mkulungwa02
Senior Member
- May 24, 2020
- 193
- 154
Wenye ulafi wa madaraka ndo maisha yao hayoHivi kwani kila mtanzania anaendesha maisha yake kupitia posho na mshahara wa bunge?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye ulafi wa madaraka ndo maisha yao hayoHivi kwani kila mtanzania anaendesha maisha yake kupitia posho na mshahara wa bunge?
Paka kwa kawaida yao huishia jikoni ambopo madikodiko yapo.Wale mamluki wa upinzani walisha mwaga wino mapeemaaaa
Mbowe keshasaini vingi tu vya kuwaingiza chaka na kuwapiga pesa.Hatuwezi kamwe kusaini madudu
Hao ndio chadema kuandika tu hawaekeweki inasemwa mtu hakatai with hukataa analoitiwa Sasa alichokataa kusaini Ni kitu gani hajasema.kusoma Hapo Hapo na kusaini kuna shida gani mfano pameandikwa waliohudhuria Ni huyu na huyu na huyu saini mtu atakayaa kusaini kuwa hiyo fomu ya waliohudhuria ilikuwa imeandaliwa tayari wajumbe wakaambiwa wasome na kusaini Mimi mnyika nikakataa kusain!Sawa, hebu soma hapo juu ulichoandika, Fanya masahihisho, rudia kuandika. Kiufupi hata hueleweki umeandika kuhusu kitu gani.
Umeelewa Nini ? alichogoma kusaini Ni kitu gani hapo tuekeze wewe.Mi
Mimi nimeelewa, sema wewe unataka aandike unachopenda kuelewa.
Mbinu za kishetani Kama hizi mchungaji fake wa river side hazioni jumapili akipewa sadaka za bure za kondoo anaanza kutetea wanaopanga hizi hujuma. Fake pastor.Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.
Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani documents zilikuwa zinawahitaji wasome na kusaini.
Huu ni mchezo wa paka kumuandalia chakula panya, yaani walitakiwa wapewe muda angalau wa kuzisoma na kama kuna marekebisho basi wayapendekeze kwa NEC iyafanyie marekebisho.
Wakati wawakilishi wa vyama vingine walipiga kimya na kukubali tu kupitishwa.
Hongera sana katibu bora wa chama bora cdm.
Unadhani mnyika ni juha Kama wewe aongee yasiyokuwepo.Umeelewa Nini ? alichogoma kusaini Ni kitu gani hapo tuekeze wewe.
Wengine walifuata posho ya kikao around 3k kwa kila mshiriki hivyo walijua hakuna atakaye soma zaidi ya kuwaza posho, safi Mnyika.Leo hii NEC iliandaa kikao maalum na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa ili kujadili na kupokea baadhi ya marekebisho ya sheria mbali mbali.
Ktk kutekeleza hayo NEC walikwisha andaa documents tayari kwa kila mwakilishi wa chama azisome na kuzisaini hapo hapo. Mnyika akastukia mchezo wao kwani documents zilikuwa zinawahitaji wasome na kusaini.
Huu ni mchezo wa paka kumuandalia chakula panya, yaani walitakiwa wapewe muda angalau wa kuzisoma na kama kuna marekebisho basi wayapendekeze kwa NEC iyafanyie marekebisho.
Wakati wawakilishi wa vyama vingine walipiga kimya na kukubali tu kupitishwa.
Hongera sana katibu bora wa chama bora cdm.
Posho iliwachanganya na shule/vyuo zinafunguliwa 01/06/2020Wale mamluki wa upinzani walisha mwaga wino mapeemaaaa
Hii JF sio insha jiongeze au IQ ya panziHueleweki unasema nini.
Roho za kishetani hazitakufikisha popote Ila jehanamuAnatafuta pa kutokea ila ubunge ausahau maana hata pata hata kura moja