Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
TISS watu wanapata tena wapo kimya ,wapo attached kweny taasisi nyingi tu ,kuwa makini.unafikiri kupata kazi TISS ni rahisi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TISS watu wanapata tena wapo kimya ,wapo attached kweny taasisi nyingi tu ,kuwa makini.unafikiri kupata kazi TISS ni rahisi ?
Nakuambia sasa hao jamaa pesa ipo sana...Tumekaa na jamaa alifanya kazi mikoa kama 6 ndani ya miaka 10 tu...Ana pesa kinoma ila ni kada.Inategemea na kitengo ila uhalisia hauko hivyo. Wengi wanapenda Ile prestige lakini marupurupu hapana.
Utakuwa na nyota kali sana
Nyakati zingine ni kukidhi vigezo vinavyotakiwa tu.Wale wa kubebwa huwa wanaandaliwa nafasi zao baada ya kuwapata wenye sifa na uwezo kwanza ili kuficha aibu ya kupata vilaza watupu.Utakuwa na nyota kali sana
Bora niwe mchuuzi........watoto wa masikini wakikaza sana wataishia halmashauri za buhigwe ,namtumbo na simiyu ama na mashirika uchwara .
ila ukitaka utoboe kwenye hii list lazima uwe na Godfather huko, ama una ndumba kali.
mashirika na taasis zenyewe ni hizi hapa chini
1.TRA
2.BOT
3.DCEA
4.TISS
5.IMMIGRATION
6.NBS
7.TFRA
8.HAZINA
9.WORLD VISION
10.TCRA
11.DANISH REFUGEE COUNCIL
Duh... umeamua kuwa machinga?Bora niwe mchuuzi........
Nakuambia sasa hao jamaa pesa ipo sana...Tumekaa na jamaa alifanya kazi mikoa kama 6 ndani ya miaka 10 tu...Ana pesa kinoma ila ni kada.
sahihi mkuuNi kujipambania mwenyewe tu mkarimani feki ukiwazia sana hizo ajira ni kuumiza moyo tu.
ukweli mtupu chief,ila kama unatokea ukoo wa vigogo ni chap tuAcha uoga kijana.
Mbona mambo ya kawaida sana hayo.
Usiwahadae wenzako.
Kumbe... 🤔Sijui nikupangie hata taasisi bora ? Utashangaa sana hasa hapo ni 4 tu za maana ...
TISS ni ndoto na watu wanapata wanachomolewq tu kweny ofisi yeyote kutokana na nidhamu zao...Wanapelekwa mafunzo.
Uzuri wa TISS ni mmoja pesa za kutosha kazi chache ...Mda wa free ni mwingi ukipata tasks nzito ujue kuna posho za ziada.
sahihi wengine tunapauka tuUtakuwa na nyota kali sana
ukweli mtupu chief,ila kama unatokea ukoo wa vigogo ni chap tu
usawa huu nani afanye hivoo, watu tuna boksa mbili miezi nenda rudi kwa sababu ya msotoMaisha,nyakati,uhitaji,elimu na mabadiliko kadhaa kidunia yanachangia.Nakumbuka nilipomaliza kidato cha nne tu,wiki iloyofuata nikapata kazi ya ukarani kwenye kampuni ya tumbaku/Dimon.Na hata nilipohitimu kidato cha sita baada ya mwezi nikaajiriwa wilaya fulani Nyanda za juu kusini.Na bado nikawa siitaki wilaya hiyo kwa visingizio vya kitoto.Je,leo kuna mtu atafanya hivyo?
hawa wa kudra ni 0.00001 probaHmna ukweli wowote hapo.
Huenda wengi wanapata kazi kwenye hizo taasisi Kwa connection au nguvu za Giza kama unavyodai, lakini pia wapo wanaopata Kwa kudra za Mwenyezi Mungu.
hawa wa kudra ni 0.00001 proba
yaah ni sahihi tusiache ku applyLakin usiache kuaply sehemu kisa huna connection
Ni vema watu wakaheshimu ajira zao.Na waliojiajiri waweke nidhamu na maarifa zaidi ili kuboresha mazingira yao.Kila nikizikumbuka siku zile za zamani naona kama naota hivi.usawa huu nani afanye hivoo, watu tuna boksa mbili miezi nenda rudi kwa sababu ya msoto
sahihi mkuuNikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
Mhubiri 9:11
Ni vema watu wakaheshimu ajira zao.Na waliojiajiri waweke nidhamu na maarifa zaidi ili kuboresha mazingira yao.Kila nikizikumbuka siku zile za zamani naona kama naota hivi.