Hofu ya Mwenyezi Mungu iliyo ndani ya Rais Samia imemfanya kuwa mkweli na muwazi katika Uendeshaji wa Serikali

Hofu ya Mwenyezi Mungu iliyo ndani ya Rais Samia imemfanya kuwa mkweli na muwazi katika Uendeshaji wa Serikali

Vipi kuhusu jiwe? Alikuwa na hofu ya Mungu?
Mwenye hofu ya Mungu angeweza kuona na kuacha raia wakiteseka huku tozo kule maji huku umeme hapa machinga! Pumbavu kabisa Kiongozi wa hovyo asiye na hofu ya Mungu ndiye anayeweza kutesa wananchi wake kiasi hicho
 
Angekuwa mpagani asiyemuamini Mungu msingekuwa na imani naye na msingemuunga mkono?
Rais wetu Ni mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu, watanzania Tuna Imani naye na Tuna mwamini na kumuunga mkono
 
Ndugu zangu,

Rais Samia Ni kiongozi wa kipekee Sana, Ni kiongozi mkweli na muwazi Sana. Ni kiongozi mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU. Ni kiongozi ambaye Dhamira yake na kifua chake kimetawaliwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Ni kiongozi ambaye ukimsikiliza unaona Hataki kuzungumza maneno ili kumfurahisha mtu au watu. Hapendi kudanganya Wala kuwadanganya watanzania. Anasema ukweli na Ni msema kweli muda wote.

Anaeleza kila kinachokuwa kinaendelea serikalini kwake. Anahitaji kuona watanzania Tunajuwa na kufahamu kila kitu kinachotokea na Kuendelea katika serikali yetu. Anasema na kuzungumza kilicho katika kifua chake na kilicho Cha kweli. Roho yake na maneno yake huambatana kwa pamoja na kwa kuwa Ni mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu na mcha Mungu unaona maneno yake na kauli zake zikiwa zenye uhalisia. Hii ndio sababu ya kuona akiungwa mkono na mamillion ya watanzania kwa kuwa serikali yake Inaendeshwa kwenye mwanga na siyo gizani. Ndio sababu anatetewa na wengi kwa kuwa wengi wanakuwa wanaufahamu ukweli wa mambo unaotokana na kuambiwa na kuelezwa ukweli.

Kila hatua au mchakato au maamuzi au juhudi zozote zinazokuwa zinafanywa na serikali yake lazima awaeleze watanzania, iwe Ni miradi, mikopo,Tozo, Kodi, Hali ya uchumi au vyovyote vile unaona akitoka hadharani na kuwaeleza watanzania. Ni viongozi wachache Sana Barani Afrika na hata Duniani kwote wenye uwezo wa kuendesha serikali kwa uwazi na ukweli Kama afanyavyo Rais Samia na serikali Yake.

Anafanya hivyo kwa kuwa kila afanyacho ni kwa dhamira njema kwa nchi yetu. Ni kwa kuwa Rais Samia ni mzalendo wa kweli. Ni kwa kuwa ana mapenzi ya dhati na upendo wa kweli na Taifa hili, anafanya hivyo kwa kuwa Amedhamilia kuwatumikia watanzania kwa kuiweka serikali mikononi mwa watanzania ambao ndio walio ichagua. Ndio maana anawambia ukweli pasipo kuwadanganya au kuwarubuni. Anausema ukweli hata Kama Ni mchungu.

Rais Samia Ni Mfano Wa kuigwa Barani Afrika. Ni Nyota Ya Matumaini kwa waliokata Tamaa. Ni nuru iwakayo gizani. Ni Taa imulikayo mioyo iliyokata Tamaa na kuona Giza mbele. Ni mfariji wa Taifa Kama mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali yetu. Ni Tumaini na Faraja ya wanyonge wasio na sauti. Ni nguvu kwa wanyonge Na Askari mpambanaji asiye choka Wala kukata Tamaaa katika vita ya kulipigania na kuliletea Maendeleo Taifa letu. Rais Samia Anastahili pongezi, kutiwa moyo, Faraja, kuungwa mkono, kusaidiwa vyema na wasaidizi wake, kuombewa na watanzania afya njema na nguvu za kututumikia watanzania pamoja na macho ya Rohoni ya kuona na kung'amua yasiyo weza kuonekana kwa macho ya nyama.

