Hofu ya Mwenyezi Mungu iliyo ndani ya Rais Samia imemfanya kuwa mkweli na muwazi katika Uendeshaji wa Serikali

Hofu ya Mwenyezi Mungu iliyo ndani ya Rais Samia imemfanya kuwa mkweli na muwazi katika Uendeshaji wa Serikali

Watanzania wengi sana bado wana ushamba wa kuchanganya dini na siasa, na viongozi wao washawajulia kwenye hilo wanawashikia akili.

Kiongozi hata kama si mtu wa dini, akiona anaingia kwenye siasa anajifanya mtu wa dini.

Samia mwenyewe alishasema alikuwa anavaa jeans na hakuvaa ushungi, baada ya kuingia kwenye siasa anajifunika ushungi aonekane ana maadili ya kidini.

Anawashikia akili mazuzu.
Huwezi ukamuongoza Mwenyezi MUNGU katika Jambo lolote lile la kiuanadamu kimafanikio,Ukiongoza bila hofu ya Mwenyezi Mungu utakuwa ni Kama kipofu gizani
 
Ndugu zangu,

Rais Samia Ni kiongozi wa kipekee Sana, Ni kiongozi mkweli na muwazi Sana. Ni kiongozi mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU. Ni kiongozi ambaye Dhamira yake na kifua chake kimetawaliwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Ni kiongozi ambaye ukimsikiliza unaona Hataki kuzungumza maneno ili kumfurahisha mtu au watu. Hapendi kudanganya Wala kuwadanganya watanzania. Anasema ukweli na Ni msema kweli muda wote.

Anaeleza kila kinachokuwa kinaendelea serikalini kwake. Anahitaji kuona watanzania Tunajuwa na kufahamu kila kitu kinachotokea na Kuendelea katika serikali yetu. Anasema na kuzungumza kilicho katika kifua chake na kilicho Cha kweli. Roho yake na maneno yake huambatana kwa pamoja na kwa kuwa Ni mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu na mcha Mungu unaona maneno yake na kauli zake zikiwa zenye uhalisia. Hii ndio sababu ya kuona akiungwa mkono na mamillion ya watanzania kwa kuwa serikali yake Inaendeshwa kwenye mwanga na siyo gizani. Ndio sababu anatetewa na wengi kwa kuwa wengi wanakuwa wanaufahamu ukweli wa mambo unaotokana na kuambiwa na kuelezwa ukweli.

Kila hatua au mchakato au maamuzi au juhudi zozote zinazokuwa zinafanywa na serikali yake lazima awaeleze watanzania, iwe Ni miradi, mikopo,Tozo, Kodi, Hali ya uchumi au vyovyote vile unaona akitoka hadharani na kuwaeleza watanzania. Ni viongozi wachache Sana Barani Afrika na hata Duniani kwote wenye uwezo wa kuendesha serikali kwa uwazi na ukweli Kama afanyavyo Rais Samia na serikali Yake.

Anafanya hivyo kwa kuwa kila afanyacho ni kwa dhamira njema kwa nchi yetu. Ni kwa kuwa Rais Samia ni mzalendo wa kweli. Ni kwa kuwa ana mapenzi ya dhati na upendo wa kweli na Taifa hili, anafanya hivyo kwa kuwa Amedhamilia kuwatumikia watanzania kwa kuiweka serikali mikononi mwa watanzania ambao ndio walio ichagua. Ndio maana anawambia ukweli pasipo kuwadanganya au kuwarubuni. Anausema ukweli hata Kama Ni mchungu.

Rais Samia Ni Mfano Wa kuigwa Barani Afrika. Ni Nyota Ya Matumaini kwa waliokata Tamaa. Ni nuru iwakayo gizani. Ni Taa imulikayo mioyo iliyokata Tamaa na kuona Giza mbele. Ni mfariji wa Taifa Kama mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali yetu. Ni Tumaini na Faraja ya wanyonge wasio na sauti. Ni nguvu kwa wanyonge Na Askari mpambanaji asiye choka Wala kukata Tamaaa katika vita ya kulipigania na kuliletea Maendeleo Taifa letu. Rais Samia Anastahili pongezi, kutiwa moyo, Faraja, kuungwa mkono, kusaidiwa vyema na wasaidizi wake, kuombewa na watanzania afya njema na nguvu za kututumikia watanzania pamoja na macho ya Rohoni ya kuona na kung'amua yasiyo weza kuonekana kwa macho ya nyama.

