Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Sema waache kukusumbua sio kutusumbua. Unajuaje kama sie wengine hatupendi?Makahaba mnaojiuza Mbagala acheni kusumbua watu wanaopita njia. Sio kila mtu ni mteja wa uchafu wenu huo.
Mtu anapita ametoka kazini wanaaza kukuita shemeji mara wakuvute mkono, hata usiojibu anakufata na kusumbua hata aibu hamna sheenzi kabisaa, mbwa nyie!