Hongera Masoud Kipanya ila tunaomba ufafanuzi kidogo kuhusu hii gari yako

Hongera Masoud Kipanya ila tunaomba ufafanuzi kidogo kuhusu hii gari yako

nimeona mwananchi wameweka kuwa Gari la kwanza la umeme ndio limezinduliwa mbona huu uongo jamani? kwa nini msifamye tafiti kwanza jaman?

Kule Arusha watu wametengeneza Gari tena za Kwenda Mbugani ni full umeme tu!

acheni kukuza watu kwa kuwa tu wana majina makubwa! acheni kumtafutia mtu promo kiboya

angalieni hapa
Kubadili mfumo vs kutengeneza gari ya kwanza



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
masoud ni reflection halisi ya mtu gifted and multi talented.

katuzidi kwa gape kubwa akina sie wenye degree moja, masters na Phd. kwa lugha isiyo rasmi tunafahamika kama wazee wa theory za uongo na ukweli,porojo na misamiati mingi ya kuokoteza ya kingereza.

kwangu ni mapema sana kuanza kumkosoa na kumuuliza maswali, nampongeza kwa udhubutu wake.
 
Vip kiusalama manake nilikuwa na tizama utengenezwaji wa benzi, gari wanalitengeneza then baadae wanalipima uwezo wako wa kustahimili ajali, gari linaendeshwa speed halafu linabamizwa, baada hapo wataalamu wenyewe wanafanya evaluation.

Sijajua hili kama limepitia hayo.
 
Vip kiusalama manake nilikuwa na tizama utengenezwaji wa benzi, gari wanalitengeneza then baadae wanalipima uwezo wako wa kustahimili ajali, gari linaendeshwa speed halafu linabamizwa, baada hapo wataalamu wenyewe wanafanya evaluation.

Sijajua hili kama limepitia hayo.

Semi valid!

Statement yako imeniibulia maswali lukuki katika fikra. Hivi hiyo test, gari Kama Nissan Extrail, Prado, Voxy nk, na zenyewe zimepitia?

Sina ujuzi wowote wa magari.
 
Semi valid!

Statement yako imeniibulia maswali lukuki katika fikra. Hivi hiyo test, gari Kama Nissan Extrail, Prado, Voxy nk, na zenyewe zimepitia?

Sina ujuzi wowote wa magari.
Gari zote kabla ya kuingia sokoni lazima zipitie car crush test, sijajua wanatumia unit gani kupima uwezo wa gari kustahimili crush.


Nissan Juke


 
Pongezi kwa kipanya na kampuni yake kwa uthubutu.

Kamwe asivunjike moyo kwa wivu wa kitz maana huwa hawapendi kuona mbongo anafanya mambo makubwa kama haya....either wataamkatisha tamaa kwa maneno ya ovyo....au kumpiga ushirikina.....hivyo tunamuombea sana Mungu amlinde lkn pia naye anapaswa sana kujiombea mara zote ili watanzania wapate manufaa kwa ubunifu wake huu
😍
 
ameshasema .....

1. lina uwezo wa kwenda kilomita 60 hadi 80 kabla ya chaji kuisha

2.bei amesema ita-range kwenye 8m mpk 9m hapo haitazidi 10m ndio matarajio yake lbd yatokee mabadiliko
 
Back
Top Bottom