Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Dah! Hii mbona Ni hatar Sana!
Akizdisha dozi si unapitliza unakufa[emoji848]
Mkuu nakwambia hizo dawa Ni hatari Sana, ukizidishiwa dozi lazima ukate Moto.
Hao Wanawake huwa wanafanya timing ya kutosha Sana mkuu.Yaani akikuwekea hizo dawa kwenye kinywaji anajua muda ambao zitaanza kufanya kazi mwilini mwako.Yaani Ni Kama slow poison.
Huku kwetu watu washapigwa pesa ndefu Sana kupitia hizo dawa.
 
Mkuu nakwambia hizo dawa Ni hatari Sana, ukizidishiwa dozi lazima ukate Moto.
Hao Wanawake huwa wanafanya timing ya kutosha Sana mkuu.Yaani akikuwekea hizo dawa kwenye kinywaji anajua muda ambao zitaanza kufanya kazi mwilini mwako.Yaani Ni Kama slow poison.
Huku kwetu watu washapigwa pesa ndefu Sana kupitia hizo dawa.
Dah! [emoji848]
Hzi dawa wanazipata wapi?
Madukani, hospital au wapi?
Serikali zinajua uuzaji khs hizi dawa au Ni kimya kimya Kama madawa ya kulevya?
 
Kuweni makini sana na malaya wa Sinza pale!!
 
Kuweni makini sana na malaya wa Sinza pale!!
Aisee huu uzi ndo nauona leo[emoji26]
 
Hizo zinapatikana kwenye chemists ila lazima uwe na connection nzuri kuzipata.Huwa zinauzwa kisiri sana.

Kuna documentary fulani iliandaliwa na Citizen Tv kuhusu upatikanaji na matumizi ya hizo dawa aisee Ni hatari Sana.Nyie watu mnaokunywa pombe kwenye hizi bar kubwa kubwa muwege waangalifu Sana maana watu wengi washaibiwa Sana kutokana na kawekewa hizo dawa kwenye vilevi vyao.
 
Mi ningekomaa na wewe

Tulikubaliana utume pesa. Hujatuma nimeifuata.

Nimeibiwa over a lady uliyesuggest nimualike.
Kosa langu liko wapi mkuu
Wote tulikutana kwny ulevi eneo walilonialika wao, kibaya Ni kujumuika nao?
 
Ila hapo Moja kwa moja mnyakyusa akahitimisha kua wale mabinti wote lao ni Moja,Ni wezi na pia huenda na yeye angepigwa tukio maana walipofika alikabidhi pesa zote nilizompa mil.2 5 pale counter,akabakiwa na pesa zake elfu 80 tu na kisha walipoingia TU chumbani, akafunga mlango na kuweka funguo mfukoni, binti akataka mnyakyusa ndie akatangulie yeye kuoga. Wakabishana kdg,ila binti ndo akatangulia kuoga.

Binti Alivoingia tu kuoga, mnyakyusa akasogeza kitanda hadi mlangoni,akaitoa funguo ya mlango mfukoni na kuibana na biggy G vizur nyuma ya kioo Cha Cha kujitizama cha plastic kilichoning'inizwa kwny msumari jiran na meza walikoweka vitu vyao.

Kisha binti alipomaliza kuoga,karudi katahamaki kitanda kilivokaa, mnyakyusa akamwambia kitanda akiache hivo hivo kilivyo,kaoga kamaliza, wamefanya Yao wamelala mpk asbh binti ndo anamwamsha kua kushakucha, apewe ujira wake anahitaj kuondoka. Wamelipana vzur kamfungulia binti kaondoka zake.

Mnyakyusa kamaliza kunisimulia hayo,mhaya nae ndo anatoka kuandika maelezo,namuuliza vipi, mhaya kawa mpole Hana hata Cha kusema,nkaona Bora nisimsemeshe.
Ngoja tuache polisi Kwanza wafanye kazi yao.

SEMA WAKUU,
Baada ya hiki kisa Naomba mnijuze,
hivi Hawa Makahaba wengine huwa Ni walozi, washirikina sana au vipi ?

Au Kuna vitu huwa wanawachanganyia kwenye vilevi mpk mtu anazima na kupoteza kumbukumbu KABISA anaibiwa?

Yaan yule binti namkumbuka KABISA,ukimuangalia mwonekano wake,ana aibu na sio mwongeaji huwez mdhania KABISA km anaweza fanya kitendo kile [emoji848]

Nawasilisha wakuu[emoji1431]
Pole sana kwa wageni wako mkuu. Naweza kusema kwamba wewe ndiye uliyemponza mhaya. Kama ungemtumia mzigo wake mapema asingekuja Dar kuibiwa na kahaba.

Baada ya lawama, naomba nijibu kwamba kwa jinsi mazingira ya utapeli huu yalivyotokea, inawezekana kabisa hakuna uchawi uliotumika bali ULEVI wa kupindukia ndio chanzo.

BTW hili liwe fundisho kwa wale wanaochanganya ulevi na ugegedaji.......hivi vitu ni kama mafuta na maji......havichanganyiki. Asante.
 
Pole sana kwa wageni wako mkuu. Naweza kusema kwamba wewe ndiye uliyemponza mhaya. Kama ungemtumia mzigo wake mapema asingekuja Dar kuibiwa na kahaba.

Baada ya lawama, naomba nijibu kwamba kwa jinsi mazingira ya utapeli huu yalivyotokea, inawezekana kabisa hakuna uchawi uliotumika bali ULEVI wa kupindukia ndio chanzo.

BTW hili liwe fundisho kwa wale wanaochanganya ulevi na ugegedaji.......hivi vitu ni kama mafuta na maji......havichanganyiki. Asante.
Aisee Hii Ni Changamoto,
Na kweli napata kubeba lawama
Ila nahs mhaya na uilimbuken ulichangia
Alijiachia Sana akasahau kua kaopoa kahaba
 
Back
Top Bottom