Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Sure
 
Lakini we deepond, kukaa kote dar we mabinti wa sinza hujawajua kweli?
 
aisee umenikumbusha kisa changu kimoja Niko zangu baa chako Ni chako Dom nakula mma nikahama kiwanja nikahamia malaika huku na kule nikasema Si nitafute bitch ya kuishi nayo nikaipata tukaanza kula nayo mma aisee bila mwanangu bodaboda nilikuwa naisha vibaya Yule Malaya sijui alinichanganyia nini
 
Kumbe hawa wapuuzi ni jeuri eeh? Na ndiyo maana wanauawaga hawa malaya

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Boda alikusaidiaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…