Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Unaijua bei ya kirikuu 0 KM?Yani ashindane na kirikuu ambayo Bei yake ni chini karibia 12m afu hiyo yake kasema imemgarimu zaidi ya 40 atashindanaje Sasa hapo..????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua bei ya kirikuu 0 KM?Yani ashindane na kirikuu ambayo Bei yake ni chini karibia 12m afu hiyo yake kasema imemgarimu zaidi ya 40 atashindanaje Sasa hapo..????
angalia video hiyoUkiweka n picha la hilo gari la Arusha itapendeza zaidi
Kama nilimsikia vizuri Kp alisema material za gari yake zinatoka kwenye kiwanda chake na kama gari ikiharibika spare zinapatikana.angalia video hiyo
Kongole nyingi kwakeJamaa ni "kichwa" haswaa👍
Mleta mada umemuelewa vizuri?Kama nilimsikia vizuri Kp alisema material za gari yake zinatoka kwenye kiwanda chake na kama gari ikiharibika spare zinapatikana.
Je, huyo wa Arusha material katengeneza yeye au alichofanya ni kubadili mfumo wa gari kutoka kwenye mafuta mpaka kwenye umeme?
Wabongo tunakatishana sana tamaauskute uwezo wake ni spidi 15 tu
Swali namba 6 : ametumia gharama gani kulitengeneza?
Nikupongeze kwa hatua hii ya kuzindua gari uliyoitengeneza wewe mwenyewe kama ulivyotuaminisha ila naomba basi utusaidie yafuatayo ili utuvutie zaidi kuweza kununua gari yako
1. Je, ukichaji gari ikajaa unaweza kutembea kwa umbali wa kilomita ngapi?
2. Je, vipuri vya gari vikiharibika vinapatikana?
3. TBS imethibitisha ubora wake?
4. Je kuna aina nyingine tofauti na iliyozinduliwa?
5. Speed ya gari ni ngapi maximum?
Wazo lipi la kununua hapo? Hamna jambo jipya. Amejitahidi ila hakuna alichovumbua kipya.Masudi nadhani amefanya hivi ili aje buyer anunue wazo Kisha ye apige hela
Kiwanda chake Kiko wapi?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ukiona mbwa juu ya paa jua kupandishwa na mtu.
nimeona mwananchi wameweka kuwa Gari la kwanza la umeme ndio limezinduliwa mbona huu uongo jamani? kwa nini msifamye tafiti kwanza jaman?
Kule Arusha watu wametengeneza Gari tena za Kwenda Mbugani ni full umeme tu!
acheni kukuza watu kwa kuwa tu wana majina makubwa! acheni kumtafutia mtu promo kiboya
angalieni hapa
Sijamjibu mleta mada mkuu hebu pitia text za juuMleta mada umemuelewa vizuri?
Haitumii engine hii , i think ina mota tu kwa chini humo, eneo la engine pako emptyengine ni kampuni gani P&W,RR, china au Hindi?