Hofu hii inasababishwa na nini na kwanini haikuwapo wakati wa kupigania uhuru?

Hofu hii inasababishwa na nini na kwanini haikuwapo wakati wa kupigania uhuru?

Kwahili Mzee wangu hapa umepotoka, mimi kijijini kwetu kwa wazee wangu kuna makaburi kama haya na hawaujui uislamu hata chembe.

Makaburi mengi ni ya hivi makaburi yenye misalaba ni ya miaka baada ya uhuru watu walipoanza kupokea dini ya wamisionari.

Kama haya makaburi ndio ushahidi wa Mkwawa alikuwa dini gani basi nenda Musoma utasema wote ni waislamu utayakuta makaburi kama haya na ukifanya utafiti utagunduwa hata baba yake Nyerere au babu yake kaburi lake ni kama hilo la Mkwawa.
Matola,
Walioniekeza kuwa Mkwawa alikuwa Muislam ni watu wa Mkwawa Museum hao ndiyo chanzo cha historia hii.

Kilichofuata wamenionyesha picha ya kaburi lake ambalo ni la Kiislam.

Mimi maishani mwangu sijapata kukutana na Pagani wala kuona makaburi yao.
 
Invisible...
Umeghadhibika.

Lugha yako imekuwa kama pana ugomvi baina yetu ilhali ni mjadala.

Huwa mtu akifika hali hii mimi humwepuka.
hapana, sijaghadhabika... ila nimeshindwa kukuelewa... umeleta mada, mtu anakuuliza vizuri kabisa na kwa ukarimu unashindwa kumjibu unaanza kumtishia... hili ni jukwaa la hoja huru ndo maana tunatumia fake ID's.. hata Mzee Magufuli(RIP) alikuwemo humu na watu wakawa wanajibishana naye kwa hoja, na hakuna siku ametishia mtu.
 
hapana, sijaghadhabika... ila nimeshindwa kukuelewa... umeleta mada, mtu anakuuliza vizuri kabisa na kwa ukarimu unashindwa kumjibu unaanza kumtishia... hili ni jukwaa la hoja huru ndo maana tunatumia fake ID's.. hata Mzee Magufuri(RIP) alikuwemo humu na watu wakawa wanajibishana naye kwa hoja, na hakuna siku ametishia mtu.
Invisible...
Hebu nionyeshe sehemu niliyomtisha mtu.
Sijapata kutumia fake ID.
 
Umeshawahi kuona au kusikia kuhusu msikiti aliokuwa anaswali mkwawa?
Ni upi au ulikua wapi?

..hilo ni suala ambalo linahitaji kufanyiwa utafiti.

..jambo lingine unalopaswa kuelewa ni kwamba ni rahisi sana Kusilimu.

..changamoto inakuja kwenye kuuishi Uislamu.
 
..Kama Mtwa Mkwawa alikuwa akiandika kwa herufi za Kiarabu hudhani kwamba kuna uwezekano mkubwa alifundishwa dini ya Kiislamu?

..Unaweza ukadai kwamba, kwa nafasi yake ya Mtwa wa Wahehe, huenda Mkwawa alikuwa akiendeleza mambo ya KIMILA, lakini sidhani kama suala hilo lina-disprove the fact kuwa alisilimu.
Sikumbuki nilisoma wapi ila inasemekana hapo awali Kiswahili kiliandikwa kwa herufi za Kiarab. Kama hili ni kweli huoni kama sio sahihi kuhusianisha hiyo barua na dini ya Mkwawa?

Nimesoma na mtu kutoka kwenye huo ukoo, nitafuatilia kuhusu hili.
 
Kwahili Mzee wangu hapa umepotoka, mimi kijijini kwetu kwa wazee wangu kuna makaburi kama haya na hawaujui uislamu hata chembe.

Makaburi mengi ni ya hivi makaburi yenye misalaba ni ya miaka baada ya uhuru watu walipoanza kupokea dini ya wamisionari.

Kama haya makaburi ndio ushahidi wa Mkwawa alikuwa dini gani basi nenda Musoma utasema wote ni waislamu utayakuta makaburi kama haya na ukifanya utafiti utagunduwa hata baba yake Nyerere au babu yake kaburi lake ni kama hilo la Mkwawa.
Hata Mbeya mjini pia makaburi ya wasafwa yamejengwa kwa namna hiyo.
 
Sikumbuki nilisoma wapi ila inasemekana hapo awali Kiswahili kiliandikwa kwa herufi za Kiarab. Kama hili ni kweli huoni kama sio sahihi kuhusianisha hiyo barua na dini ya Mkwawa?

