Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Mke Mmoja Analemaza AkiliUkioa wake 4 unapata muda e kufikiria Mambo mengi, wale waliosema nanga itapaa ni uongo na uzandiki...
Hongera sana Masoud
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke Mmoja Analemaza AkiliUkioa wake 4 unapata muda e kufikiria Mambo mengi, wale waliosema nanga itapaa ni uongo na uzandiki...
Hongera sana Masoud
Kweli kakaMke Mmoja Analemaza Akili
Na kwa muundo huu hawez kupata wateja hii haiwezi kushindana na kirikuu
Mke Mmoja Analemaza Akili
At least huyu hakuweka bango la baby wakeJamaa ni "kichwa" haswaa👍
Hata kama ni hivyo ni mwanzo mzuri pia. Aje Mtanzania mwingine alifanye lifike speed 100.uskute uwezo wake ni spidi 15 tu
P&W na RR hawatengenezi injini za vitu kama hivi. P&W ni za ndege tu na RR ndio za ndege na za magari yao very expensiveengine ni kampuni gani P&W,RR, china au Hindi?
Unadhani kwa sasa anataka kushindana na kampuni kubwa kama Suzuki? Kwa sasa naamimi atatengeneza kwa oda. Mtu akiweka Oda anatengenezewa.Na kwa muundo huu hawez kupata wateja hii haiwezi kushindana na kirikuu
Swali la 4 [emoji91]1. Ukichaji kwa masaa sita linakuwa kimekula units ngapi za umeme?
2. Kinauwezo wa kusukuma Tani ngapi if not kilos...
Kibaha kipo kiwanda cha kuunda magariHata kama ni hivyo ni mwanzo mzuri pia. Aje Mtanzania mwingine alifanye lifike speed 100.
Yani ashindane na kirikuu ambayo Bei yake ni chini karibia 12m afu hiyo yake kasema imemgarimu zaidi ya 40 atashindanaje Sasa hapo.Ngoja tuone...
Pengine bei yake ni nafuu sana kuzidi Kirikuu...
Kwani ni Cha KP?. Nimepongeza juhudi za kijasiriamali za KP.Kibaha kipo kiwanda cha kuunda magari
Swali lako namba 3 limenifanya nicheke hasa hapo mwishoni3. Kikiharibika kinaenda garage au kwa fundi simu/ radio?
4. Kina shelf life ya miaka mingapi kwa engine take na max load capacity
Yani ashindane na kirikuu ambayo Bei yake ni chini karibia 12m afu hiyo yake kasema imemgarimu zaidi ya 40 atashindanaje Sasa hapo..????
Msemakweli Ni Mpenzi Wa MunguNa huo ndo ukweli wenyewe.