Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

Mkuu umenena vyema kbsa...
Siku zote ukiona dini inafanywa kuwa nyepesi kwa ku modify baadhi ya sheria ujue ishakua ya kitapeli

Wapi sheria zimekuwa modified. Tofautisheni ukristo na Cults please.
 
Kwa hivyo siku hizi uaminifu ni suala la dini sio mtu binafsi. Juzi hapa Kuna mwislamu kakimbiwa na mke wake Dubai, hapo utasema dini inahusika. Naona siku hizi jf imekuwa platform ya kushambulia ukristo.

Uaminifu unajengwa na mafundisho, sasa dini zinamafundisho ambayo MTU anatakiwa kuyakubali, kuyafuata na kuyaamini.

Kwa uelewa wako unafikiri ni Kwa nini ukiwa Mahakamani unaapa Kwa Kutumia Biblia au Quran Kwa MTU mwenye dini?
 
Ila huku pwan wanavaa vzr hawa mabint lakn mbona wanaaongoza kwakugawa sana na kuachika kwa ndoa , mimi naona labda kam kuna sababu zngne si hiz

Wadada wa kisababo/ kikikrost wanavaa min ila had uu mre kasheshe.
Wenzetu wametuzidi sisi wakiristo hata kwenye mavazi ni hovyo sana tujirekebishe
 
Naon mtoa mada point zako hazijanishawish


Ila Jamaa kam hakuamin anachosimamia angeach peacefully akafanye anacho amin yeye
 
Hapa issue sio uaminifu kati ya mabinti wa kiislam na kikristo,ni statistic's tu-katika watanzania 10 kuna wakristo 8 na waislam 2 tu .So, katika Watanzania 60M unaweza ukajua wakristo ndio wengi-hivyo wataonekana zaidi kwa matendo yao na kwa kila kitu na wachache hawatoonekana
 
Naelewa sana maana ya kuwa mkristo, sasa kama ukristo haufuati tabia za kristo tunasemaje..

Huyo sio mkristo. Huwezi kuita mtu mwanasheria na hajawahi kusoma sheria. Kisa tu alikuwa anahudhuria mahakamani.
 
Na vijana wa Nyika za Tanga wanaangukia wapi....

Sababu hizi Imani wala sio Jadi yetu...
 
Na vijana wa Nyika za Tanga wanaangukia wapi....

Sababu hizi Imani wala sio Jadi yetu...
 

Naona hujui maana ya ukristo ndio maana unapuyanga kila siku. Ndio maana nikasema wewe una shida sehemu.
 
Usisahau kuwa pamoja na uwaninifu wao ndio kundi kubwa la waharifu nenda gerezani asilimia 80 wafungwa ni wao nenda mahabusu asilimia 90 ni wao,

Njoo kwenye malezi na ndoa
Single mothers asilimia 80 ni wao
Single fathers asilimia 80 ni wao

Twende uko mitaani asilimia 80 ya watoto wa mitaani ni wao

Yani kiufupi ni kundi linalozarisha waharibu na matatizo kwenye jamii
 
Hii stori ya mito ya POMBE huko peponi.... ishaanza kuleta madhara huku down stairs.... soon watahamia upande wa tutagida....
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Twende nchi za kiislam, kaangalie wanavaaje, kisha njoo nchi za Kikristo kaangalie wanavaaje.
Kisha kaangalie miongozo/Misahafu Yao inawataka wavae vipi, kisha uje na Majibu hapa Nani ni muaminifu wa kufuata kile kilichoamrishwa na Dini yake.

Nakuuliza swali, hivi unafikiri nchi hii ingekuwa ya kiislam ingekuwaje?
 
Reactions: ITR

Na hicho ndicho tunapaswa kukiangalia Kwa uangalifu
 
Naona hujui maana ya ukristo ndio maana unapuyanga kila siku. Ndio maana nikasema wewe una shida sehemu.

Msingi WA dini yoyote ni Utiifu Kwa Mungu (uaminifu)
Sasa kama MTU sio muaminifu Kwa sheria za dini yake anazoamini ni sheria Mungu unategemea MTU huyo awe mwaminifu?

Unataka kusema Ukristo ni kinyume na Uaminifu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…