Mwenyezi Mungu ambariki Rais Samia na kumlimda wakati wote. Amtetee na kumpigania katika Hatua zote apigazo na kusonga mbele katika kuzielekea ndoto za kuona Taifa hili linainuka kiuchumi na kumgusa kila mtanzania afanyaye kazi na juhudi za kujikwamua kiuchumi. Ampe maarifa Zaid na zaidi ya kuongoza Taifa letu, amzidishie hekima na busara katika kufanya maamuzi juu ya Taifa letu. Ampe watu wema na waungwana na wenye Dhamira ya Dhati na kweli na ya kizalendo katika kulitumikia Taifa letu pindi wamshauripo na kutoa mawazo yao, Amuondolee watu wabaya karibu yake ili wakae mbali Naye. Ampe ujasiri wa kufanya maamuzi magumu pale inapohitajika kwa maslahi ya Taifa letu. Ampe na kumzidishia moyo wa ujasiri katika kufanya maamuzi kwa manufaa ya Taifa letu, Mwenyezi MUNGU asiondoe mkono wake mahali alipo Rais wetu, popote awapo Rais wetu Basi uwepo wa Mwenyezi MUNGU Ukawepo mahali Hapo na kusimama Naye.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Uwe unakula kwa wakati
 
Niwaze nin na holiday hii
Waza kusudi la kuumbwa kwako na kuwepo hai kwako mpaka leo hii ilihali wengine walisha tangulia mbele za haki,jiulize umefanya nini kikubwa mbele za Mwenyezi Mungu mpaka ukastahili Neema na bahati ya kuwepo mpaka leo. Tuendelee kuomba Neema ya Mungu ili tumalize mwaka salama,Tuwaombee na wengine pia walio wagonjwa ili wapate kupona kwa uweza wa Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema
 
Ndugu zangu,

Rais Samia Ni kiongozi wa kipekee Sana, Ni kiongozi mkweli na muwazi Sana. Ni kiongozi mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU. Ni kiongozi ambaye Dhamira yake na kifua chake kimetawaliwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Ni kiongozi ambaye ukimsikiliza unaona Hataki kuzungumza maneno ili kumfurahisha mtu au watu. Hapendi kudanganya Wala kuwadanganya watanzania. Anasema ukweli na Ni msema kweli muda wote.

Anaeleza kila kinachokuwa kinaendelea serikalini kwake. Anahitaji kuona watanzania Tunajuwa na kufahamu kila kitu kinachotokea na Kuendelea katika serikali yetu. Anasema na kuzungumza kilicho katika kifua chake na kilicho Cha kweli. Roho yake na maneno yake huambatana kwa pamoja na kwa kuwa Ni mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu na mcha Mungu unaona maneno yake na kauli zake zikiwa zenye uhalisia. Hii ndio sababu ya kuona akiungwa mkono na mamillion ya watanzania kwa kuwa serikali yake Inaendeshwa kwenye mwanga na siyo gizani. Ndio sababu anatetewa na wengi kwa kuwa wengi wanakuwa wanaufahamu ukweli wa mambo unaotokana na kuambiwa na kuelezwa ukweli.

Kila hatua au mchakato au maamuzi au juhudi zozote zinazokuwa zinafanywa na serikali yake lazima awaeleze watanzania, iwe Ni miradi, mikopo,Tozo, Kodi, Hali ya uchumi au vyovyote vile unaona akitoka hadharani na kuwaeleza watanzania. Ni viongozi wachache Sana Barani Afrika na hata Duniani kwote wenye uwezo wa kuendesha serikali kwa uwazi na ukweli Kama afanyavyo Rais Samia na serikali Yake.

