Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Siku hizi nimekuwa mvivu wa kuandika natamani kungekua na voicenote .Ebu lete iyo story apa
Hapa nilipo nina ubuyu kibao naona uvivu kuwagaia mfano ishu ya Kajala na Jonasi Mkude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi nimekuwa mvivu wa kuandika natamani kungekua na voicenote .Ebu lete iyo story apa
Surekesi yake ni nyepesi mno sababu polisi hapo wana source ya intel za kutosha hasa kupitia namba za simu kwani wanatafuta watu 2 wenye kesi ya mtu mmoja na ote wameacha lead ya pakuanzia
Hivyo hata kama simu zimezimwa zote 2 lakini kupitia hizo line police lazma watrack location zao wanazokaa mda mrefu plus picha zao lazma ziwepo so ni simple tu ni swala la kwenda kuwabeba kama kondooo
pia wanaweza dakwa watu wao wa karibu mfano unaambiwa mama yako amedakwa yuko central haachiwi mpka uje,mwenyewe utajipeleka tu au awalete mpaka ulipo
muhimu watangaze dau kwa wazee ili kazi yao ifanyike haraka hata leo wanadakwa.
Lakini we deepond, kukaa kote dar we mabinti wa sinza hujawajua kweli?Ila hapo Moja kwa moja mnyakyusa akahitimisha kua wale mabinti wote lao ni Moja,Ni wezi na pia huenda na yeye angepigwa tukio maana walipofika alikabidhi pesa zote nilizompa mil.2 5 pale counter,akabakiwa na pesa zake elfu 80 tu na kisha walipoingia TU chumbani, akafunga mlango na kuweka funguo mfukoni, binti akataka mnyakyusa ndie akatangulie yeye kuoga. Wakabishana kdg,ila binti ndo akatangulia kuoga.
Binti Alivoingia tu kuoga, mnyakyusa akasogeza kitanda hadi mlangoni,akaitoa funguo ya mlango mfukoni na kuibana na biggy G vizur nyuma ya kioo Cha Cha kujitizama cha plastic kilichoning'inizwa kwny msumari jiran na meza walikoweka vitu vyao.
Kisha binti alipomaliza kuoga,karudi katahamaki kitanda kilivokaa, mnyakyusa akamwambia kitanda akiache hivo hivo kilivyo,kaoga kamaliza, wamefanya Yao wamelala mpk asbh binti ndo anamwamsha kua kushakucha, apewe ujira wake anahitaj kuondoka. Wamelipana vzur kamfungulia binti kaondoka zake.
Mnyakyusa kamaliza kunisimulia hayo,mhaya nae ndo anatoka kuandika maelezo,namuuliza vipi, mhaya kawa mpole Hana hata Cha kusema,nkaona Bora nisimsemeshe.
Ngoja tuache polisi Kwanza wafanye kazi yao.
SEMA WAKUU,
Baada ya hiki kisa Naomba mnijuze,
hivi Hawa Makahaba wengine huwa Ni walozi, washirikina sana au vipi ?
Au Kuna vitu huwa wanawachanganyia kwenye vilevi mpk mtu anazima na kupoteza kumbukumbu KABISA anaibiwa?
Yaan yule binti namkumbuka KABISA,ukimuangalia mwonekano wake,ana aibu na sio mwongeaji huwez mdhania KABISA km anaweza fanya kitendo kile [emoji848]
Nawasilisha wakuu[emoji1431]
Sema pia huenda hayambo yapo kweli maana hata pale polisi wanasema kesi ya mhaya kupigwa tukio pale pale bar limekua la 3
Bar na lodge hakukua na camera,hotel ndo zilikuepoMkuu hapo bar hakuna access ya camera au huko lodge walipoenda
Nawajua,ila hili la namna hii lilikua nextlevelLakini we deepond, kukaa kote dar we mabinti wa sinza hujawajua kweli?
Ukipata nafas siku Moja Moja tupia[emoji4]Siku hizi nimekuwa mvivu wa kuandika natamani kungekua na voicenote .
Hapa nilipo nina ubuyu kibao naona uvivu kuwagaia mfano ishu ya Kajala na Jonasi Mkude
Tumwagie huo mzeeSiku hizi nimekuwa mvivu wa kuandika natamani kungekua na voicenote .
Hapa nilipo nina ubuyu kibao naona uvivu kuwagaia mfano ishu ya Kajala na Jonasi Mkude
Huh? He still had an option to decline kumuita mwanamke.Mi ningekomaa na wewe
Tulikubaliana utume pesa. Hujatuma nimeifuata.
Nimeibiwa over a lady uliyesuggest nimualike.
Huh? He still had an option to decline kumuita mwanamke.
Tatizo wanaume wengi have no class, kila kitu mnataka kuchakata
Kumbe hawa wapuuzi ni jeuri eeh? Na ndiyo maana wanauawaga hawa malayaWengine wanapaka madawa ya kulevya
Kwenye matiti,
Mwanaume Mwanaume ukifanya romance unayakula Na kuyanusa umekwisha!
Atakubakishia boxer tu akikuhurumia.
Hela atachukua zote, laptop n.k.
Tena mwingine anahakikisha humfanyi chochote, anakuwahi [emoji108]
Yaani alimtajia mpaka password?Kuna jamaa yangu aliwekewa dawa hio japo hata Mimi siijui kwenye redbull na mzigo akala fresh kisha akalala mpk saa tano ulikuwa weekend demu kasema na simu na card za bank katoa hela karibia mikoa minne M 10
Acha simpingHuwa nawaambia wanaume wenzangu si kila shimo unataka kuzama mengine unatakiwa kudema.
Kwangu mimi class walau ni priority
Wewe una pesa zako kisha unachukua wanawake bar? Huwa watu wanafeli wapi???Nimecheka sana Kuna siku nishaleta thread kumuhusu jamaa yangu alieibiwa kila kitu akaanza upyaaaa Kwa mazingira haya haya
Kvant mi ilinishinda,nikilewa kesho yake kila kitu nasimuliwa ,nikinywa nasahau kila kitu !![emoji57][emoji57]Hakuna Cha dawa Wala nn mhaya itakuwa k vant ilifanya yake,na ukimuuliza vizuri hata mbususu inawezekana hakula
Boda alikusaidiaje?aisee umenikumbusha kisa changu kimoja Niko zangu baa chako Ni chako Dom nakula mma nikahama kiwanja nikahamia malaika huku na kule nikasema Si nitafute bitch ya kuishi nayo nikaipata tukaanza kula nayo mma aisee bila mwanangu bodaboda nilikuwa naisha vibaya Yule Malaya sijui alinichanganyia nini
Kumbuka mhaya hakulala kwenye ile hotel waliyofikia, alipelekwa hotel nyingine na yule kahaba.mnyakyusa yeye alirudi kulala kwenye hoteli waliyokuwa wamefikiaHakuna hotel ya laki isiyo kuwa na camera