kelvind
Member
- May 19, 2023
- 59
- 41
B
BOla kununuaNdicho ulichokalili na hicho ndo kunafanya muwe na uoga sana.
Huyo mwamba hapo anasema alikua anatumia laki 3 kwa mwezi kwa ajili ya dem, sasa si ujuha huo.
Hata kama mapenzi ni pesa ila sio kutumia 300k per month kwa dem na huku kipato chako ni kidogo.