Anafanya hivyo kwa kuwa kila afanyacho ni kwa dhamira njema kwa nchi yetu. Ni kwa kuwa Rais Samia ni mzalendo wa kweli. Ni kwa kuwa ana mapenzi ya dhati na upendo wa kweli na Taifa hili, anafanya hivyo kwa kuwa Amedhamilia kuwatumikia watanzania kwa kuiweka serikali mikononi mwa watanzania ambao ndio walio ichagua. Ndio maana anawambia ukweli pasipo kuwadanganya au kuwarubuni. Anausema ukweli hata Kama Ni mchungu.

Rais Samia Ni Mfano Wa kuigwa Barani Afrika. Ni Nyota Ya Matumaini kwa waliokata Tamaa. Ni nuru iwakayo gizani. Ni Taa imulikayo mioyo iliyokata Tamaa na kuona Giza mbele. Ni mfariji wa Taifa Kama mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali yetu. Ni Tumaini na Faraja ya wanyonge wasio na sauti. Ni nguvu kwa wanyonge Na Askari mpambanaji asiye choka Wala kukata Tamaaa katika vita ya kulipigania na kuliletea Maendeleo Taifa letu. Rais Samia Anastahili pongezi, kutiwa moyo, Faraja, kuungwa mkono, kusaidiwa vyema na wasaidizi wake, kuombewa na watanzania afya njema na nguvu za kututumikia watanzania pamoja na macho ya Rohoni ya kuona na kung'amua yasiyo weza kuonekana kwa macho ya nyama.

Mwenyezi Mungu ambariki Rais Samia na kumlimda wakati wote. Amtetee na kumpigania katika Hatua zote apigazo na kusonga mbele katika kuzielekea ndoto za kuona Taifa hili linainuka kiuchumi na kumgusa kila mtanzania afanyaye kazi na juhudi za kujikwamua kiuchumi. Ampe maarifa Zaid na zaidi ya kuongoza Taifa letu, amzidishie hekima na busara katika kufanya maamuzi juu ya Taifa letu. Ampe watu wema na waungwana na wenye Dhamira ya Dhati na kweli na ya kizalendo katika kulitumikia Taifa letu pindi wamshauripo na kutoa mawazo yao, Amuondolee watu wabaya karibu yake ili wakae mbali Naye. Ampe ujasiri wa kufanya maamuzi magumu pale inapohitajika kwa maslahi ya Taifa letu. Ampe na kumzidishia moyo wa ujasiri katika kufanya maamuzi kwa manufaa ya Taifa letu, Mwenyezi MUNGU asiondoe mkono wake mahali alipo Rais wetu, popote awapo Rais wetu Basi uwepo wa Mwenyezi MUNGU Ukawepo mahali Hapo na kusimama Naye.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Umeandika mengi ila hopeless kabisa
 
Ndugu zangu,

Rais Samia Ni kiongozi wa kipekee Sana, Ni kiongozi mkweli na muwazi Sana. Ni kiongozi mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU. Ni kiongozi ambaye Dhamira yake na kifua chake kimetawaliwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Ni kiongozi ambaye ukimsikiliza unaona Hataki kuzungumza maneno ili kumfurahisha mtu au watu. Hapendi kudanganya Wala kuwadanganya watanzania. Anasema ukweli na Ni msema kweli muda wote.

Anaeleza kila kinachokuwa kinaendelea serikalini kwake. Anahitaji kuona watanzania Tunajuwa na kufahamu kila kitu kinachotokea na Kuendelea katika serikali yetu. Anasema na kuzungumza kilicho katika kifua chake na kilicho Cha kweli. Roho yake na maneno yake huambatana kwa pamoja na kwa kuwa Ni mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu na mcha Mungu unaona maneno yake na kauli zake zikiwa zenye uhalisia. Hii ndio sababu ya kuona akiungwa mkono na mamillion ya watanzania kwa kuwa serikali yake Inaendeshwa kwenye mwanga na siyo gizani. Ndio sababu anatetewa na wengi kwa kuwa wengi wanakuwa wanaufahamu ukweli wa mambo unaotokana na kuambiwa na kuelezwa ukweli.

