Hizi taasisi bila mjomba na mganga anayeeleweka hupati kazi

Hizi taasisi bila mjomba na mganga anayeeleweka hupati kazi

Watoto wa masikini wakikaza sana wataishia halmashauri za Buhigwe, Namtumbo na Simiyu ama na mashirika uchwara.

Ila ukitaka utoboe kwenye hii list lazima uwe na Godfather huko, ama una ndumba kali.

Mashirika na taasis zenyewe ni hizi hapa chini

1. TRA
2. BOT
3. DCEA
4. TISS
5. IMMIGRATION
6. NBS
7. TFRA
8. HAZINA
9. WORLD VISION
10. TCRA
11. DANISH REFUGEE COUNCIL
Hazina iondoe kwenye orodha, weka NSSF
 
Watoto wa masikini wakikaza sana wataishia halmashauri za Buhigwe, Namtumbo na Simiyu ama na mashirika uchwara.

Ila ukitaka utoboe kwenye hii list lazima uwe na Godfather huko, ama una ndumba kali.

Mashirika na taasis zenyewe ni hizi hapa chini

1. TRA
2. BOT
3. DCEA
4. TISS
5. IMMIGRATION
6. NBS
7. TFRA
8. HAZINA
9. WORLD VISION
10. TCRA
11. DANISH REFUGEE COUNCIL
Tasisi Bora hapo ni TRA, TISS na BOT hizo nyingine ni majina tu ila Nako njaa Kali tu , hazina ni jina tu ila hamna kitu , immigration Nako njaa tu , afadhari kidogo Hilo la wakimbizi namba 11
 
Sijui nikupangie hata taasisi bora ? Utashangaa sana hasa hapo ni 4 tu za maana ...

TISS ni ndoto na watu wanapata wanachomolewq tu kweny ofisi yeyote kutokana na nidhamu zao...Wanapelekwa mafunzo.

Uzuri wa TISS ni mmoja pesa za kutosha kazi chache ...Mda wa free ni mwingi ukipata tasks nzito ujue kuna posho za ziada.
Bro wangu first born wetu alikataaga mchongo wa kuingia TISS, tulikuaga na uncle wetu TISS alimlengesha akachomoa mazima. Pindi nipo chuo nikawa naenda msalimia yule uncle pale makumbusho kwenye flat zao ndo akawa ananipa hizo story akidhani sikuskiaga. Bahati mbaya zama zilikua zimebadilika sikupata chance kuingia japo nilitamani..ila naonaga bora hata sikwendaga huko aisee
 
Vijana wengi wa huko wanatia huruma, ndio wakopaji maarufu kwetu sisi tunaofanya kazi ya ualimu.

Kwangu mimi namba moja ningeweka TCRA, TPDC, TANAPA labda na Ngorongoro hap wengine hawana tofouti na sie walimu
Ngorongoro nayo ni taasisi ya kazi za umma? au binafsi?

Ubinadamu ni kazi Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Vijana wengi wa huko wanatia huruma, ndio wakopaji maarufu kwetu sisi tunaofanya kazi ya ualimu.

Kwangu mimi namba moja ningeweka TCRA, TPDC, TANAPA labda na Ngorongoro hap wengine hawana tofouti na sie walimu
Kwa walio na safari wanapeta sana. Ninajamaa yangu TISS yupo kitengo flani cha wenye nchi yaani jamaa ulaya na marekani ni kama kichaka tu kila mara yupo huko. Sema kiukweli jamaa wanakuaga hawana maendeleo..akijenga nyumba moja au mbili kamaliza. Wengine hata hiyo nyumba moja hawamalizi kujenga
 
Vijana wengi wa huko wanatia huruma, ndio wakopaji maarufu kwetu sisi tunaofanya kazi ya ualimu.

Kwangu mimi namba moja ningeweka TCRA, TPDC, TANAPA labda na Ngorongoro hap wengine hawana tofouti na sie walimu
Tanapa saiz njaa kali
 
Tasisi Bora hapo ni TRA, TISS na BOT hizo nyingine ni majina tu ila Nako njaa Kali tu , hazina ni jina tu ila hamna kitu , immigration Nako njaa tu , afadhari kidogo Hilo la wakimbizi namba 11
unaijua TCRA?
 
Back
Top Bottom