Mwenyezi Mungu ambariki Rais Samia na kumlimda wakati wote. Amtetee na kumpigania katika Hatua zote apigazo na kusonga mbele katika kuzielekea ndoto za kuona Taifa hili linainuka kiuchumi na kumgusa kila mtanzania afanyaye kazi na juhudi za kujikwamua kiuchumi. Ampe maarifa Zaid na zaidi ya kuongoza Taifa letu, amzidishie hekima na busara katika kufanya maamuzi juu ya Taifa letu. Ampe watu wema na waungwana na wenye Dhamira ya Dhati na kweli na ya kizalendo katika kulitumikia Taifa letu pindi wamshauripo na kutoa mawazo yao, Amuondolee watu wabaya karibu yake ili wakae mbali Naye. Ampe ujasiri wa kufanya maamuzi magumu pale inapohitajika kwa maslahi ya Taifa letu. Ampe na kumzidishia moyo wa ujasiri katika kufanya maamuzi kwa manufaa ya Taifa letu, Mwenyezi MUNGU asiondoe mkono wake mahali alipo Rais wetu, popote awapo Rais wetu Basi uwepo wa Mwenyezi MUNGU Ukawepo mahali Hapo na kusimama Naye.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Nonsense. Tafuta kazi ya kufanya, huu uchawa haukusaidii.
 
Hapo mh Rais wetu mpendwa alimaanisha kuwa viongozi wote watosheke na vipato vyao wavipatovya na vilivyopo kisheria,wasitamani na kufuja pesa za umma kwa Tamaa Binafsi, ,waridhike na mishahara yao,wasiwake Tamaa ya kujiongezea vipato kinyume na sheria
Wapi nimesema kuwa Rais hakumaanisha kuwa viongozi wasitosheke na vipato vyao?!

Unajishtukia kupinga mambo ambayo sijasema kwa kuwa unahaha na unahaha kwa sababu unajua ya kwamba unatetea uovu.
 
Huwezi ukamuongoza Mwenyezi MUNGU katika Jambo lolote lile la kiuanadamu kimafanikio,Ukiongoza bila hofu ya Mwenyezi Mungu utakuwa ni Kama kipofu gizani
Nakubaliana nawe siwezi kumuongoza Mungu.

Kwa sababu hayupo.

Nitamuongozaje Mungu kama hayupo?

Kama unabisha na kusema Mungu yupo, thibitisha Mungu yupo.
 
Mwenye hofu ya Mungu angeweza kuona na kuacha raia wakiteseka huku tozo kule maji huku umeme hapa machinga! Pumbavu kabisa Kiongozi wa hovyo asiye na hofu ya Mungu ndiye anayeweza kutesa wananchi wake kiasi hicho
Nchi gani iliyoendelea pasipo wananchi wake kushiriki katika ujenzi wa Taifa lao kupitia mikono yao Kama vile kulipa Kodi na Tozo? Ni wapi na Taifa lipi limepiga hatua pasipo wananchi wake kuchangia kutoka katika vipato vyao? Unataka Nani atujengee Taifa letu? Masuala ya maji na umeme kwa Sasa siyo changamoto kwa kuwa Hali Ni njema sana Sasa,Hali aliyokuwa imejitokeza ilikuwa Ni mpito uliotokana na Hali ya ukame uliokuwa umeikumba nchi yetu
 
Unapaswa uitwe LUCAS MWASHAMBWA CHAWA MKUU huoni Kila mtu anakupinga?
Kasome habari za Galileo uone namna alivyo pingwa na watu wengi pale alipokuwa anasimamia ukweli ,lakini mwisho wa siku waliokuwa wanampinga walikuja kugundua kuwa alikuwa sahihi,Hivyo naamini IPO siku mtakuja mkubali na kuniunga mkono katika haya niandikayo. Ukweli unabaki kuwa ukweli tu bila kuangalia wangapi wanaupinga au kuunga mkono
 
Mwenyezi MUNGU ndiye hutoa maarifa na njia kwa mwanadamu,Usipotambua uwepo wake na kuzingatia maandiko yake utajikuta unaongoza Kama kipofu au Gari lisilo Na Taa usiku,Lazima utakwenda korongoni Tu
Lkn viongoz wetu tofaut kbs hofu ya MUNGU hakunaga!! Na huo ndio ukweriii
 
Lkn viongoz wetu tofaut kbs hofu ya MUNGU hakunaga!! Na huo ndio ukweriii
Kwa mama Samia sote tunamuona na kumsikia kimaneno na kimatendo namna alivyo Tawaliwa na hofu ya Mwenyezi Mungu Moyoni mwake,unaona namna anavyohubiri na kuitenda haki katika majukumu take,Unaona namna anavyopinga uonezi kwa wananchi wake,unaona namna anavyohubiri utendekaji wa Haki kwa wasaidizi wake wafanyapo maamuzi
 
