga Pori pamoja kitu kinawekwa mezani utakula mpaka unajilamba alafu alikua anazipenda sanaIle miekundu sio?
Mimi naita majani ya Sungura Ila ni mboga sema Sungura ukiwapa wanakula mpaka miziziNipeni hata jina moja la kiingereza ya mboga tajwa hapo juu? Hazifaahamiki na WHO. Usile nyasi kwani we ni mbuzi πππ?
Sijui nilikula upi ila nilishangaa kwanini uliitwa mbogaKuna aina km 3, mkali wenyewe muarobaini ukasome, mkali kawaida alafu upo uliopooza
Ongezea mlendapori hii pia IPO ya aina mbili
Ongezea mchichapori hii pia IPO aina mbili mmoja una miiba mwingine hauna miiba
Sitaki hata kujaribu mlenda mkuuπ€£Ni muda wa kupata kigori wa kinyamwezi ili akuonjeshe mboga za asili mkuu πππ
Hongera mtoto wa kishua.Mimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Utakua ulikula wenyewe ule mchungu ule ukila km kurorokwini unajiuliza hii mboga au tupo kambi ya matesoSijui nilikula upi ila nilishangaa kwanini uliitwa mboga