Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Kama wewe ni hustler basi changudoa hawakufai nakushauri kwa nia njema tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa changudoa wengi hawafai wengi wafanya matukio muda mwingine huwa nawaza ni kama kujishusha utu wako japo wanasaidia inapotokea emergency kitu kingine wanawake kwa sasa sio wakuwazingatia sana hasa kama huna kipato mapenzi yamekuwa ni biashara ambayo upande mmoja tu ndio unaonufaika jambo la msingi kwa vijana watafutaji kujiepusha na matumizi ya pombe yanachangia sana kufanya uzinzi ukiacha pombe unaweza toboa ata miezi 6 bila kuhitaji tendo ukapata muda mzuri wakutengeneza maisha yako mazuri
 
Ni kweli kabisa changudoa wengi hawafai wengi wafanya matukio muda mwingine huwa nawaza ni kama kujishusha utu wako japo wanasaidia inapotokea emergency kitu kingine wanawake kwa sasa sio wakuwazingatia sana hasa kama huna kipato mapenzi yamekuwa ni biashara ambayo upande mmoja tu ndio unaonufaika jambo la msingi kwa vijana watafutaji kujiepusha na matumizi ya pombe yanachangia sana kufanya uzinzi ukiacha pombe unaweza toboa ata miezi 6 bila kuhitaji tendo ukapata muda mzuri wakutengeneza maisha yako mazuri
Asant kwa ushauri mkuu ila natumia buku 5 tu kwa wiki kwaajili ya mbupu[emoji120]
 
Haijalishi mtu hana hela watu wanatumia pesa kuhonga mademu zao vitu hizi smartphone za gharama wanazomiliki dada zako unazani nani anaenunua mapenzi bila pesa wewe ni mpenzi mtazamaji tu
Ni kutojiamini tu, nyie wanunulieni tu hizo simu na uchumi wenu wa kubumba.
 
Ukipata bahati ya kuwa singo shukuru mungu na usiichezee...

MaiNo...
 
Makahaba mnaojiuza Mbagala acheni kusumbua watu wanaopita njia. Sio kila mtu ni mteja wa uchafu wenu huo.

Mtu anapita ametoka kazini wanaaza kukuita shemeji mara wakuvute mkono, hata usipojibu anakufata na kusumbua hata aibu hamna sheenzi kabisaa, mbwa nyie.
 
Back
Top Bottom