Ndugu zangu,

Rais Samia Ni kiongozi wa kipekee Sana, Ni kiongozi mkweli na muwazi Sana. Ni kiongozi mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU. Ni kiongozi ambaye Dhamira yake na kifua chake kimetawaliwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Ni kiongozi ambaye ukimsikiliza unaona Hataki kuzungumza maneno ili kumfurahisha mtu au watu. Hapendi kudanganya Wala kuwadanganya watanzania. Anasema ukweli na Ni msema kweli muda wote.

Anaeleza kila kinachokuwa kinaendelea serikalini kwake. Anahitaji kuona watanzania Tunajuwa na kufahamu kila kitu kinachotokea na Kuendelea katika serikali yetu. Anasema na kuzungumza kilicho katika kifua chake na kilicho Cha kweli. Roho yake na maneno yake huambatana kwa pamoja na kwa kuwa Ni mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu na mcha Mungu unaona maneno yake na kauli zake zikiwa zenye uhalisia. Hii ndio sababu ya kuona akiungwa mkono na mamillion ya watanzania kwa kuwa serikali yake Inaendeshwa kwenye mwanga na siyo gizani. Ndio sababu anatetewa na wengi kwa kuwa wengi wanakuwa wanaufahamu ukweli wa mambo unaotokana na kuambiwa na kuelezwa ukweli.

Kila hatua au mchakato au maamuzi au juhudi zozote zinazokuwa zinafanywa na serikali yake lazima awaeleze watanzania, iwe Ni miradi, mikopo,Tozo, Kodi, Hali ya uchumi au vyovyote vile unaona akitoka hadharani na kuwaeleza watanzania. Ni viongozi wachache Sana Barani Afrika na hata Duniani kwote wenye uwezo wa kuendesha serikali kwa uwazi na ukweli Kama afanyavyo Rais Samia na serikali Yake.

Anafanya hivyo kwa kuwa kila afanyacho ni kwa dhamira njema kwa nchi yetu. Ni kwa kuwa Rais Samia ni mzalendo wa kweli. Ni kwa kuwa ana mapenzi ya dhati na upendo wa kweli na Taifa hili, anafanya hivyo kwa kuwa Amedhamilia kuwatumikia watanzania kwa kuiweka serikali mikononi mwa watanzania ambao ndio walio ichagua. Ndio maana anawambia ukweli pasipo kuwadanganya au kuwarubuni. Anausema ukweli hata Kama Ni mchungu.

Rais Samia Ni Mfano Wa kuigwa Barani Afrika. Ni Nyota Ya Matumaini kwa waliokata Tamaa. Ni nuru iwakayo gizani. Ni Taa imulikayo mioyo iliyokata Tamaa na kuona Giza mbele. Ni mfariji wa Taifa Kama mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali yetu. Ni Tumaini na Faraja ya wanyonge wasio na sauti. Ni nguvu kwa wanyonge Na Askari mpambanaji asiye choka Wala kukata Tamaaa katika vita ya kulipigania na kuliletea Maendeleo Taifa letu. Rais Samia Anastahili pongezi, kutiwa moyo, Faraja, kuungwa mkono, kusaidiwa vyema na wasaidizi wake, kuombewa na watanzania afya njema na nguvu za kututumikia watanzania pamoja na macho ya Rohoni ya kuona na kung'amua yasiyo weza kuonekana kwa macho ya nyama.

Mwenyezi Mungu ambariki Rais Samia na kumlimda wakati wote. Amtetee na kumpigania katika Hatua zote apigazo na kusonga mbele katika kuzielekea ndoto za kuona Taifa hili linainuka kiuchumi na kumgusa kila mtanzania afanyaye kazi na juhudi za kujikwamua kiuchumi. Ampe maarifa Zaid na zaidi ya kuongoza Taifa letu, amzidishie hekima na busara katika kufanya maamuzi juu ya Taifa letu. Ampe watu wema na waungwana na wenye Dhamira ya Dhati na kweli na ya kizalendo katika kulitumikia Taifa letu pindi wamshauripo na kutoa mawazo yao, Amuondolee watu wabaya karibu yake ili wakae mbali Naye. Ampe ujasiri wa kufanya maamuzi magumu pale inapohitajika kwa maslahi ya Taifa letu. Ampe na kumzidishia moyo wa ujasiri katika kufanya maamuzi kwa manufaa ya Taifa letu, Mwenyezi MUNGU asiondoe mkono wake mahali alipo Rais wetu, popote awapo Rais wetu Basi uwepo wa Mwenyezi MUNGU Ukawepo mahali Hapo na kusimama Naye.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Watu wazuri hawafi, ndiyo maana Kikwete na Kinana hawajafa. Kumbuka Rais Samia ndiye kiongozi wa hili genge lililomuua Dkt Magufuli, Mkapa na Nyerere (hawa watu wabaya). Hiyo hofu inatoka wapi?? Au ndiyo kuogopa karma???
 
