Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Kila mtu na ofisi yake.....na namna avyovutia Wateja wake....

Pengine wewe unaiona kero kuitwa shem na kuvutwa mkono....

Wengine kitendo cha kuitwa Shem tu na mwanadada asiemfahamu....Huwa zinashuka chini fasta....!

Na mdada anakuwa amefanikisha lengo kirahisi kabisa......

Hata mimi ukiniita shem katika mazingira shawishi, na lugha shawishi... na sikufahamu...... Automatically JITU BANDIA la chini lazima lisimame!
 
Hiyo avatar haikutendei haki hata robo BL. Yaani haifai!

Kwa kifupi iondoe tu yaani.

Picha zako za selfika ninazo karibia zote. Kama huna sema nikutumie moja nzuri uitumie kama avatar 😁😁🖐🖐
Hahahaaa... si avatar iendane na uhalisia lakini msukuma sio kwa michambo mnayotuchamba humuu 😂😂😂😂!!

Ngoja nirudishe manywele 😉✋!!

Waleko msalaammm !
 
Mwamba ww utakuwa hukutani na hao mara kwa mara mm nakaa mafisa mwanzo mwsho hapa msamvu njia yang kuu ni itigi kupitia jumba la dhahabu(mawe) hapa kuna mida ikifika kama saa mja hv jion utahisi dunia imefika mwisho.
Maana siku kama haijawaendea poa hao dada poa utashangaa mtu anakuja mbele yako anafunua gauni au dela lake afu anakuonesha kitumbua kilivovimba hapo ushindwe ww tu.
Lakini mwingine anakwambia uingize kidole kabsa uskie inavyonukia. N.k
Ko ww wala usijali wazoee tu wapo kazini hao
 
Watu wa Mbagala mmechoka utamu?
Leteni wengine huku Kimara. Tuna shortage.
 
Wewe. Hiyo Mafisa iko wap?
Bei elekezi je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…