Hofu hii inasababishwa na nini na kwanini haikuwapo wakati wa kupigania uhuru?

Hofu hii inasababishwa na nini na kwanini haikuwapo wakati wa kupigania uhuru?

Wewe Mzee una Udini sana tena sana!

Hayo ni majina ya Kiarabu na sio majina ya Kiislamu.

Sio kila mwenye jina la kiislamu basi lazima awe Muislamu.
Edward...
Una hoja inayoeleweka bahati mbaya unashindwa kuieleza kwa kuwa umetanguliza hasira kwa ile staili yetu maarufu ya, "We Mzee," ukiamini nitadhalilika kwa kuitwa Mzee.

Hakuna udini hapa ni historia ya kweli ndiyo nielezayo.

Mtafute Google George Habash au Edward Said utajifunza mengi katika nukta hii ya kuwa Uislam si jina.
 
Ndugu Mohamed,huyu matola asingetumia kina lenye kejeli kama 'kigugumizi' ungemjibu swali lake?
Mzingo,
Nimemweleza kuwa mimi nasomesha historia ambayo haikuwa inafahamika sipendi kufanya ubishi.
 
Mzee kilizi aliyefungwa kwa tabia zake za hovyo amejaa udini na chuki zidi ya wakristo wakati elimu na ufahamu kapewa na shule za kanisa wakupuuzwa hafai hata kusikilizwa.

Anataka kupotosha historia ya nchi na kuondoa umoja wa watanzania kutoka na illusion zake.

Mpotoshaji na mzushi.

#MaendeleoHayanaChama
Jiwe...
Mbona sasa unaingia katika lugha za matusi na kejeli ilhali mjadala huu unakwenda vyema kwa kubadilishana hoja?

Mbona unapotosha na kuwa mzushi kitu ambacho wewe hukipendi?
Mimi sijawahi kufungwa jela wala kupotosha historia ya Tanganyika.

Mchango wangu katika kuikuza historia ya nchi yetu unafahamika ndani na nje ya mipaka yetu.

Vitabu na makala nilizoandika zipo na zinasomwa kwingi.

Huyo hapo chini ni Mohamed Said yuko ofisini kwake Zentrum Moderner Orient (ZMO) Berlin.

Hii ni kati ya taasisi kubwa za utafiti duniani.
Nilialikwa hapa kama Visiting Scholar katika African History.

1656672016351.jpeg
 
Mohamed Said,

..mimi niko interested ktk hiyo document iliyoandikwa kwa herufi za Kiarabu.

..nadhani wasomaji wako wengi wangefurahi kama ingepatikana tafsiri ya document hiyo.

..suala la Mkwawa kuwa Muislamu sidhani kama linahitaji kubishaniwa.

..Mjukuu wa Mkwawa, former Speaker of the parliament, Mtwa Adam Sapi Mkwawa alikuwa Muislamu.

..Nadhani wasomaji wengi wangejua kwamba Uislamu uliingia ktk ardhi yetu kabla ya Ukristo kusingekuwa na ubishani mkali unaoendelea.
 
Mohamed Said,

..mimi niko interested ktk hiyo document iliyoandikwa kwa herufi za Kiarabu.

..nadhani wasomaji wako wengi wangefurahi kama ingepatikana tafsiri ya document hiyo.

..suala la Mkwawa kuwa Muislamu sidhani kama linahitaji kubishaniwa.

..Mjukuu wa Mkwawa, former Speaker of the parliament, Mtwa Adam Sapi Mkwawa alikuwa Muislamu.

..Nadhani wasomaji wengi wangejua kwamba Uislamu uliingia ktk ardhi yetu kabla ya Ukristo kusingekuwa na ubishani mkali unaoendelea.
JK,
Nashughulikia tafsir ya barua hiyo ya Mtwa Abdallah Mkwawa aliyoandika kwa herufi za Kiarabu.

ندانه لالی این بحالی کی جلوس
اجلها راجو الي سواه وسد الماء والسلام
مد وسلطان الو سے عورت
۱۳ ارل کی سنت ہو میرا دو اور دے دوں
جم الحفر بار علمی ادات التريق
وم تشریح کر جون الى الانوار
ست فجر
BARUA YA CHIFU MKWAWA / LETTER WRITTERN BY CHIEF MKWAWA
Barua iliyoandikwa na "Mtwa" kwa maandishi ya Kiarabu ikilalamikia Watemi wenzake Begere [Kilosa, Morogoro] Merere [Usangu, Mbeya] Kiwanga [Njombe] na Chabruma [Ruvuma] wakimsaliti na barua hii alimwandikia Lt. Engelhard.
The letter which was written by Chief Mkwawa by using Arabic language to complain about the fellow Chiefs Begere, Merere, Kiwanga and Chabruma who betrayed him and was addressed to Col. Engelhard.

Ningependa pia kukufahamisha kuwa Hassan bin Omar Mkunganya kaacha nyaraka nyingi alizoandika kwa herufi za Kiarabu.

Nyaraka hizi zimehifadhiwa Ujerumani.

Ukijaaliwa kupita Berlin fika Zentrum Moderner Orient (ZMO) utakuta mengi hapo katika historia ya Tanganyika.
 
Sidhani kwamba huu ni ushahidi wa kutosha kuthibitisha kwamba Mkwawa alikuwa Mwislamu.

..Kama Mtwa Mkwawa alikuwa akiandika kwa herufi za Kiarabu hudhani kwamba kuna uwezekano mkubwa alifundishwa dini ya Kiislamu?

..Unaweza ukadai kwamba, kwa nafasi yake ya Mtwa wa Wahehe, huenda Mkwawa alikuwa akiendeleza mambo ya KIMILA, lakini sidhani kama suala hilo lina-disprove the fact kuwa alisilimu.
 
Kuandika hati ya Kiarabu haimfanyi mtu kuwa Muislam, maana hiyo ni lugha tu ya mawasiliano wala haina attachment na dini yoyote. Ndiyo maana hata magazeti ya Michezo na Biashara huandikwa kwa lugha hiyo pia ili kuifikia hadhira iliyokusudiwa kupashwa habari. Hata Biblia pia yaweza kuandikwa kwa kutumia lugha hiyo ya Kiarabu. Kwahiyo ni hoja dhaifu kusema kwakuwa Mkwawa aliweza kuandika lugha hiyo basi yeye pia alikuwa Muislam.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
..Kama Mtwa Mkwawa alikuwa akiandika kwa herufi za Kiarabu hudhani kwamba kuna uwezekano mkubwa alifundishwa dini ya Kiislamu?

..Unaweza ukadai kwamba, kwa nafasi yake ya Mtwa wa Wahehe, huenda Mkwawa alikuwa akiendeleza mambo ya KIMILA, lakini sidhani kama suala hilo lina-disprove the fact kuwa alisilimu.
Alisilimu vipi wakati Mkwawa hakuwa mkristo?
 
Matola,
Mimi si mtu wa lugha za kejeli mfano wa ''kigugumizi,'' nk. nk.
Si mtu wa hivyo.
ungeanzisha hii mada nyumbani kwako uwe mwenyekiti wa kikao, wewe unataka kujibiwa yako ya wenzio unaruka ruka tu.. umeulizwa swali rahisi mtu anataka kufahamu MOHAMED SAID ni jina la Kiislam au Kiarabu... kama hujui sema hujui na wewe ufahamishwe ila sio kukimbia swali kwa kujifanya et umedharauliwa... dharau ipo wapi hapo? eti sio mtu wa hivyo, una mapembe??? Status zako kama zinakuingizia kipato post whatsapp.! usituletee hapa.
 
Back
Top Bottom