Watu wazuri hawafi, ndiyo maana Kikwete na Kinana hawajafa. Kumbuka Rais Samia ndiye kiongozi wa hili genge lililomuua Dkt Magufuli, Mkapa na Nyerere (hawa watu wabaya). Hiyo hofu inatoka wapi?? Au ndiyo kuogopa karma???
Acha kuongea mambo pasipo kuwa na ushahidi ,acha kuongea na kuandika maneno kwa kuwapaka matope watu,acha Kuandika mambo kwa hisia pasipo kuwa na uthibitisho wa aina yoyote Ile
 
Kwa mama Samia sote tunamuona na kumsikia kimaneno na kimatendo namna alivyo Tawaliwa na hofu ya Mwenyezi Mungu Moyoni mwake,unaona namna anavyohubiri na kuitenda haki katika majukumu take,Unaona namna anavyopinga uonezi kwa wananchi wake,unaona namna anavyohubiri utendekaji wa Haki kwa wasaidizi wake wafanyapo maamuzi
Mwanasiasa ni mwanasiasa mzee usidanganyike na maneno wala vitendo! Mwanasiasa kamwe hawez kua mcha MUNGU!!
 

Attachments

  • 1671513296448.jpg
    1671513296448.jpg
    34.9 KB · Views: 1
Ndugu zangu,

Rais Samia Ni kiongozi wa kipekee Sana, Ni kiongozi mkweli na muwazi Sana. Ni kiongozi mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU. Ni kiongozi ambaye Dhamira yake na kifua chake kimetawaliwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Ni kiongozi ambaye ukimsikiliza unaona Hataki kuzungumza maneno ili kumfurahisha mtu au watu. Hapendi kudanganya Wala kuwadanganya watanzania. Anasema ukweli na Ni msema kweli muda wote.

Anaeleza kila kinachokuwa kinaendelea serikalini kwake. Anahitaji kuona watanzania Tunajuwa na kufahamu kila kitu kinachotokea na Kuendelea katika serikali yetu. Anasema na kuzungumza kilicho katika kifua chake na kilicho Cha kweli. Roho yake na maneno yake huambatana kwa pamoja na kwa kuwa Ni mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu na mcha Mungu unaona maneno yake na kauli zake zikiwa zenye uhalisia. Hii ndio sababu ya kuona akiungwa mkono na mamillion ya watanzania kwa kuwa serikali yake Inaendeshwa kwenye mwanga na siyo gizani. Ndio sababu anatetewa na wengi kwa kuwa wengi wanakuwa wanaufahamu ukweli wa mambo unaotokana na kuambiwa na kuelezwa ukweli.

Kila hatua au mchakato au maamuzi au juhudi zozote zinazokuwa zinafanywa na serikali yake lazima awaeleze watanzania, iwe Ni miradi, mikopo,Tozo, Kodi, Hali ya uchumi au vyovyote vile unaona akitoka hadharani na kuwaeleza watanzania. Ni viongozi wachache Sana Barani Afrika na hata Duniani kwote wenye uwezo wa kuendesha serikali kwa uwazi na ukweli Kama afanyavyo Rais Samia na serikali Yake.

Anafanya hivyo kwa kuwa kila afanyacho ni kwa dhamira njema kwa nchi yetu. Ni kwa kuwa Rais Samia ni mzalendo wa kweli. Ni kwa kuwa ana mapenzi ya dhati na upendo wa kweli na Taifa hili, anafanya hivyo kwa kuwa Amedhamilia kuwatumikia watanzania kwa kuiweka serikali mikononi mwa watanzania ambao ndio walio ichagua. Ndio maana anawambia ukweli pasipo kuwadanganya au kuwarubuni. Anausema ukweli hata Kama Ni mchungu.

