Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
2.Kina uwezo wa kubeba kilo 4001. Ukichaji kwa masaa sita linakuwa kimekula units ngapi za umeme?
2. Kinauwezo wa kusukuma Tani ngapi if not kilos?
3. Kikiharibika kinaenda garage au kwa fundi simu/ radio?
4. Kina shelf life ya miaka mingapi kwa engine take na max load capacity