Kila hatua au mchakato au maamuzi au juhudi zozote zinazokuwa zinafanywa na serikali yake lazima awaeleze watanzania, iwe Ni miradi, mikopo,Tozo, Kodi, Hali ya uchumi au vyovyote vile unaona akitoka hadharani na kuwaeleza watanzania. Ni viongozi wachache Sana Barani Afrika na hata Duniani kwote wenye uwezo wa kuendesha serikali kwa uwazi na ukweli Kama afanyavyo Rais Samia na serikali Yake.

Anafanya hivyo kwa kuwa kila afanyacho ni kwa dhamira njema kwa nchi yetu. Ni kwa kuwa Rais Samia ni mzalendo wa kweli. Ni kwa kuwa ana mapenzi ya dhati na upendo wa kweli na Taifa hili, anafanya hivyo kwa kuwa Amedhamilia kuwatumikia watanzania kwa kuiweka serikali mikononi mwa watanzania ambao ndio walio ichagua. Ndio maana anawambia ukweli pasipo kuwadanganya au kuwarubuni. Anausema ukweli hata Kama Ni mchungu.

Rais Samia Ni Mfano Wa kuigwa Barani Afrika. Ni Nyota Ya Matumaini kwa waliokata Tamaa. Ni nuru iwakayo gizani. Ni Taa imulikayo mioyo iliyokata Tamaa na kuona Giza mbele. Ni mfariji wa Taifa Kama mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali yetu. Ni Tumaini na Faraja ya wanyonge wasio na sauti. Ni nguvu kwa wanyonge Na Askari mpambanaji asiye choka Wala kukata Tamaaa katika vita ya kulipigania na kuliletea Maendeleo Taifa letu. Rais Samia Anastahili pongezi, kutiwa moyo, Faraja, kuungwa mkono, kusaidiwa vyema na wasaidizi wake, kuombewa na watanzania afya njema na nguvu za kututumikia watanzania pamoja na macho ya Rohoni ya kuona na kung'amua yasiyo weza kuonekana kwa macho ya nyama.

Mwenyezi Mungu ambariki Rais Samia na kumlimda wakati wote. Amtetee na kumpigania katika Hatua zote apigazo na kusonga mbele katika kuzielekea ndoto za kuona Taifa hili linainuka kiuchumi na kumgusa kila mtanzania afanyaye kazi na juhudi za kujikwamua kiuchumi. Ampe maarifa Zaid na zaidi ya kuongoza Taifa letu, amzidishie hekima na busara katika kufanya maamuzi juu ya Taifa letu. Ampe watu wema na waungwana na wenye Dhamira ya Dhati na kweli na ya kizalendo katika kulitumikia Taifa letu pindi wamshauripo na kutoa mawazo yao, Amuondolee watu wabaya karibu yake ili wakae mbali Naye. Ampe ujasiri wa kufanya maamuzi magumu pale inapohitajika kwa maslahi ya Taifa letu. Ampe na kumzidishia moyo wa ujasiri katika kufanya maamuzi kwa manufaa ya Taifa letu, Mwenyezi MUNGU asiondoe mkono wake mahali alipo Rais wetu, popote awapo Rais wetu Basi uwepo wa Mwenyezi MUNGU Ukawepo mahali Hapo na kusimama Naye.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Una elimu ya kiasi gani?
 
Hata shetani huwa anatetemeka mbele za Mungu,kwa ujumla shetani Ana hofu ya Mungu pia
 
Ndugu zangu,

Rais Samia Ni kiongozi wa kipekee Sana, Ni kiongozi mkweli na muwazi Sana. Ni kiongozi mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU. Ni kiongozi ambaye Dhamira yake na kifua chake kimetawaliwa na hofu ya Mwenyezi Mungu. Ni kiongozi ambaye ukimsikiliza unaona Hataki kuzungumza maneno ili kumfurahisha mtu au watu. Hapendi kudanganya Wala kuwadanganya watanzania. Anasema ukweli na Ni msema kweli muda wote.