Rais Samia Ni Mfano Wa kuigwa Barani Afrika. Ni Nyota Ya Matumaini kwa waliokata Tamaa. Ni nuru iwakayo gizani. Ni Taa imulikayo mioyo iliyokata Tamaa na kuona Giza mbele. Ni mfariji wa Taifa Kama mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali yetu. Ni Tumaini na Faraja ya wanyonge wasio na sauti. Ni nguvu kwa wanyonge Na Askari mpambanaji asiye choka Wala kukata Tamaaa katika vita ya kulipigania na kuliletea Maendeleo Taifa letu. Rais Samia Anastahili pongezi, kutiwa moyo, Faraja, kuungwa mkono, kusaidiwa vyema na wasaidizi wake, kuombewa na watanzania afya njema na nguvu za kututumikia watanzania pamoja na macho ya Rohoni ya kuona na kung'amua yasiyo weza kuonekana kwa macho ya nyama.

Mwenyezi Mungu ambariki Rais Samia na kumlimda wakati wote. Amtetee na kumpigania katika Hatua zote apigazo na kusonga mbele katika kuzielekea ndoto za kuona Taifa hili linainuka kiuchumi na kumgusa kila mtanzania afanyaye kazi na juhudi za kujikwamua kiuchumi. Ampe maarifa Zaid na zaidi ya kuongoza Taifa letu, amzidishie hekima na busara katika kufanya maamuzi juu ya Taifa letu. Ampe watu wema na waungwana na wenye Dhamira ya Dhati na kweli na ya kizalendo katika kulitumikia Taifa letu pindi wamshauripo na kutoa mawazo yao, Amuondolee watu wabaya karibu yake ili wakae mbali Naye. Ampe ujasiri wa kufanya maamuzi magumu pale inapohitajika kwa maslahi ya Taifa letu. Ampe na kumzidishia moyo wa ujasiri katika kufanya maamuzi kwa manufaa ya Taifa letu, Mwenyezi MUNGU asiondoe mkono wake mahali alipo Rais wetu, popote awapo Rais wetu Basi uwepo wa Mwenyezi MUNGU Ukawepo mahali Hapo na kusimama Naye.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Kusudi la mapanbio haya ni Nini..... , Kiongozi kutekeleza majukumu yake kama inavyotakiwa kisheria Kuna shida Gani mpaka kuwe kumtukuza Ivyo,
Kijana pambana na hali yako. Dunia
haiwezi kutambua thamani Yako kama wewe...haujaitambua wewe mwenyewe....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Rais Samia Ni kiongozi wa kipekee Sana, Ni kiongozi mkweli na muwazi Sana. Ni kiongozi mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Naunga mkono hoja, Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania 2025. Hivyo kwanza tumemshauri Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! kisha Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
P
 
Kusudi la mapanbio haya ni Nini..... , Kiongozi kutekeleza majukumu yake kama inavyotakiwa kisheria Kuna shida Gani mpaka kuwe kumtukuza Ivyo,
Kijana pambana na hali yako. Dunia
haiwezi kutambua thamani Yako kama wewe...haujaitambua wewe mwenyewe....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani watu wangapi wanapewa kila aina ya stahiki na malipo lakini wanashindwa kutimiza wajibu wao? Kama watu na viongozi wote wangekuwa wanatekeleza majukumu na wajibu wao unafikiri kungekuwa na mabango katika ziara za viongozi wetu wakuu? Unafikiri mbio za mwenge zingeibua ufisadi? Unafikiri kungekuwa na kero ndogo ndogo? Huoni hayo yanatokea kwa kuwa Kuna viongozi wanaolipwa mishahara lakini hawatimiza wajibu wao? Sasa kwanini Tusimpongeze mh Rais wetu kwa kutimiza vyema wajibu wake? Kwanini tusimtie moyo na kumpa faraja? Kwani Tusimuunge mkono kwa kutimiza wajibu wake vyema?
 
Una hoja za kitoto sana
Pole Sana ndugu yangu kwa Imani hiyo,Ila naomba uamini kuanzia leo kuwa Mwenyezi MUNGU muumba wa mbingu na Dunia yupo hai,pia lazima ufahamu kuwa hata uzima na uwepo hai kwako mpaka leo hii Ni kwa Neema ya Mwenyezi MUNGU,jiulize wangapi ulio kuwa unaowafahamu au ndugu zako wa karibu au jirani wametangulia mbele za haki? Jiulize kwanini wewe upo hai Hadi leo? Tambua Ni kwa Neema tu ya Mwenyezi Mungu na makusudi take,Mrudie muumba wako kwa kumtumainia na kumtegemea kwa kila jambo
 
Back
Top Bottom