Dah! hii inatisha!MWENYE HATA HAO WAGANGA BASI ATUSAIDIE TUKAZIOKOE FAMILIA ZETU,TUKO TAYR KUJITOA KAFARA KWA AJILI YA NDUGU ZETU
Pole sana mkuu
nakusihi usikate tamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! hii inatisha!MWENYE HATA HAO WAGANGA BASI ATUSAIDIE TUKAZIOKOE FAMILIA ZETU,TUKO TAYR KUJITOA KAFARA KWA AJILI YA NDUGU ZETU
Hazina iondoe kwenye orodha, weka NSSFWatoto wa masikini wakikaza sana wataishia halmashauri za Buhigwe, Namtumbo na Simiyu ama na mashirika uchwara.
Ila ukitaka utoboe kwenye hii list lazima uwe na Godfather huko, ama una ndumba kali.
Mashirika na taasis zenyewe ni hizi hapa chini
1. TRA
2. BOT
3. DCEA
4. TISS
5. IMMIGRATION
6. NBS
7. TFRA
8. HAZINA
9. WORLD VISION
10. TCRA
11. DANISH REFUGEE COUNCIL
Tasisi Bora hapo ni TRA, TISS na BOT hizo nyingine ni majina tu ila Nako njaa Kali tu , hazina ni jina tu ila hamna kitu , immigration Nako njaa tu , afadhari kidogo Hilo la wakimbizi namba 11Watoto wa masikini wakikaza sana wataishia halmashauri za Buhigwe, Namtumbo na Simiyu ama na mashirika uchwara.
Ila ukitaka utoboe kwenye hii list lazima uwe na Godfather huko, ama una ndumba kali.
Mashirika na taasis zenyewe ni hizi hapa chini
1. TRA
2. BOT
3. DCEA
4. TISS
5. IMMIGRATION
6. NBS
7. TFRA
8. HAZINA
9. WORLD VISION
10. TCRA
11. DANISH REFUGEE COUNCIL
hahaa sahihi mkuuMganga mwenyewe anatafuta kazi
kupata kazi hapo,labda formfour failure ila hawa vitengo lazima ukarogeUhamiaji imekuwa dili sana sikuhizi
Nssf wazee wa internal advertsHazina iondoe kwenye orodha, weka NSSF
Tiss kawaida sana, kama ulivyosema watu wanapenda hii kazi kwa sababu ya jina 'afisa usalama' ila kwa upande wa maslahi ni kidogo sana.Inategemea na kitengo ila uhalisia hauko hivyo. Wengi wanapenda Ile prestige lakini marupurupu hapana.
Bro wangu first born wetu alikataaga mchongo wa kuingia TISS, tulikuaga na uncle wetu TISS alimlengesha akachomoa mazima. Pindi nipo chuo nikawa naenda msalimia yule uncle pale makumbusho kwenye flat zao ndo akawa ananipa hizo story akidhani sikuskiaga. Bahati mbaya zama zilikua zimebadilika sikupata chance kuingia japo nilitamani..ila naonaga bora hata sikwendaga huko aiseeSijui nikupangie hata taasisi bora ? Utashangaa sana hasa hapo ni 4 tu za maana ...
TISS ni ndoto na watu wanapata wanachomolewq tu kweny ofisi yeyote kutokana na nidhamu zao...Wanapelekwa mafunzo.
Uzuri wa TISS ni mmoja pesa za kutosha kazi chache ...Mda wa free ni mwingi ukipata tasks nzito ujue kuna posho za ziada.
Na yale ma-V8 yao mapya ya 2022 halafu eti namba ATiss kawaida sana, kama ulivyosema watu wanapenda hii kazi kwa sababu ya jina 'afisa usalama' ila kwa upande wa maslahi ni kidogo sana.
Labda uwe na asili ya nchi mbili fulani hivi ndiyo itakuwa rahisi kupataunafikiri kupata kazi TISS ni rahisi ?
Vijana wengi wa huko wanatia huruma, ndio wakopaji maarufu kwetu sisi tunaofanya kazi ya ualimu.Na yale ma-V8 yao mapya ya 2022 halafu eti namba A
Ngorongoro nayo ni taasisi ya kazi za umma? au binafsi?Vijana wengi wa huko wanatia huruma, ndio wakopaji maarufu kwetu sisi tunaofanya kazi ya ualimu.
Kwangu mimi namba moja ningeweka TCRA, TPDC, TANAPA labda na Ngorongoro hap wengine hawana tofouti na sie walimu
NCCANgorongoro nayo ni taasisi ya kazi za umma? au binafsi?
Ubinadamu ni kazi Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwa walio na safari wanapeta sana. Ninajamaa yangu TISS yupo kitengo flani cha wenye nchi yaani jamaa ulaya na marekani ni kama kichaka tu kila mara yupo huko. Sema kiukweli jamaa wanakuaga hawana maendeleo..akijenga nyumba moja au mbili kamaliza. Wengine hata hiyo nyumba moja hawamalizi kujengaVijana wengi wa huko wanatia huruma, ndio wakopaji maarufu kwetu sisi tunaofanya kazi ya ualimu.
Kwangu mimi namba moja ningeweka TCRA, TPDC, TANAPA labda na Ngorongoro hap wengine hawana tofouti na sie walimu
Tanapa saiz njaa kaliVijana wengi wa huko wanatia huruma, ndio wakopaji maarufu kwetu sisi tunaofanya kazi ya ualimu.
Kwangu mimi namba moja ningeweka TCRA, TPDC, TANAPA labda na Ngorongoro hap wengine hawana tofouti na sie walimu
unaijua TCRA?Tasisi Bora hapo ni TRA, TISS na BOT hizo nyingine ni majina tu ila Nako njaa Kali tu , hazina ni jina tu ila hamna kitu , immigration Nako njaa tu , afadhari kidogo Hilo la wakimbizi namba 11
Naijuwa vizuriunaijua TCRA?
sahihi mkuu,ila saizi wamebanwa na sekretariet ya ajira katika utumishi wa ummaTanapa umesahau
AmenHao waganga watakurudisha nyuma hatua 100 keep God first