Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Habari za usiku huu wakuu,itifaki ime zingatiwa.Mimi ni kijana mchakalikaji ambae sijaoa.

Kutokana na adha za mapenzi na uchumi nimeamua kuwa nanunua makahaba pale napohisi kukidhi haja zangu za kimwili,hii imetokana na sababu kama vile:[emoji116]

1.Kumiliki demu na kuyaendesha mapenzi nimekuwa nikitumia gharama kubwa,pia usumbufu na makelele katika mapenzi vimekuwa kero kwangu.

2.Makahaba hawana mambo mengi buku 5 yako tu unakula mzigo manzi yoyote kali afu hamjuani wala kupigiana simu za kupigana mizinga.

3.Kiuchumi nimepiga hatua kubwa tangu nilipoanza kutumia njia hii,wengi mtasema kuhusu VVU na magonjwa mengine ya ngono ila hiyo ni GG maana hata uwe na mpenzi wa kudumu hayo yenyewe huwezi kuyaepuka kwani haina pasiwedi wala hujamfunga kamera.

4.Stress zimepungua mpaka nimeanza kuwa na mwili pia stamani kabisa kuwa na mpenzi kabisa.

NB:Nitaoa mke wakati ukifika maana bado najipanga staki mtoto wa mtu ateseke[emoji120]
Wewe unamilkiwa au kununuliwa na nani?
 
Neno miliki limesimama tu kama kuonesha neno 'angu'[emoji120]
Lo! Nashauri ujifunze kiswahili. Binadamu hamilikiwi. Hata wazazi hatumilki watoto wetu wala wake au waume. Tunamilki majumba, magari, mifugo na mashamba lakini siyo watu. Ni watumwa tu waliokuwa wakimilkiwa. Hata wasaidizi wa nyumbani na bustanini hatuwamilki. Mtu huru hamilkiwi
 
Lo! Nashauri ujifunze kiswahili. Binadamu hamilikiwi. Hata wazazi hatumilki watoto wetu wala wake au waume. Tunamilki majumba, magari, mifugo na mashamba lakini siyo watu. Ni watumwa tu waliokuwa wakimilkiwa. Hata wasaidizi wa nyumbani na bustanini hatuwamilki. Mtu huru hamilkiwi
Mkeo anaweza kuchukuliwa na mtu ndani kwako ukiwepo?
 
Hulipa mahari siyo mali kama heshima kwa wazazi. Huwa hanunui mke bali humlipia mahari. Hivi, wewe unajua kiswahili kweli au ni kutoka hizo nchi za jirani? Maana, Kiswahili chako kinanitia shaka
Kaka nmetumia mali cyo kwamba cjui kama ni mahari ila hoja ya msingi umeielewa acha uswahili wa Kariakoo wote tumesoma hiyo hiyo western education iliyotufanya tushindwe ata kutengeneza njiti za meno (toothpics)[emoji16]
 
Kaka nmetumia mali cyo kwamba cjui kama ni mahari ila hoja ya msingi umeielewa acha uswahili wa Kariakoo wote tumesoma hiyo hiyo western education iliyotufanya tushindwe ata kutengeneza njiti za meno (toothpics)[emoji16]
Sikujua kuwa kumbe napoteza muda na wewe. SIkujua uko hivyo. Kwa heri baki na ujinga wao nami naondoka na maarifa yangu. Father of all PhD
 
Kaka nmetumia mali cyo kwamba cjui kama ni mahari ila hoja ya msingi umeielewa acha uswahili wa Kariakoo wote tumesoma hiyo hiyo western education iliyotufanya tushindwe ata kutengeneza njiti za meno (toothpics)[emoji16]
Acha tule dangaz bwana madem tumewaachia nyinyi lia lia,sisi tushatoka huko[emoji120]
 
Back
Top Bottom