Hizi taasisi bila mjomba na mganga anayeeleweka hupati kazi

Utakuwa na nyota kali sana

Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.

Mhubiri 9:11
 
Bora niwe mchuuzi........
 
Nakuambia sasa hao jamaa pesa ipo sana...Tumekaa na jamaa alifanya kazi mikoa kama 6 ndani ya miaka 10 tu...Ana pesa kinoma ila ni kada.

Sijakukatalia, naomba urudie tena kusoma nilichokiandika, suala la pesa katika idara yoyote Ile , inategemea na kitengo na majukumu.

Hali kadhalika Kwa TISS, inategemea yupo kitengo gani. Sio wote wenye pesa, unataka kuniambia PSU atalingana marupurupu na aliyeko kitengo kingine? Wanatofautiana sana, na wapo wenye pesa ya kawaida kuliko wengi wanavyofikiria.

Huyo umetolea mfano ni miongoni mwa hao wenye vitengo vyenye pesa kutokana na nature ya majukumu yake.

Walio wengi ni ile heshima ya kufanya kazi huko ndio wanachofaidi zaidi. Ndio maana wengine hufikia hatua ya kulazimisha hiyo heshima Kwa jamii.
 
Kumbe... 🤔
 
usawa huu nani afanye hivoo, watu tuna boksa mbili miezi nenda rudi kwa sababu ya msoto
 
sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…