Anaeleza kila kinachokuwa kinaendelea serikalini kwake. Anahitaji kuona watanzania Tunajuwa na kufahamu kila kitu kinachotokea na Kuendelea katika serikali yetu. Anasema na kuzungumza kilicho katika kifua chake na kilicho Cha kweli. Roho yake na maneno yake huambatana kwa pamoja na kwa kuwa Ni mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu na mcha Mungu unaona maneno yake na kauli zake zikiwa zenye uhalisia. Hii ndio sababu ya kuona akiungwa mkono na mamillion ya watanzania kwa kuwa serikali yake Inaendeshwa kwenye mwanga na siyo gizani. Ndio sababu anatetewa na wengi kwa kuwa wengi wanakuwa wanaufahamu ukweli wa mambo unaotokana na kuambiwa na kuelezwa ukweli.

Kila hatua au mchakato au maamuzi au juhudi zozote zinazokuwa zinafanywa na serikali yake lazima awaeleze watanzania, iwe Ni miradi, mikopo,Tozo, Kodi, Hali ya uchumi au vyovyote vile unaona akitoka hadharani na kuwaeleza watanzania. Ni viongozi wachache Sana Barani Afrika na hata Duniani kwote wenye uwezo wa kuendesha serikali kwa uwazi na ukweli Kama afanyavyo Rais Samia na serikali Yake.

Anafanya hivyo kwa kuwa kila afanyacho ni kwa dhamira njema kwa nchi yetu. Ni kwa kuwa Rais Samia ni mzalendo wa kweli. Ni kwa kuwa ana mapenzi ya dhati na upendo wa kweli na Taifa hili, anafanya hivyo kwa kuwa Amedhamilia kuwatumikia watanzania kwa kuiweka serikali mikononi mwa watanzania ambao ndio walio ichagua. Ndio maana anawambia ukweli pasipo kuwadanganya au kuwarubuni. Anausema ukweli hata Kama Ni mchungu.

Rais Samia Ni Mfano Wa kuigwa Barani Afrika. Ni Nyota Ya Matumaini kwa waliokata Tamaa. Ni nuru iwakayo gizani. Ni Taa imulikayo mioyo iliyokata Tamaa na kuona Giza mbele. Ni mfariji wa Taifa Kama mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali yetu. Ni Tumaini na Faraja ya wanyonge wasio na sauti. Ni nguvu kwa wanyonge Na Askari mpambanaji asiye choka Wala kukata Tamaaa katika vita ya kulipigania na kuliletea Maendeleo Taifa letu. Rais Samia Anastahili pongezi, kutiwa moyo, Faraja, kuungwa mkono, kusaidiwa vyema na wasaidizi wake, kuombewa na watanzania afya njema na nguvu za kututumikia watanzania pamoja na macho ya Rohoni ya kuona na kung'amua yasiyo weza kuonekana kwa macho ya nyama.

Mwenyezi Mungu ambariki Rais Samia na kumlimda wakati wote. Amtetee na kumpigania katika Hatua zote apigazo na kusonga mbele katika kuzielekea ndoto za kuona Taifa hili linainuka kiuchumi na kumgusa kila mtanzania afanyaye kazi na juhudi za kujikwamua kiuchumi. Ampe maarifa Zaid na zaidi ya kuongoza Taifa letu, amzidishie hekima na busara katika kufanya maamuzi juu ya Taifa letu. Ampe watu wema na waungwana na wenye Dhamira ya Dhati na kweli na ya kizalendo katika kulitumikia Taifa letu pindi wamshauripo na kutoa mawazo yao, Amuondolee watu wabaya karibu yake ili wakae mbali Naye. Ampe ujasiri wa kufanya maamuzi magumu pale inapohitajika kwa maslahi ya Taifa letu. Ampe na kumzidishia moyo wa ujasiri katika kufanya maamuzi kwa manufaa ya Taifa letu, Mwenyezi MUNGU asiondoe mkono wake mahali alipo Rais wetu, popote awapo Rais wetu Basi uwepo wa Mwenyezi MUNGU Ukawepo mahali Hapo na kusimama Naye.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Hiki ulichoandika hakina mashiko sana ,kwa kuwa haongozi taasisi ya dini
 
Back
Top Bottom