Nimesoma na mtu kutoka kwenye huo ukoo, nitafuatilia kuhusu hili.
Leche...
Ni kweli Kiswahili kikiandikwa kwa hati za Kiarabu
Mimi nimekuta babu zetu wakiandika hivyo.
Hati za Kiarabu zilikuja kupigwa marufuku (abrogation) na Waingereza.
Hata Mbeya mjini pia makaburi ya wasafwa yamejengwa kwa namna hiyo.
Leche...
Makaburi hayo wamezikwa waumini wa dini gani?
Utaniwia radhi kwa ujinga wangu.

Mimi nimekulia mjini Dar es Salaam na makaburi ninayoyajua ni ya Waislam na ya Wakristo.

Makaburi haya yanafahamika na kila mtu.
Mkristo hazikwi ila kaburi litakuwa na msalaba.
 
Leche...
Ni kweli Kiswahili kikiandikwa kwa hati za Kiarabu
Mimi nimekuta babu zetu wakiandika hivyo.
Hati za Kiarabu zilikuja kupigwa marufuku (abrogation) na Waingereza.

Leche...
Makaburi hayo wamezikwa waumini wa dini gani?
Utaniwia radhi kwa ujinga wangu.

Mimi nimekulia mjini Dar es Salaam na makaburi ninayoyajua ni ya Waislam na ya Wakristo.

Makaburi haya yanafahamika na kila mtu.
Mkristo hazikwi ila kaburi litakuwa na msalaba.
Umemaanisha nini kusema "mkristo hazikwi" hapo mwishoni mzee wangu?
 
Sikumbuki nilisoma wapi ila inasemekana hapo awali Kiswahili kiliandikwa kwa herufi za Kiarab. Kama hili ni kweli huoni kama sio sahihi kuhusianisha hiyo barua na dini ya Mkwawa?

Nimesoma na mtu kutoka kwenye huo ukoo, nitafuatilia kuhusu hili.
Leche...
Ni kweli Kiswahili kikiandikwa kwa hati za Kiarabu
Mimi nimekuta babu zetu wakiandika hivyo.

Hati za Kiarabu zilikuja kupigwa marufuku (abrogation) na Waingereza.
Umemaanisha nini kusema "mkristo hazikwi" hapo mwishoni mzee wangu?
Mashi...
Maana yangu ni kuwa kaburi la Mkristo lazima liwekwe msalaba.
 
..Kama Mtwa Mkwawa alikuwa akiandika kwa herufi za Kiarabu hudhani kwamba kuna uwezekano mkubwa alifundishwa dini ya Kiislamu?

..Unaweza ukadai kwamba, kwa nafasi yake ya Mtwa wa Wahehe, huenda Mkwawa alikuwa akiendeleza mambo ya KIMILA, lakini sidhani kama suala hilo lina-disprove the fact kuwa alisilimu.
Kwa hiyo mtu akijua kuandika kiarabu automatic ni muislamu
 
Sikumbuki nilisoma wapi ila inasemekana hapo awali Kiswahili kiliandikwa kwa herufi za Kiarab. Kama hili ni kweli huoni kama sio sahihi kuhusianisha hiyo barua na dini ya Mkwawa?

Nimesoma na mtu kutoka kwenye huo ukoo, nitafuatilia kuhusu hili.

..kwanza alikuwa akiandika kwa herufi za Kiarabu.

..pili kuna warithi wake ambao ni Waislamu.

..tatu kuwa Muislamu sio jambo gumu.

.. Nadhani ukimkubali Mtume kwa kinywa chako mbele ya shahidi wewe tayari Muislamu.

..Wakristo wana urasimu na ukiritimba kuingia ktk dini, tofauti na Waislamu.

..sababu hizo ndizo zinazonifanya niamini kwamba upo uwezekano mkubwa kuwa Mkwawa alisilimu.
 
Hata hili ni somo pia, ningependa kufahamu Mohamed Said ni jina la Kiislam au la Kiarabu?

Je Abdallah ni jina la Kiislam au la kiarabu? Kigugumizi kiko wapi?
Abdallah ni jina kiisilamu lililoandikwa Kiarabu.

Huwezi ukaitwa Abdallah ukawa Humuamini Allah.

Abd-Allah maana yake ni servant of Allah ama Mja wa Allah.
 
Hv kugombania dini ya mtu fulani itatusaidia ni i Waafrika. Au dini Inaumuhimu hmgani kwetu?
 
Back
Top Bottom